KULA SANA BATA HATA KUKU WOTE LAKINI KAMWE USIWASAHAU NDUGU ZAKO.

KULA SANA BATA HATA KUKU WOTE LAKINI KAMWE USIWASAHAU NDUGU ZAKO.

Mr George Francis

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2022
Posts
234
Reaction score
376
KULA SANA BATA HATA KUKU WOTE LAKINI KAMWE USIWASAHAU NDUGU ZAKO.

"Kama MUNGU amekujalia uwezo mzuri wa kiuchumi, weka nguvu kwa ndugu zako pia.

Usiwasahau ndugu zako kwasababu ipo siku utawahitaji na usipowahitaji wewe basi tutawahitaji sisi kwaajili yako.

Siku ukiumwa au kupata matatizo yoyote hatutawatafuta rafiki zako bali tutawatafuta ndugu zako ili wajue jinsi ya kukusaidia kama ndugu yao.

Hakikisha kwenye mafanikio yako hauwafingii vioo ndugu zako, hao ni watu muhimu sana kwako hatakama leo unawaona kama hawana umuhimu kwenye mafanikio yako.

Yamkini MUNGU amekuinua wewe kwaajili yao. Yaani wamebeba baraka zako bila wewe mwenyewe kujua.

Tuwapende na kuwajali ndugu zetu. Usiwavimbie na kuwaona kama hawajielewi kwasababu hawajafanikiwa kama wewe.

Tumeshashuhudia watu wengi sana wakipatwa na tatizo au wakiwa wamepoteza maisha kwenye mazingira tatanishi chakwanza huwa tunauliza ndugu zake wapo wapi?

So kula sana bata hata kuku wote lakini kamwe usisahau ndugu zako.

Kama unakubaliana na mimi na unawajali ndugu zako gonga like, comment twende sawa."

I'm Mr George Francis
Lawyer & Contents Creator
 
Usisaidie Watu ikiwemo ndugu zako kwa sababu ya kuhofia siku moja unaweza kukutwa na majanga. Hivyo utahitajika msaada wao.
Huo sio msaada bali ni uwekezaji.

Msaada unalenga zaidi upendo. Yaani kutoa pasipo kutarajia kulipwa

Wengi wanaofanya kama ulivyoshauri huishia kudisapontiwa na kuumizwa.

Mtu anayekusaidia kwa upendo unamjua. Na yule anayefanya kwa kujihami na hatma au kesho yake anajulikana
 
Usisaidie Watu ikiwemo ndugu zako kwa sababu ya kuhofia siku moja unaweza kukutwa na majanga. Hivyo utahitajika msaada wao.
Huo sio msaada bali ni uwekezaji.

Msaada unalenga zaidi upendo. Yaani kutoa pasipo kutarajia kulipwa

Wengi wanaofanya kama ulivyoshauri huishia kudisapontiwa na kuumizwa.

Mtu anayekusaidia kwa upendo unamjua. Na yule anayefanya kwa kujihami na hatma au kesho yake anajulikana
Nashukuru kwa komenti yako.Na,zaidi nashukuru haujatueleza umechoka unaenda kupumzika.
 
Duh!Sasa kama wanawafanyia ndugu zao unafique,vipi kwa waso wafahamu?
Screenshot_20240410-135405~2.jpg

ndugu wengi ni masinchi fanya risechi.
 
KULA SANA BATA HATA KUKU WOTE LAKINI KAMWE USIWASAHAU NDUGU ZAKO.

"Kama MUNGU amekujalia uwezo mzuri wa kiuchumi, weka nguvu kwa ndugu zako pia.

Usiwasahau ndugu zako kwasababu ipo siku utawahitaji na usipowahitaji wewe basi tutawahitaji sisi kwaajili yako.

Siku ukiumwa au kupata matatizo yoyote hatutawatafuta rafiki zako bali tutawatafuta ndugu zako ili wajue jinsi ya kukusaidia kama ndugu yao.

Hakikisha kwenye mafanikio yako hauwafingii vioo ndugu zako, hao ni watu muhimu sana kwako hatakama leo unawaona kama hawana umuhimu kwenye mafanikio yako.

Yamkini MUNGU amekuinua wewe kwaajili yao. Yaani wamebeba baraka zako bila wewe mwenyewe kujua.

Tuwapende na kuwajali ndugu zetu. Usiwavimbie na kuwaona kama hawajielewi kwasababu hawajafanikiwa kama wewe.

Tumeshashuhudia watu wengi sana wakipatwa na tatizo au wakiwa wamepoteza maisha kwenye mazingira tatanishi chakwanza huwa tunauliza ndugu zake wapo wapi?

So kula sana bata hata kuku wote lakini kamwe usisahau ndugu zako.

Kama unakubaliana na mimi na unawajali ndugu zako gonga like, comment twende sawa."

I'm Mr George Francis
Lawyer & Contents Creator
Sometimes ndugu hawana maana hata kidogo, brother wangu alimwekea madawa mke wangu akamla, niliwakuta kitandani red handed. Ikamgharimu wife siku nne kupata fahamu.
 
KULA SANA BATA HATA KUKU WOTE LAKINI KAMWE USIWASAHAU NDUGU ZAKO.

"Kama MUNGU amekujalia uwezo mzuri wa kiuchumi, weka nguvu kwa ndugu zako pia.

Usiwasahau ndugu zako kwasababu ipo siku utawahitaji na usipowahitaji wewe basi tutawahitaji sisi kwaajili yako.

Siku ukiumwa au kupata matatizo yoyote hatutawatafuta rafiki zako bali tutawatafuta ndugu zako ili wajue jinsi ya kukusaidia kama ndugu yao.

Hakikisha kwenye mafanikio yako hauwafingii vioo ndugu zako, hao ni watu muhimu sana kwako hatakama leo unawaona kama hawana umuhimu kwenye mafanikio yako.

Yamkini MUNGU amekuinua wewe kwaajili yao. Yaani wamebeba baraka zako bila wewe mwenyewe kujua.

Tuwapende na kuwajali ndugu zetu. Usiwavimbie na kuwaona kama hawajielewi kwasababu hawajafanikiwa kama wewe.

Tumeshashuhudia watu wengi sana wakipatwa na tatizo au wakiwa wamepoteza maisha kwenye mazingira tatanishi chakwanza huwa tunauliza ndugu zake wapo wapi?

So kula sana bata hata kuku wote lakini kamwe usisahau ndugu zako.

Kama unakubaliana na mimi na unawajali ndugu zako gonga like, comment twende sawa."

I'm Mr George Francis
Lawyer & Contents Creator
Lakini mtu yeyote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini.

1 Timotheo 5:8

 
Usisaidie Watu ikiwemo ndugu zako kwa sababu ya kuhofia siku moja unaweza kukutwa na majanga. Hivyo utahitajika msaada wao.
Huo sio msaada bali ni uwekezaji.

Msaada unalenga zaidi upendo. Yaani kutoa pasipo kutarajia kulipwa

Wengi wanaofanya kama ulivyoshauri huishia kudisapontiwa na kuumizwa.

Mtu anayekusaidia kwa upendo unamjua. Na yule anayefanya kwa kujihami na hatma au kesho yake anajulikana
💯
 
Back
Top Bottom