Kukosekana kwa Watanzania wenye asili ya Asia kwenye majeshi yetu kunasababishwa na nini?

Kukosekana kwa Watanzania wenye asili ya Asia kwenye majeshi yetu kunasababishwa na nini?

Hawataki kuchanganyika na watu weusi mahala popote unless ni taasisi yao Wahindi, mmiliki Mhindi, mabosi Wahindi. Agha Khan Hospital, The Indian Bank etc. etc.

But it is all the better.

China hakuna mjeshi Mwarabu, na India hakuna mjeshi Mrusi. Na Burkina Faso hakuna mjeshi Mmarekani.

Jeshi letu ni la wazawa weusi. Bendera ya Tanzania inasema hii ni nchi ya watu weusi.

Tusitamani kuchangamana na watu ambao wanatuona sisi kama tambara la kupigia deki.
Hakuna Katazo kwenye katiba la waidi waarabu kujiunga jeshini hau kazi yoyote sema hawataki hata mimi ingawa kwangu kukavu mwanangu bora akafuge kuku kuliko hizo kazi
 
Kwani kwenye soka lenu wapo?

Hii ilikuwa timu ya taifa ya cricket iliyoiwakilisha nchi mwaka 2007.

_MG_0260.JPG
 
Hi?

Nimekuwa nikijiuliza bila ya kupata majibu hivi hawa watanzania wenzetu wenye asili ya Arabu na India mbona siwaoni jeshini sio Tz bara wala visiwani.
kwa sasa vijana wengi wanaingia jeshini kwa sababu ya kukosa ajira au mitaji ya biashara tatizo ambalo waasia wengi hawana.
 
Hakuna fursa huko wakatafute nini. Wao wanaamini kuajiriwa ni umasikini, thus wastaafu ufa mapema kuliko wajasiliamali.
 
Hizo mambo za jeshi ni kwa watu ambao hawapo well financially stable , Mimi nilisoma shule za wahindi ina short Hawa Jamaa hawaamini katika kuajiriwa hasa Kazi ndogo ndogo kama ualimu ,police jeshi la jwtz n.k.
 
Rostam na Mo ni weusi? Mbona wamekuwa wabunge??
Hawataki kuchanganyika na watu weusi mahala popote unless ni taasisi yao Wahindi, mmiliki Mhindi, mabosi Wahindi. Agha Khan Hospital, The Indian Bank etc. etc.

But it is all the better.

China hakuna mjeshi Mwarabu, na India hakuna mjeshi Mrusi. Na Burkina Faso hakuna mjeshi Mmarekani.

Jeshi letu ni la wazawa weusi. Bendera ya Tanzania inasema hii ni nchi ya watu weusi.

Tusitamani kuchangamana na watu ambao wanatuona sisi kama tambara la kupigia deki.
 
Nyerere hakuwa mbaguzi

Kulikuwa na mpaka ma dc wazungu.

Ukienda sekta ya mahakama walikuwepo wahindi,waarabu huko

Ova
Niliwahi kusoma pahala alishakuwepo waziri wa fedha mzungu
 
Hawataki kuchanganyika na watu weusi mahala popote unless ni taasisi yao Wahindi, mmiliki Mhindi, mabosi Wahindi. Agha Khan Hospital, The Indian Bank etc. etc.

But it is all the better.

China hakuna mjeshi Mwarabu, na India hakuna mjeshi Mrusi. Na Burkina Faso hakuna mjeshi Mmarekani.

Jeshi letu ni la wazawa weusi. Bendera ya Tanzania inasema hii ni nchi ya watu weusi.

Tusitamani kuchangamana na watu ambao wanatuona sisi kama tambara la kupigia deki.
Jeshini waarabu wapo,binafsi nimesoma nao na wapo huko,nyota tatu Mara ya mwisho nawasiliana nao
 
Hi?

Nimekuwa nikijiuliza bila ya kupata majibu hivi hawa Watanzania wenzetu wenye asili ya Arabu na India mbona siwaoni jeshini sio Tanzania bara wala visiwani.
Walikuwepo kina mahfudh na wengine wengi tu ila kwa sasa kupata hiyo nafasi ni ngumu ingawa bado wapo wachache kama mkurugenzi wa Takukuru, hawapewi hizi nafasi ndio maana wamejikita kwenye sheria, udaktari na biashara.
 
Hawataki kuchanganyika na watu weusi mahala popote unless ni taasisi yao Wahindi, mmiliki Mhindi, mabosi Wahindi. Agha Khan Hospital, The Indian Bank etc. etc.

But it is all the better.

China hakuna mjeshi Mwarabu, na India hakuna mjeshi Mrusi. Na Burkina Faso hakuna mjeshi Mmarekani.

Jeshi letu ni la wazawa weusi. Bendera ya Tanzania inasema hii ni nchi ya watu weusi.

Tusitamani kuchangamana na watu ambao wanatuona sisi kama tambara la kupigia deki.
Kuna watu Huwa wanajiropokea tu wewe unaokota kijana wa kiarabu usawa huu unamuingiza jeshini unatarajia Nini?kama sio kuletewa magaidi mpaka sebuleni watu wengine sio hata wa kuchangamana nao ila Bas tu
 
Hao hatuna imani nao, na vile vile ukienda Arabuni au India huwezi kuta mtu mweusi typical anahudumu kwenye majeshi yao.

Ni Marekani tu ndo ina kila race kwenye jeshi lake.
Hawa wanajeshi wa Qatar
images (21).jpg

images (20).jpg

images (19).jpg

Wamejaa weusi kibao

Saudi hao
images (22).jpg

images (23).jpg
 
Wakuda kinyama hiyo jamiii.. bora wazungu, hiyo jamii wana damu ya usariti
Hiyo jamii unayoisema kipindi nchi hii inavamiwa kuanzia miaka hio ya wareno wakati mnauliwa waarabu ndio walikuja kuwatetea, na waarabu wamenyongwa kwenye harakati za Kugombania uhuru kina Abushiri hao. Hao mnaowaita wasaliti na kuwaponda mpaka Jina Tanzania wamelitengeneza wao. Leo hii unaitwa Mtanzania sababu Muhindi kakuchagulia jina uitwe hivyo.

Unaweza leta uthibitisho wa Usaliti wao?
 
Hiyo jamii unayoisema kipindi nchi hii inavamiwa kuanzia miaka hio ya wareno wakati mnauliwa waarabu ndio walikuja kuwatetea, na waarabu wamenyongwa kwenye harakati za Kugombania uhuru kina Abushiri hao. Hao mnaowaita wasaliti na kuwaponda mpaka Jina Tanzania wamelitengeneza wao. Leo hii unaitwa Mtanzania sababu Muhindi kakuchagulia jina uitwe hivyo.

Unaweza leta uthibitisho wa Usaliti wao?

Naona mwarabu koko umekuja kutetea babu zako,chamsingi hao jamaa waneshajitenga na watanganyika wanini kuwakaribisha kwenye majeshi yetu,we dont need moles
 
Back
Top Bottom