Kuku wangu 1 anataga mayai 3-4 ndani ya masaa24!

Kuku wangu 1 anataga mayai 3-4 ndani ya masaa24!

Hakuna kitu kama hicho, utawashika masikio wasio jua Sayansi ya utengenezwaji wa yai. ni sawa sawa kabisa na kusema MWanamke ndani ya mezi 9 kajifungua mara 3 kitu ambacho hakiwezekani na wala hakipo. Unajua yai moja huchukua masaa ngapi kukamilika kutengenezwa?
Au kusema jogoo ametaga baada ya kukuta kijiyai kidogo...😅😅
 
Wazungu tayari wametupata. Wanajua Ujinga wetu. Najua hao kuku unawafurahia ksbb wanakupa faida. Lakini sisi Waafrica asili yetu ni kuku wa kienyeji pure. Tumeachana na hivyo tunakimbilia tunavyotengenezewa maabara na wazungu. Nia yao watumia chakula kama siraha ya maangamizi kwa mwafrica.
1. Zamani ilikuwa tukipanda mahindi punje moja inatoa mhindi mmoja wenye punje nyingi. Ule mhindi unapukuchuliwa kutoa mahindi mengi. Unachagua ktk mahindi yako unaweka ya mbegu. Wazungu wakagundua huko tunaweza kupitisha siraha ya maangamizi. Wakaleta mahindi ya maabara. Punje moja ya mhindi inaenda kutoa mahindi hata ma3 kwenye shina moja. Ujinga wetu tukaacha mbegu zetu za asili tukaingia upate mengi. Yale yaliyowekwa genetics za kuua taratibu kwa njia mbalimbali.

Hayo mahindi huwwezi kuyarudisha tena shambani mpaka ukanunue tena mbegu zingine ambazo ni mpya,zimewekwa genestic mpya. Ili siraha iwe mpya kila wakati.
2. Iko kwenye miti ya matunda pia kama maembe n.k
3. Kwenye mifugo pia. Wanatuondolea taratibu vyote vya asili wanatuletea vilivyopandikizwa genestic za kuua. Ksbb wanajua Ujinga wetu wakatumia njia hiyo kuboresha hiyo mifugo kutudanganya tuingie mazima. Kama ni ng'ombe wa maziwa wa kienyeji anatoa lita 2 kwa siku wenyewe wakamfanya wa kwao atoe lita 8. Kama mwembe unazaa miaka miwili toka upande.
Hivyo hivyo kwenye kuku.

Kuathirika kwetu Waafrica kupo kwenye magonjwa siku hizi ni mengi sana. Hata kwa vijana wadogo wanaumwa magonjwa ya watu wazima. Tofauti na wazungu. Pia wazungu wanafariki kuanzia miaka 80. Sisi kuanzia 50 hapo.
Kifupi wametupata
Acha ujima, hakuna mwenye nia ya kukuuua
 
Hongera sana kuku...pia heshima kubwa sana kwa jogoo...vifaranga kwangu kwa week vinaweza kuwa 70..ni wakienyeji kabisaa ndan ya fensi kuna shamba hivyo wanazurura tuu..lakin cha kushangaza Mungu akinisaidia sanq nabakiwa na 20 chanjo kila kitu nawapa Dah naumia sana
Ahsantee mkuu ila mimi naona Kuna shida kwenye huyu kuku. Maana sio kawaida na sijawahi ona hili
 
Hakuna kitu kama hicho, utawashika masikio wasio jua Sayansi ya utengenezwaji wa yai. ni sawa sawa kabisa na kusema MWanamke ndani ya mezi 9 kajifungua mara 3 kitu ambacho hakiwezekani na wala hakipo. Unajua yai moja huchukua masaa ngapi kukamilika kutengenezwa?
Watu kama ni hasara tupu ukute nawewe unatongozwa family inakutegea!! Mavi kabisa.
Mimi nimekuja hapa kucheki nawataalamu waniambie hii imekaaje maana tangu nianze kufuga kuku iwe kienyeji au Hawa chotara huu ni mwka wa11 lakini sijawahi ona hili.

