Usiku huu nilianza kuona tetesi za usajili wa Chikwende!
Kama ni kweli, hiki ni Kielelezo kingine cha kukosa weledi katika menejimenti ya Soka!
Inawezekana Rais alikuwa sahihi aliposema Tatizo la doka la Tanzania ni Simba na Yanga!
Katika hiki kinachoitwa uwekekezaji katika hizi timu mbili, unajuliza inakuwaje kunakosekana weledi katika menejimenti ya Soka!
Hivi Simba walikuwa na Mpango wa kusajili ktk dirisha dogo, walitaka kusajili kwa malengo gani? Walijua wanamsajili nani?
Huyu Chikwende so wamemjua juzi tu? Somewhere something is wrong!
Ukiondoa Afika kusini na DRC, pengine Angola Tanzania ndio Kuna pesa za kuokota kwa wanasoka!
Hebu muangalie Sarpong, Calinyo' Mugalu, Balya, Yikpe wanatofauti gani na Watz?
Leo hii Ligi yetu imejaa Warundi! Mmakocha na wachezaji, kweli?
Mo na kina GSM wanajua kuwa wanachofanya haakina faida kwa sokala Tanzania Ila wao wmesoma upepo wanapiga hela!
Bila wadau kuamka na kuangalia huu Utopolo wa Soka letu ,tutaendelea kutambiana u-Simba na u-Yanga Basi!
Kama ni kweli, hiki ni Kielelezo kingine cha kukosa weledi katika menejimenti ya Soka!
Inawezekana Rais alikuwa sahihi aliposema Tatizo la doka la Tanzania ni Simba na Yanga!
Katika hiki kinachoitwa uwekekezaji katika hizi timu mbili, unajuliza inakuwaje kunakosekana weledi katika menejimenti ya Soka!
Hivi Simba walikuwa na Mpango wa kusajili ktk dirisha dogo, walitaka kusajili kwa malengo gani? Walijua wanamsajili nani?
Huyu Chikwende so wamemjua juzi tu? Somewhere something is wrong!
Ukiondoa Afika kusini na DRC, pengine Angola Tanzania ndio Kuna pesa za kuokota kwa wanasoka!
Hebu muangalie Sarpong, Calinyo' Mugalu, Balya, Yikpe wanatofauti gani na Watz?
Leo hii Ligi yetu imejaa Warundi! Mmakocha na wachezaji, kweli?
Mo na kina GSM wanajua kuwa wanachofanya haakina faida kwa sokala Tanzania Ila wao wmesoma upepo wanapiga hela!
Bila wadau kuamka na kuangalia huu Utopolo wa Soka letu ,tutaendelea kutambiana u-Simba na u-Yanga Basi!