Kuku aina ya Kenbro

Duu ila Majogoo huwa yanafaidi sana aiseee
Ya mkuu hawa Dorep majike ni wakubwa sana so ni lazima jogoo mmoja mitetea watano, mitetea hawa wana kuwa na 5 Kg huku bwana zao wakiwa na hadi 8 kg
 
Ya mkuu hawa Dorep majike ni wakubwa sana so ni lazima jogoo mmoja mitetea watano, mitetea hawa wana kuwa na 5 Kg huku bwana zao wakiwa na hadi 8 kg

Hao mkuu ukiuza wazima wazima unakula hasara inabidi uwe unawaprocess na kuwaza kwa kilo
 
Hao mkuu ukiuza wazima wazima unakula hasara inabidi uwe unawaprocess na kuwaza kwa kilo

Hata ukiwauza wazima huwezi uza sawa na hawa wengine, vifaranga wakitotolewa hawawezi kusimama kwa siku nzima ni mpaka siku ya pili ndo waanze kusimama
 
we hao kuku wako bado? make hili jukwaa kwa usanii mmezidi sasa
 
Mkuu wale walio weka Oda wanapata kama kawaida, na mambo yanaenda vizuri, so hakuna usanii na sijawahi fanya usanii humu, Tuko hapa kusaidiana ili tuweze kusonga mbele, na ni jitihada zetu do zitaweza kutusogeza mbele,

Ratiba ndo ngumu, ila mambo yanaenda vizuri kabisa na lengo langu ni kutafuta kuku wasio patikana Huku kwetu Tz na ungu akipenda mpaka mwisho wa Mwaka huu kutakua na si chini ya aina saba, za kuku hao make jitihada zinaedelea so ni kazi mkuu hakuna kulala,
 
Chasha kwanza samahani sana, jana night nilijaribu kumcontact my friend alieoko Kericho Kenya kuhusu hawa kuku kwa kweli amenipa very nice information, na anashangaa umeweza vipi kupata Dorep, kwa sababu hata yeye anafuga ila hana Dorep na ndo ameoda vifaranga wake amenielezea kuhusu hawa Kenbro ambao kwa Kenya ndo kuku no 1 na kwa melezo yake Kenbro pamoja na kwa na maumbo makubwa vilevile wana nyama ya kipekee kabisa na ndo sababu ya kupendwa sana na Wakenya, ingawa kwa sasa Derep nayo iko juu, na kwa Dorep ameeleza kama ulivyo sema ila hawa Dorep ni kwamba wanataga pacha na that is why mayai yao ni makubwa sana kama ya bata
hivyo Bwana Chasaha kwaza nikupongeze kwa kupata hawa aina ya Dorepn ambao hata waliko tokea kwenyewe bado ni wachache sana na pili nikupongeze kuhusu hawa Kenbro ambao kwao ni kuku mkombozi, jitihada zako kwa kweli zimenitisha sana bwana Chasha, Kuhusu hao Superchicks ambao nao umewagusi kwa kweli maelezo ya huyo bwana ni kwamba wanatafutwa kama Dhahabu kwa sababu ni wapya na hawana miaka miwili, na kama umepata mayai kwa mara nyingine huyo rafiki yangu ameshangaa mno kwa sababu kuna foleni kubwa sana kupata vifaranga au mayai

Hivyo Bwana Chasha nitakuomba uniandalie vifaranga si chini ya 500 vya Dorep na 500 vya kenbro jumla vifaranga 1000, na nime ku pm kwa maelezo zaidi make kuna kitu kingine rafiki yangu alikigusia na ambacho nacho ni cha muhimu sana, najiandaa kuuza hizi aina zangu nilizo nazo ili iweze kuchukua hizo aina mpya
 
Mkuu Shetan nashukuru, Tehe tehe, I ma just kiding

Mkuu ni kweli hawa dorep hata Kenya ni wachache sana, Kenbro ndo wapo, ila kwa Dorep na Super chicks ni wachache sana, Kuhusu kutaga mapacha ni kwelisema sikugusia hapa ila ukipsua mayai yake mengi utakuta viin viwil na kw yaliyo totolewa kuna mayai mengi yalikuwa na pacha, so kweli kuhusu pacha, na kingene kwa hawa Dorep ni kwamba vifaranga wakitotolewa siku ya kwanza nzima huwa kusimama ni shida sana hivyo hushinda wakiwa wamelela, ni mpaka siku ya pili ndo wanakuwa wanasimama vyema, na sababu ni uzito make vifaranga wa day moja unaweza sema wana wiki
kuhusu oda nitafanyia kazi ingawa nina oda nyingi make kuna mheshimiwa mmoja ameoda hawa Dorep na Kenbro wengi sana hivyo inakuwa kazi sana.