Nimeeleza wazi kuwa kuku huyu usiku anataga mayai 2 na yote ni tepetepe gamba sio gumu nikakuwekea na picha hapo ya mayai hayo mawili lkn akiri mavi Bado unajiona una akiri. Kama hujawahi sikia Wala kuona basi Leo umesikia na huwezi badiri kitu katika uhalisia na Leo amekuja bwana mifugo nae kasema Bado hajawahi ona kayaona mayai yote Kwa macho yake yaliyotagwa usiku.

Kashauri nimpe DCP ama chokaa au mifupa nk

Kwa chini ndo mayai yanayo tagwa usiku sio imara
 

Attachments

  • IMG_20240529_061726_480.jpg
    IMG_20240529_061726_480.jpg
    115.9 KB · Views: 19
INGIA GOOGLE MKUU UPATE UPDATE ZA KUTOSHA AU NENDA KWA WATAALAM WA MIFUGO WATAKUSAIDIA HILO
Yeah nilimuita mtaalamu wangu nae kashangaa Tena usiku wa leo kataga Moja ambalo kidogo gamba lake ni gumu lakini lile jingine tumekuta tiyari nimevunjika tukaona kiini. Kanishauri nifanye vitu kadhaa ..
 
Habari ya asubuhi mkuu?.

Huyo kuku mfanyie wepesi awe na self care hadi chakula, yaani mpe tip yake kwa uzazi huo mkuu, angalau pumba ziwe na dagaa wa maji chumvi walichanganhwa bila yale madawa yenu ya mifugo.
Salama mkuu ukweli uduvi anapata mara Moja Moja sana pumba ndo Kila siku na mabaki ya jikoni Kwa wingi
 
Wazungu tayari wametupata. Wanajua Ujinga wetu. Najua hao kuku unawafurahia ksbb wanakupa faida. Lakini sisi Waafrica asili yetu ni kuku wa kienyeji pure. Tumeachana na hivyo tunakimbilia tunavyotengenezewa maabara na wazungu. Nia yao watumia chakula kama siraha ya maangamizi kwa mwafrica.
1. Zamani ilikuwa tukipanda mahindi punje moja inatoa mhindi mmoja wenye punje nyingi. Ule mhindi unapukuchuliwa kutoa mahindi mengi. Unachagua ktk mahindi yako unaweka ya mbegu. Wazungu wakagundua huko tunaweza kupitisha siraha ya maangamizi. Wakaleta mahindi ya maabara. Punje moja ya mhindi inaenda kutoa mahindi hata ma3 kwenye shina moja. Ujinga wetu tukaacha mbegu zetu za asili tukaingia upate mengi. Yale yaliyowekwa genetics za kuua taratibu kwa njia mbalimbali.

Hayo mahindi huwwezi kuyarudisha tena shambani mpaka ukanunue tena mbegu zingine ambazo ni mpya,zimewekwa genestic mpya. Ili siraha iwe mpya kila wakati.
2. Iko kwenye miti ya matunda pia kama maembe n.k
3. Kwenye mifugo pia. Wanatuondolea taratibu vyote vya asili wanatuletea vilivyopandikizwa genestic za kuua. Ksbb wanajua Ujinga wetu wakatumia njia hiyo kuboresha hiyo mifugo kutudanganya tuingie mazima. Kama ni ng'ombe wa maziwa wa kienyeji anatoa lita 2 kwa siku wenyewe wakamfanya wa kwao atoe lita 8. Kama mwembe unazaa miaka miwili toka upande.
Hivyo hivyo kwenye kuku.

Kuathirika kwetu Waafrica kupo kwenye magonjwa siku hizi ni mengi sana. Hata kwa vijana wadogo wanaumwa magonjwa ya watu wazima. Tofauti na wazungu. Pia wazungu wanafariki kuanzia miaka 80. Sisi kuanzia 50 hapo.
Kifupi wametupata
Mbona kuku huyu anafugwa kienyeji tu?
 
Back
Top Bottom