Nitajitahidi sana,sipendi vya kukaanga sana ata chips napenda ku bakeHahahahaa! Kumbe mume ndo huwa anaharibu eeh...
Ila kama unapenda kutumia oven kuoka, ni muhimu uka maintain usafi wake.
Hususan kama kuna mafuta mafuta yemedondoka au yamechuruzika. Huwa hazikawii kutoa moshi.
Na moshi ukishaanza, smoke detector nazo zinaanza. Huwa zinanikera sana hizo detector...zina kelele mno [i guess lengo lake ni zuri, hata hivyo]
Nitajitahidi sana,sipendi vya kukaanga sana ata chips napenda ku bake
Safi!
Vya kuoka vina mafuta machache sana.
Vya kukaangwa vina mafuta tele!
Mimi hata samaki [napendelea tilapia] huwa naoka kwenye oven...
Mkuu inaonekana wewe ni bwana Misosi Mzuri
Same to us,sato wa foil afu umtie rosemary,garlic,ginger and lemon na mboga mboga au siku nyingine anakuwa steamed 😋😋Safi!
Vya kuoka vina mafuta machache sana.
Vya kukaangwa vina mafuta tele!
Mimi hata samaki [napendelea tilapia] huwa naoka kwenye oven...
Mkuu inaonekana wewe ni bwana Misosi Mzuri
Sana tu aisee.
Napenda kula nipikacho mwenyewe.
Huyu ni foodie kabisa,alivo anajipenda wali wake anapika old school kwenye jiko sio kama sie tunapika kwenye rice cooker majukumu mengi.
Mimi mwenyewe huwa napenda sana kukorofisha, kipindi flani uzito ukawa juu sana hadi kupelekea presha, siku hizi afadhali kidogo baada ya kufuata masharti
Mkuu samahan huyu rosemary ndo naniSame to us,sato wa foil afu umtie rosemary,garlic,ginger and lemon na mboga mboga au siku nyingine anakuwa steamed [emoji39][emoji39]
Hahahaaa rice cooker ilishanishinda aisee.
Najua ninayo nyumbani lakini iko kwenye garage huko inakusanya vumbi tu!
Mkuu samahan huyu rosemary ndo nani
Yaelekea hufanyi mazoezi eh? Au ulizembea tu?
Nilizembea na red meat kwa wingi, mazoezi sifanyi kwa kweli zaidi huwa natembea sana, hospitali niliambiwa niwe natembea hata dakika thelathini inatosha,kupunguza presha
Nimefika mkwe[emoji39][emoji39]
Nitajitahidi sana,sipendi vya kukaanga sana ata chips napenda ku bake
Mzee baba hizo mambo hazipo mitaa ya kwa tumbo ujue hahahaDah mapishi ya kishua haya ,Nayepuliza moto hadi macho yamekuwa mekundu sijui naandaje msosi huo
Naomba upitisha kijicho nione ikiwa imevurugika[emoji1431][emoji39][emoji39][emoji39]View attachment 1160735
Muonekano ni huu mara tu baada ya kutoka kwenye oven bila ya kukoroga mchanganyo wetu.
I hope mtapenda.