Hao Superchick ndo wanatimiza miaka miwili na kweli Demand yake ni kubwa na kuna jamu sana, kuna Dada mmoja anafuga aliniambia ameoda january hadi leo hajapata, wazalishaji wanalemewa sana na pamoja na kuongeza incubator kubwa kabisa lakini haijasaidia kitu

Mwisho hawa kuku Dorep na Kenbro na labda super chick watakuwepo nanenane hivyo ukitaka kuwona live unakaribishwa hapo na nimeona PM yako na nafanyia kazi asante
 

Mkuu hongera kwa juhudi zako ila hiyo foleni imeanza kututisha sasa jipange kuongeza incubators mkuu ukawa ndo supplier mkubwa wa hawa kuku hapa nchini keep the fight bro umeshapiga hatua kubwa sana hadi hapo
 
Mkuu hongera kwa juhudi zako ila hiyo foleni imeanza kututisha sasa jipange kuongeza incubators mkuu ukawa ndo supplier mkubwa wa hawa kuku hapa nchini keep the fight bro umeshapiga hatua kubwa sana hadi hapo

Mkuu pamoja sana, Tatizo ni hii gavament yetu, Kuna kuku nilipata South Africa ambao ni hybreed, hao kuku ni mwisho wa matatizo, na jamaa walikuwabali hata kutuma vifaranga 100 tu kwa ndege, ila Wizara yetu kutoa kibali ndo mziki, full usanii,

Hawa ndo kuku aina ya Koekoeks jamaa walisha nitumia hadi PI ila wizarani wanaweka usiku

kilichopo ni kukomaa wenyewe no way out,
 
Habari mkuu.
hivi nikiweka oder ya hao vifaranga leo au kesho je nitavipata lini?
 
Na kwa wale walio uliza kuhusu safirishaji w Vifaranga kwa Njia ya Ndege, kwa Uapande wa Precision Air wameniambia kwa sasa hawana Ndege hiyo yenye uwezo wa Kubeba Viumbe hai kwenye Buti zao, so zilizopo haziwezi beba kwa sababu watakufa kwa kukosa hewa,
Walikuwa nayo aina ya Boing sijui ni Boing Ngapi ambayo ndo alikuwa wanaitumia kubeba viumbe hai ikiwemo Vifaranga au hata Mbwa

Sijajua Fastjet ni vipi, Ila kwa Air Tanzania ndo kama hivyo
 

Chasha na hawa vipi? Ni mejaribu kuwa google naona ni wazuri mno.
 
Chasha na hawa vipi? Ni mejaribu kuwa google naona ni wazuri mno.
Ni from south kwa Mandera, kule wana mbegu za kuku za kufa mtu. Na kuna hao jamaa walinitumia hadi Proformer Invoice ya vifaranga na mayai,ila wizara inaleta usiku, but sijakata tamaa bado na fight
 
This is wonderful kama uko unaweza ku keep Kenbro and dorep the best an leading breeds huku kwetu ni kwa ajabu iko, ni mzuri sana,most of Kenyans wana prefer hawa breeds dorep and kenbro na currently super chicks from KARI an improved indigenous breed na huyu guy yuko na mjanja sana kuweza ku keep hawa breeds kwa kwenu.Wafugaji wa poultry mwengi kwa sasa wako wana fuga hizo breeds tatu ila kuko na scarcity ya Super chicks au improved indigenous ya KARI bado kuwa mwingi kwa keepers hii ni mzuri sana kwa eggs yuko ana taga more eggs kuliko layers , niko county ya Kajado na uko unaweza nitumia email yako ili kama unakuja kwa Nairobi tuweze kuwasiliana tuone vile tunaweza fanya.
 
Very nice, ni kweli unacho sema kwa Kenbro na Dorep, ila kwa sasa nafuatilia hao improved indigenous chicks na nimepata kaa 7 trays ambayo yanatosha kabisa, kwa mbegu huku kwetu, ni kweli kuna shida sana kupata na wapo wanao uza fake wanasema ni mayai ya hao kuku, so ni lazima kwenda kwenye kituo moja kwa moja, nilifanikia kuwaona hao kuku nilipo kuwa Naivasha ni wazuri sana hasa kwa mayai, Nitakutafuta this week mwishoni au next week, ok
 

Habari? unaweza tupatia changamoto za ufugaji huko kwenu? kwa sababu kwa EA mko mbali sana,
 

Unaweza elezea kuhusu hao improved wa kienyeji? naningependa kujua yafuatayo:
utagaji wao
kama wana atamia
na je mayai yao yana kiini cha njano au cheupe,
na sifa zake zingine
 
Kuku wa kieyeji an improved, hawa kuku nimchanganyiko wa breeds mbali mbali zilichukuliwa na wakapata hawa kuku wanao itwa Super chick na ilitumika genomic selection and breeding kupata hawa kuku,

ni kuku wazuri sana kwenye Kutaga mayai kwa sababu wnataka zaidi ya foreign breeds na wanaweza kusavave kwenye Ardi and sem Arid

Tatizo kubwa ni Upatikanaji wake, Inamchukua mtu miezi 7 hadi 8 kupata oda ya vifaranga wake, so unaweza ona ilivyo ngumu, ingawa kuna madalali wanao chukua na kuuza na kwa sasa vile vile wanapatikana F2 kwa sababu Centre wanatoa F1 Pekee

Hawa ndo majogoowa hao Super chick na hapo wapo kwenye kituo chao huko NAIVASHA,
 
Kaka nilikuomba na nikaweka order but hata jibu sikupata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…