Mr George Francis
JF-Expert Member
- Jun 27, 2022
- 234
- 376
KULA SANA BATA HATA KUKU WOTE LAKINI KAMWE USIWASAHAU NDUGU ZAKO.
"Kama MUNGU amekujalia uwezo mzuri wa kiuchumi, weka nguvu kwa ndugu zako pia.
Usiwasahau ndugu zako kwasababu ipo siku utawahitaji na usipowahitaji wewe basi tutawahitaji sisi kwaajili yako.
Siku ukiumwa au kupata matatizo yoyote hatutawatafuta rafiki zako bali tutawatafuta ndugu zako ili wajue jinsi ya kukusaidia kama ndugu yao.
Hakikisha kwenye mafanikio yako hauwafingii vioo ndugu zako, hao ni watu muhimu sana kwako hatakama leo unawaona kama hawana umuhimu kwenye mafanikio yako.
Yamkini MUNGU amekuinua wewe kwaajili yao. Yaani wamebeba baraka zako bila wewe mwenyewe kujua.
Tuwapende na kuwajali ndugu zetu. Usiwavimbie na kuwaona kama hawajielewi kwasababu hawajafanikiwa kama wewe.
Tumeshashuhudia watu wengi sana wakipatwa na tatizo au wakiwa wamepoteza maisha kwenye mazingira tatanishi chakwanza huwa tunauliza ndugu zake wapo wapi?
So kula sana bata hata kuku wote lakini kamwe usisahau ndugu zako.
Kama unakubaliana na mimi na unawajali ndugu zako gonga like, comment twende sawa."
I'm Mr George Francis
Lawyer & Contents Creator
"Kama MUNGU amekujalia uwezo mzuri wa kiuchumi, weka nguvu kwa ndugu zako pia.
Usiwasahau ndugu zako kwasababu ipo siku utawahitaji na usipowahitaji wewe basi tutawahitaji sisi kwaajili yako.
Siku ukiumwa au kupata matatizo yoyote hatutawatafuta rafiki zako bali tutawatafuta ndugu zako ili wajue jinsi ya kukusaidia kama ndugu yao.
Hakikisha kwenye mafanikio yako hauwafingii vioo ndugu zako, hao ni watu muhimu sana kwako hatakama leo unawaona kama hawana umuhimu kwenye mafanikio yako.
Yamkini MUNGU amekuinua wewe kwaajili yao. Yaani wamebeba baraka zako bila wewe mwenyewe kujua.
Tuwapende na kuwajali ndugu zetu. Usiwavimbie na kuwaona kama hawajielewi kwasababu hawajafanikiwa kama wewe.
Tumeshashuhudia watu wengi sana wakipatwa na tatizo au wakiwa wamepoteza maisha kwenye mazingira tatanishi chakwanza huwa tunauliza ndugu zake wapo wapi?
So kula sana bata hata kuku wote lakini kamwe usisahau ndugu zako.
Kama unakubaliana na mimi na unawajali ndugu zako gonga like, comment twende sawa."
I'm Mr George Francis
Lawyer & Contents Creator