Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Mayala naamini tukiwa na tume huru ya uchaguzi matakeo yatakuwa haya 1..chama cha upinzani kitashika hatamu 2. vyama vya upinzani vita sambaratika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pascal Mayalla akili zote uliziacha bungeni. Hivi uchaguzi ulikuwa huru na wa haki?
Hukuziona figisu?
Kwanza mateso anayo yapata Erick Kabendera wewe ndio chanzo.
Wasukuma Ni watu wabaya sana
Wanabodi,
…. hongera sana CCM, Hongera Rais Magufuli, Hongera Watanzania kuikubali sana CCM, kumkubali Rais Magufuli.
Watanzania wangapi wapi waliopiga kura? Ni watanzania wangapi waliopiga kula?
…. ila ni kwa ushindi wa mezani, watu hawakupiga kura baada ya timu pinzani kuweka mpira kwapani, ….Wasiotawala Ndiyo waliweka mpira kwapani au chama dola??? .....sasa sijui kama kule kutopiga kura kuchagua nako ndiko kukubalika kwenyewe lakini maadam kwa matokeo ya mwisho mshindi ni CCM, then CCM imekubalika. Paschali nawe umeshakuwa karatasi nyepesi za maliwato..
HATA WANA WA ISRAEL WAKATI WANA MKATAA MUNGU, WALIJIONA WAKO SAHIHI NA BAADHI YAO WALIKUWA NA MAWOZO KAMA YAKO. Na hayo ndo yalikuwa maombi yako watanzania. Kuwa kikwete ni dhaifu tunataka rais mkali na ......Paskali ancheka na kivuli chake baada ya kupata cnhan'gaaa na mshiko pembeni
kama anagombea tena, atakuwa ni pandikizi la CCM.Kama Mbowe atashida bora na Ccm ishinde hata kwa 100% Mbowe anaupa upinzani wakati mgumu sana kujitetea nda ndiye atauzika.
Ukijitoa JF ndo inakuwaje kwani...Tumeshaaminishwa inapendwa sana na Hakuna kipindi ambacho TZ Imeendelea kuliko hiki.
Wapinzani nategemea wasuse, na hivyo hata hiyo 2% ni Kura zilizoharibika.
Kuhusu Mabeberu kuingilia kati, Sitegemei maana nimegundua wako bize na mambo mengi yanayotikisa amani za dunia huku kwetu ishu za uchaguzi ni vitu vidogovidogo kwao. Wakijitahidi saana walaaandika barua.
Kutabiri ni bure wakuu, msiniponde na vyupa. Natumia mbinu za kipaskali za Trending