Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #81
Safi sana, safari moja uongeza nyingineNipo apa nasafri na safari lager😝😝😝
View attachment 3095191
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana, safari moja uongeza nyingineNipo apa nasafri na safari lager😝😝😝
View attachment 3095191
Kabisa 😂😂Safi sana, safari moja uongeza nyingine
Ukipiga hivi vitu mara kwa mara, unakuwa hauzeeki harakaShida yenu Vijana mnatutenga sana Wazee wenu
Haya waliopo hapa Liquid Pub, Uhasibu mkiona Kuna Mzee above 65yrs amezungukwa na wahudumu wakike tupu mjue ni Mimi 🤗
Ngoja niwatafute humu waje hukoInabidi wachapwe viboko; maisha ni kujichanganya pia na jamii ili kupunguza msongo wa mawazo
Bora uwe na ata rungu kuliko kutokuwa na silaa yoyote katika kujihamiUlinzi mkali.. wale mabaunsa 🤣🤣
ha ha ha haUlilo shika😝😝😝
Hakuna kulala, kurudi nyumbani saa 11 asubuhiNamalizia saa4 naelekea kitamabaa sinza kucheki malaya
Ingia kitaa, mkajadili ata siasa za marekaniM weekend yangu naimumunya KiJF zaidi.
Nakula supu kabisa ndio narudi kulala kuamka saa7 mchanaHakuna kulala, kurudi nyumbani saa 11 asubuhi
Bora ungenambia ntoke nje nkahesabu nyota kuliko Trump na KamalaIngia kitaa, mkajadili ata siasa za marekani
Ata hiyo sawa tu; muhimu usiishi kinyongeBora ungenambia ntoke nje nkahesabu nyota kuliko Trump na Kamala
Hakuna kupika leo, tuingie mtaani, wkend imeanza; wapi kuna vaibu nzuri kwa siku ya leo; kuwepo na laivu bendi yenye mdundo wa taratibu, usiochosha mwili na viungo.
Mi nimeshapiga pamba zangu nyeupe kwa ajili ya kujichanganya na jamii; we unajipanga kwa lipi katika wkend hii?
Maisha ni haya haya na yana mwisho, uwe na mali usiwe na mali lazima ufikie mwisho wako.
Kula maisha...
Linaonekana niligumu sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii nishida nayoHii bongo eeehhh tenadariìisaaalaaam.
Safi kabisa 🤗Hakuna kupika leo, tuingie mtaani, wkend imeanza; wapi kuna vaibu nzuri kwa siku ya leo; kuwepo na laivu bendi yenye mdundo wa taratibu, usiochosha mwili na viungo.
Mi nimeshapiga pamba zangu nyeupe kwa ajili ya kujichanganya na jamii; we unajipanga kwa lipi katika wkend hii?
Maisha ni haya haya na yana mwisho, uwe na mali usiwe na mali lazima ufikie mwisho wako.
Kula maisha...
View attachment 3095173
😂😂unapiga pamba nyeupe umekua maiti?