BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Kuna wajinga humu jamaa kaisha washika, na jamaa sidhani kama ni mfugaji,iyo nakubali ila si kutaga mayai manne kwa siku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wajinga humu jamaa kaisha washika, na jamaa sidhani kama ni mfugaji,iyo nakubali ila si kutaga mayai manne kwa siku
Nasikitika kuna wajinga humu usha wakata tiyaliMkuu hayupo awezaye kukulazimisha kamwe
Sawa mkuuKawadanganye walevi
vipi mkuu kuku wako ana huu uwezo pia?
Hapana , hata hivyo mimi ninao wa kienyeji.. Unaniogopesha mana nataka nianze na kisasa piavipi mkuu kuku wako ana huu uwezo pia?
Atakua changamoto huyoHabari za uzima Wana jf🙏
Kwa heshima kubwa Sana nimekuja kwenu hapa.
Pamoja na kwamba hapa Kuna utani na mizaha ya hapa na pale
Naomba tuiweke kando
Tujadiri hili.
Mimi ni mfugaji mzoefu na Nina uzoefu kweli hasa kwenye kuku.
Kwa siku za Hivi karibu kuku wangu amenifanya niwaze sana maana sijawahi ona kuku ndani ya masaa24 umekuwa kawaida sana kutaga mayai3 na siku nyingine 4!
Naelewa ya kwamba process ya kutengezeka Kwa yai Moja hutumia masaa24.
Lkn Kwa kuku huyu imekuwa tofauti. Asipotaga mayai 3 basi kesho yake mchana ata Taga yai kubwa sana kama hapo kwenye picha.
Ipo Hivi Kila siku usiku anataga mayai 2-3 na mchana anataga yai 1 Yale ya usiku mara zote yanakuwa tepetepe kama yanvyooneka kwenye picha.
Je hii imekaaje ?
Wataalamau wa mifugo karibuni sana
Kuku huyu ni sasso anafugwa kienyeji simpi madawa Wala madini kama DCP nk simpi inshort anaishi kienyeji 100%
Karibuni