Hatukatai ni kweli. Lakini kama huna yakununulia samaki mkubwa na unayo fungu 2 za dagaa si ndio hapo unaambukia kula dagaa kila wakati!Tofauti na samaki wakubwa, mtu anayekula dagaa anakula hadi mifupa yake. Sasa mifupa ina madini mengi sana ya calcium. Madini hayo ndiyo hujenga mifupa ya viumbe wote.
Binadamu anayekula dagaa anakuwa na mifupa imara sana kuliko alaye samaki wakubwa, hasa kwa watoto ambao wanakua. Kwa kweli haitakiwi mlo ukose dagaa.
Asante Kwa kutupa fundisho.
Hata asiye na ya nyama ananunua matumbo!.