Mkuu ilikuwa ni mchuzi wa samaki.
Siku hiyo nilisema nataka kufanya maajabu.
Mchuzi nilikuwa ulikuwa mzuri ila sasa uki mbaja harufu yake inakuwa ya shida sana,yani una mbaja alafu unajiuliza hakuna mwingine ananisaidia humu au ndo mimi tu?
Alafu nilichanganya na tangawizi ukubwa wa dole gumba.
Nimewaza sana kwa nini zamani ilikuwa maandazi matatu unashiba mpaka mchanaa?Elf mbili kubwa sana kutumia tu asubuh hasa ukiwa peke yako
Sasa mi mwanaume nikande ngano?
Afu madam S ujue na mimi nipo single.
Sent using my Nokia Torch
Ongezea na muda utakaotumia kupika, moto na kuungua ungua.Kupika mwenyewe
Mana utataka mazaga kibao ukanunue upike uje uivishe msos yan pesa imeenda mgahawani unakuta tayar ready made hata hela unayotoa haifiki ile ambayo ungegharamia kupika mwenyewe sema nayo yategemea na mgahawa
Dah basi mimi extravagant sana. Mimi asubuhi lazima nikate buku 2 afu naona kawaida. Kuna kipindi nilikua nakaa uswazi huko Yombo kwa Limboa.....nilikua na stress za kuhama nikajikuta nimefika huko toka Aiport....pale nilikua nakula 900. Maharage 400 na chapati 2 za jero. Ukila chapati/maandazi/vitumbua/mihogo na chai tu ikizidi sana 700.Elf mbili kubwa sana kutumia tu asubuh hasa ukiwa peke yako
Fanya vile two singles wanapokutana halafu nimeonesha nia.Hahahaha sasa kama uko singo nifanyaje jamani
Nyie wanaume sawa ila mim nishazoea hiyo unabadilisha tu mapishi ili mradi bajeti ya kununua vitafunwa asubuh haipo
Nimewaza sana kwa nini zamani ilikuwa maandazi matatu unashiba mpaka mchanaa?
Alafu wakati ule ndo michezo mingi na chakula ndo kinatumika sana tumboni,ila ukubwani huku mtu na kszi za kukaa ofisini anapiga misupu mchana michipsi.
Mimi saivi nimerudia utaratibu wangu wa zamani.
Ratiba yangu asubuhi ni 500 tu.kwa sababu zamani mia tatu ilinitosha sana seuze saivi.
Na kula kwangu mpska nihisi njaa.
Aisee nainjoy sana.
Kuna mambo mengi ya kufanya zaidi ya kula.
Utakatishaji wa pesa,Kwa Ulaya kula mgawani ni uhujumu uchumi binafsi.
Fanya vile two singles wanapokutana halafu nimeonesha nia.
Sent using my Nokia Torch
Dah basi mimi extravagant sana. Mimi asubuhi lazima nikate buku 2 afu naona kawaida. Kuna kipindi nilikua nakaa uswazi huko Yombo kwa Limboa.....nilikua na stress za kuhama nikajikuta nimefika huko toka Aiport....pale nilikua nakula 900. Maharage 400 na chapati 2 za jero. Ukila chapati/maandazi/vitumbua/mihogo na chai tu ikizidi sana 700.
Ila huku niliko vyakula ni ghali ndio maana.
Mfano mama yangu anaishi Mbagala, kule kipaja cha kuku wa amadori ni sh 1300 huku kwangu ni sh 2,000. Mbagala maisha rahisi sana.
Sent using my Nokia Torch
Ilishika mkuu ila niliikalia hapo hapo nikasema nikitoka imeungua
Wanawake wa pwani kwa kupika.......Sasa me ni mwanamke nikiona asubh nakosa muda wa kuandaa vitafunwa niko radhi jioni nichome hata vibofulo vya kesho asubh tu na mchana nikiwa mbali na home sina namna kama sihisi njaa sitakula kama nahisi njaa ntafanya namna lakini unarudi home mahitaji muhim yapo ndani siwez ninunua chakula na hata hivo kupika pika kupo damuni
Ongezea na muda utakaotumia kupika, moto na kuungua ungua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wa pwani kwa kupika.......