Kuku wanaopikwa hotelini asilimia kubwa ni vibudu ambao huchinjwa na wanawake!

Wew kula nyama bana,
Kwani dhambi ngapi tunatenda,
Tunazini, tunadanganya,

Hakuna atakaechomwa moto kisa kula vibudu, tutachomwa moto kisa uzinzi, uongo, uchawi, masengenyo na dhambi ka hizo
Hatuchomwi moto kabisa. Watu wote mko salama
 
Wape faida wana!
ni darasa pana kidogo japo kwa ufupi kuna njia ya kuwa piga kichwani wazirai hii hutumika kwenye maeneo ya uchinjaji wa namba kubwa ya wanyama au ndege,njia ya kitamaduni kwa hapa kwetu wamasai hutumia kwa kuwatoboa wanyama hata kule uchagani hutengeneza ndafu kwa njia hiyo, kisha kuna njia ya kiislamu hii hufuata muongozo wa dini ya kislamu
 
Basi msile mahotelini tuone
 
Umeeleza vyema ila kidogo ni wa maria kuwa ndio mkamata kisu!
 
Umegundua hicho kitu upo sahihi mafukara wa mitandaoni hupenda kujifaharisha!
 
bora hata wamechinjwa na hao wanawake,wanaume tuko bize
 
Kuna watu hawana dini ila sio mashoga

Mi naona wewe kiwango chako cha akili hakiendani na falsafa yangu.

Maisha mema,

Subiria imam akuambie ukajiripue kanisani ili ukienda kuzimu upate mabikra 72
Miskiti mingapi hapo ulipo watu wamejilipua kwa kutumwa na imamu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…