Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Bora umesema mkuu nliogopa kucomment wa kwanza hiyo kauliKuishiwa kubaya
😂😂😂Kuishiwa kubaya
Vipi mke wako kakuelewa hiyo hoja uliyojenga kuwa dagaa wadogo wazuri kuliko samaki wakubwa kwenye kula?
Kuishiwa kubaya
Vipi mke wako kakuelewa hiyo hoja uliyojenga kuwa dagaa wadogo wazuri kuliko samaki wakubwa kwenye kula?
Dagaa mcheleDagaa wa Bukoba kilo moja 10000
Dagaa wa nyasa kilo moja 15000
Dagaa wa kigoma kilo moja 36000
Sasa unashauri tule dagaa wa wapi?
Kama unakufa inajalisha utachokula?Kufa na sumu kwenye dagaa na kwenye nyama unachagua Nini mkuu
Dagaa ni dagaa tu Alimradi wanaliwa na mifupa yaoDagaa wa Bukoba kilo moja 10000
Dagaa wa nyasa kilo moja 15000
Dagaa wa kigoma kilo moja 36000
Sasa unashauri tule dagaa wa wapi?
Hebu mshaurini mcanada mwenzenu aliyekuja huku asituzingue na madharau ya nchi yetuAsante kwa ushauri ila huku Canada dagaa ni chakula cha matajiri ni bei juu sana, kuku tu ndo bei che hata ukiwa homeless unaimudu