Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
- Thread starter
-
- #61
Ni kweli. Mtu ukishakua mtu mzima hihitaji protini kwa wingi. Ajabu baba linapiga mapaja ya kuku watoto vipapatio. Ulafi tu.Kuna jamaa mwingine nilimsikia akisema, ukila nyama ni vipande viwili tu vinavyojenga protini ya mwili. Vingine ni makapi tu. Hii njaa itatufunua mambo mengi
Kula aina zoteDagaa wa Bukoba kilo moja 10000
Dagaa wa nyasa kilo moja 15000
Dagaa wa kigoma kilo moja 36000
Sasa unashauri tule dagaa wa wapi?
Hao dagaa wa Ziwa Victoria siyo dagaa ni wadudu wa majini tu.Dagaa wa ziwa victoria bei chee sana hasa kipindi cha mvua. Hiyo elf 10 ni zaidi ya kilo 20 wabichi
Hizo ni mbwembwe zenu vijana msio na fedha na mnaotafuta pia watoto wa 2000's ila sisi watu wazima na tulio na fedha kila kitu ni mboga hata nyoka na mende kwa kutegemea namna wnavyoandaliwa na makuzi yako. Unaweza amini kuwa Pinda na uwaziri wake mkuu anakula "madimu" yanayookotwa porini kwenye miti iliyooza kule Mpimbwe na tena yanapandishwa ndege apelekewe DSM au Dom au unaamini Lowasa anakula "rushoro" au anakunywa "damu mbichi ya wanyama" badilika dogo na acha ulimbukeni.Tafuta hela dagaa sio mboga
Na ndio mana pia mangoosha wako fizuri kwenye kugegeda hata watu wa songea maana kumbe wana madini mengi ya chuma.Watu watakuona umetoa pumba na wengine watakukejeli kuwa umeishiwa lakini ukweli uko pale pale dagaa kwa afya ni bora kuliko samaki wa kawaida.
Uzuri tumbo huwa halibagui kinchoingia ikifikia mahali vimeng'enyo vinataka kuchukua fungu lake la mwili haviangalii umekula pilau au umekula viazi manumbu au umekula dagaa au samaki wakubwa
Ndo maana kanda ya ziwa ni vigumu sana kupata magonjwa ya tezi la shingo na ukosefu damu au anemia sababu ya dagaa.
Dagaa zina madini mengi mno ya chuma na calcium
yani hao si unakula mwezi mzima kabisa,,Dagaa wa ziwa victoria bei chee sana hasa kipindi cha mvua. Hiyo elf 10 ni zaidi ya kilo 20 wabichi
Dagaa wa nyasa dar wanapatikana?
Natakaga wa kula tuToa order. Nipo mbamba bay
Tofauti na samaki wakubwa, mtu anayekula dagaa anakula hadi mifupa yake. Sasa mifupa ina madini mengi sana ya calcium. Madini hayo ndiyo hujenga mifupa ya viumbe wote.
Binadamu anayekula dagaa anakuwa na mifupa imara sana kuliko alaye samaki wakubwa, hasa kwa watoto ambao wanakua. Kwa kweli haitakiwi mlo ukose dagaa.
Kuna mtu atalia muda siyo mrefuToa order. Nipo mbamba bay
Tumekusikia tajiri....... Mbona Hilo ni somo la Darasa la nne C ..... Unachokataa ni nini!???Kuishiwa kubaya
Vipi mke wako kakuelewa hiyo hoja uliyojenga kuwa dagaa wadogo wazuri kuliko samaki wakubwa kwenye kula?
Dagaa ana mfupa!?Tofauti na samaki wakubwa, mtu anayekula dagaa anakula hadi mifupa yake. Sasa mifupa ina madini mengi sana ya calcium. Madini hayo ndiyo hujenga mifupa ya viumbe wote.
Binadamu anayekula dagaa anakuwa na mifupa imara sana kuliko alaye samaki wakubwa, hasa kwa watoto ambao wanakua. Kwa kweli haitakiwi mlo ukose dagaa.