spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
Akitokea mhindi kaenda depo anakua mng'ao kila demo wanamtoa yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana clinic zao za ndani labdaHata kuona tu. Ushawai kwenda hospital ya serikali kama amana ama temeke ukaona mwanamke wa ki arab ama kihindi kaja clinnic na mimba yake?
Cjui ndio nimeulizaWe unahisi wanajifungulia wapi ?
Mimi pia sijuiCjui ndio nimeuliza
Hapana, kuwepo au kutokuwepo kwenye majeshi yetu sio issueJe ni muhimu sana wakiwepo kwenye majeshi? Kuna upungufu wowote wasipoenda...
Ni kweli kabisa mkuu au labda kwa sababu walikuwa kwenye serikali ya ukoloni pia na wakapata ajira humo humoNyerere hakuwa mbaguzi
Kulikuwa na mpaka ma dc wazungu
Ukienda sekta ya mahakama walikuwepo wahindi,waarabu huko
Ova
Hata sisi wabantu, familia Bora huenda Jeshini?Hapana, kuwepo au kutokuwepo kwenye majeshi yetu sio issue
Bali serikali kama ingetaka waingie wangeingia sio tu utajiri wao....
Hao ni wafanya biashara wawekezaji kazi ya majeshi sio mchezo hakuna hapana huko wa maoni mp akisema kasemaHi?
Nimekuwa nikijiuliza bila ya kupata majibu hivi hawa watanzania wenzetu wenye asili ya Arabu na India mbona siwaoni jeshini sio Tz bara wala visiwani.
Wawekezaji bila wao nchi inayumba kiuchumiHalafu unawakuta kwenye list ya matajiri tu[emoji16][emoji16][emoji16]
Hakuna katozo sema hawataki hawana njaa biashara zao zinawatoshaHao hatuna imani nao, na vile vile ukienda Arabuni au India huwezi kuta mtu mweusi typical anahudumu kwenye majeshi yao.
Ni Marekani tu ndo ina kila race kwenye jeshi lake.
Wakuda kinyama hiyo jamiii.. bora wazungu, hiyo jamii wana damu ya usaritiHi?
Nimekuwa nikijiuliza bila ya kupata majibu hivi hawa watanzania wenzetu wenye asili ya Arabu na India mbona siwaoni jeshini sio Tz bara wala visiwani.
Hakuna alie watenga hawataki tu biashara zao zinawatoshaKama serikali haihamasishi kuwafanya kuwa ni wenzetu basi nao hawawezi kujipendekeza
Tukiwa shule walikuwa wanaimba nyimbo na sisi wanacheza ngoma za asili ila baadae wakaona serikali haina time nao...
Kwani mshahara wa majeshi unazidi faida anayo ipata muarabu mwenye duka la chuma chakavu?ni kwa sababu kipindi cha Nyerere wazawa wasomi walikuwa wachache
Tatizo ukata tu hata mimi ni ngekuwa nazo mke wangu asinge enda huko hata mwanangu asingesoma kayumbaWe unahisi wanajifungulia wapi ?
Mtu atoke India mamia maili kufata kazi ya jeshi tz mbona mnachekeshaAkitokea mhindi kaenda depo anakua mng'ao kila demo wanamtoa yeye
Clinic ya ndani ni hela yakoWana clinic zao za ndani labda
Hio ndio maana halisi ya Masikini HaelewiTatizo ukata tu hata mimi ni ngekuwa nazo mke wangu asinge enda huko hata mwanangu asingesoma kayumba
Msomali utamlinganisha na muarabu kiuchumi?Hapana, kuwepo au kutokuwepo kwenye majeshi yetu sio issue
Bali serikali kama ingetaka waingie wangeingia sio tu utajiri wao
Kilikuwa na mkuu wa police msomali huko Shinyanga kama sikosei yaani ni.wa kuhesabu, mmoja katika milioni
Kweli wana biashara zao lakini pia hatuwajali kama ni wenzetu.
Angalia Kenya kwa mfano wasomali wameshika post kubwa kubwa nchi nzima.
Labda kwa kuwa wana mikoa yao pia ila hawakushindwa kufanya biashara
Babako awe na maradi mizuli ukaajiriwe jeshini?au mwalimu labda ubunge uwaziri ukurugenzi mkuu wa mkoa hili ulinde kampuni za babako sio mshaharaHata sisi wabantu, familia Bora huenda Jeshini?