Bado haisaidii
Yaani kama hujui madhara ya kula kuku hawa wa kisasa na mayai ya kisasa. Na mahindi na mpunga huu wa kutumia madawa na mbolea...! Basi wewe unaishi tu ili mradi ufike utakapoishia.
Unafikiri haya magonjwa ya uvimbe uvimbe,matatizo ya viuno,matatizo ya nguvu za kiume kwa vijana wengi siku hizi. Kwa uchache hayo yanatokana na nini? Na magonjwa siku hizi ni mengi tena ya ajabu ajabu. Yote hayo yanatokana na haya mavyakula yenye madawa na mbolea. Wewe unabugia tu ndugu?
Kwa taarifa yako mazao yanahitajika sana ulayo kama cocoa,parachichi hizi wanatuma na watu kabisa wa mafunzo namna gani yapandwe. Wanasisitiza yatumie mbolea za wanyama(samadi). Yasipuliziwe dawa. Hata wakihitaji mchele tu wanahitaji ule ambao haujatumia mbolea za kiwandani,pia usiotumiwa dawa za kiwandani. Wanakuja na kipimo kabisa kujua kama umetumia mbolea za kiwandani