Kula dagaa kuna faida kuliko kula samaki wakubwa

Kula dagaa kuna faida kuliko kula samaki wakubwa

IMG_1318.jpg

IMG_1317.jpg

Dagaa nyama, hawa hupatikana bahari ya hindi tu na ni maarufu maeneo ya Zanzibar, Tanga hasa Pangani, mafia, kilwa na kadhalika hawa hupatikana linapoanza bamvua
 
IMG_1314.jpg

Dagaa nyasa hawa hupatikana ziwa Nyasa, katika mikoa ya ruvuma, njombe na mbeya lakini pia ziwa hilo hufika hadi malawi, dagaa hawa wakiwa wabichi wakubwa wengine huwaita usipa, wsliokaushwa juani huitwa Ng’onda
 
Back
Top Bottom