Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao hatuna imani nao, na vile vile ukienda Arabuni au India huwezi kuta mtu mweusi typical anahudumu kwenye majeshi yao.Hi?
Nimekuwa nikijiuliza bila ya kupata majibu hivi hawa watanzania wenzetu wenye asili ya Arabu na India mbona siwaoni jeshini sio Tz bara wala visiwani.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hi?
Nimekuwa nikijiuliza bila ya kupata majibu hivi hawa watanzania wenzetu wenye asili ya Arabu na India mbona siwaoni jeshini sio Tz bara wala visiwani.
Je ni muhimu sana wakiwepo kwenye majeshi? Kuna upungufu wowote wasipoenda?Kama serikali haihamasishi kuwafanya kuwa ni wenzetu basi nao hawawezi kujipendekeza
Tukiwa shule walikuwa wanaimba nyimbo na sisi wanacheza ngoma za asili ila baadae wakaona serikali haina time nao....
Nyerere hakuwa mbaguziKama serikali haihamasishi kuwafanya kuwa ni wenzetu basi nao hawawezi kujipendekeza
Tukiwa shule walikuwa wanaimba nyimbo na sisi wanacheza ngoma za asili ila baadae wakaona serikali haina time nao...
Wapo PrivateVipi walimu wenye asili ya Asia wapo?
Unazungumzia kuona au kuoa ?Ushawai ona muarabu clinic? Ya wazazi? Jiulize pia kwann
ni kwa sababu kipindi cha Nyerere wazawa wasomi walikuwa wachacheNyerere hakuwa mbaguzi
Kulikuwa na mpaka ma dc wazungu
Ukienda sekta ya mahakama walikuwepo wahindi,waarabu huko
Ova
Kuona cjui wanajifunguliaga wapUnazungumzia kuona au kuoa ?
Walikuwepo naona sahv wanajitoa kwenye field hiyoVipi walimu wenye asili ya Asia wapo?
Bhachu kaondoka kaacha JinaJe ni muhimu sana wakiwepo kwenye majeshi? Kuna upungufu wowote wasipoenda?
Race hiyo bongo ni matajiri na unafahamu siku zote jeshi asilimia kubwa wanaenda watu gani, ukiacha ndugu wa wanajeshi wakubwa ( hawa japo wametokea familia nzuri ila huenda jeshini).
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu unawakuta kwenye list ya matajiri tu[emoji16][emoji16][emoji16]
We unahisi wanajifungulia wapi ?Kuona cjui wanajifunguliaga wap
Unazungumzia kuona au kuoa ?