Kukosekana kwa Maji na Umeme na kupanda bei za bidhaa kunatia doa Serikali ya Rais Samia

Magufuli alinajisi uchaguzi akaweka bunge la wanaccm tu. Sasa hao wabunge wa ccm wahoji hii inflation. Na vitu vinatakiwa viendelee kupanda bei hivi hivi ili wananchi wajue madhara ya kukosekana upinzani nchini.
Bonge la point sn
 
Mwezi ramadhani huo unakuja, mother anasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…