Kuku wanaopikwa hotelini asilimia kubwa ni vibudu ambao huchinjwa na wanawake!

Chakula ni kile ulichojipikia mwenyewe! Lakini chakula ulichopikiwa na mwingine hata kama ni mkeo tunakula kwa Imani tu! Kabla ya kula mshukuru Mungu kwa maneno machache then unaanza kula.
Na usisikie mapishi ya huko!
Inatisha!
 
Chakula ni kile ulichojipikia mwenyewe! Lakini chakula ulichopikiwa na mwingine hata kama ni mkeo tunakula kwa Imani tu! Kabla ya kula mshukuru Mungu kwa maneno machache then unaanza kula.
Na usisikie mapishi ya huko!
Inatisha!
Hebu wape faida kidogo kwa wana jamvi!
 
Waarabu wamekuharibu akili na mamila Yao ya hovyo Sasa hivi unamwona mama yako, dada yako, bunti yako, MKE wako na shangazi zako sio binaadamu na wakichinja kitoea ni sawa sawa na shetani kachinja na hakiliki. Hovyo kabisa
 
Waarabu wamekuharibu akili na mamila Yao ya hovyo Sasa hivi unamwona mama yako, dada yako, bunti yako, MKE wako na shangazi zako sio binaadamu na wakichinja kitoea ni sawa sawa na shetani kachinja na hakiliki. Hovyo kabisa
Haya tangulia kachukue mafuta ya upako na udongo maana wazungu wamekuletea vya maana!
 
Mwanamke wa kiislamu anaruhusiwa kuchinja
 
mada za kipimbi. wewe kula mradi chakula kiandaliwe kwa usafi na kisiwe na madhara ya moja kwa moja kwa afya
 
Hata angegongwa na mwendokasi kama kidali kimesalimika me namgongea na Nyagi.
 
Sisi waisalam mwanamke anaweza kuchinja bila shida na tukala na sio dhambi
 
Wakipikwa huwa hawaivi?
Kuna ugonjwa wowote wanaosababishia binadamu wakichinjwa hivyo?
Umeshawahi kuona Japanese au Chinese ambao huanza na kuwanyonga halafu ndiyo wanawachinja? Mbona siha zao ni njema tu.
 
Kuzaliwa na mwanamke pia ni kosa! Jitahidi ujipe ujauzito mwenyewe ili usizae kibudu
 
Mbabe wenu ni samaki hakuna Cha mwanamke Wala Mwanaume ..... Muache ubaguzi ....
 
Sisi tunaenda kula nyama wala hatuendi kujua nani kachinja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…