Mr George Francis
JF-Expert Member
- Jun 27, 2022
- 234
- 376
- Thread starter
-
- #21
Marafiki tunaweza kuchagua na kuchange as much as we want lakini ndugu huwezi kuchange.Jamni ndugu jau muelewe hili
Hakuna mkamilifu. Hata marafiki tunakutana nao vichomi hivyo hivyo lakini bado ndugu zetu ni wa muhimu sana.bado hujakutana na ndugu vichomi, utajuta hata kumkaribisha kwako. Kama una ndugu kwa maana ya ndugu hongera sana....ni hayo tu
Hata marafiki wapo wanafiki pia. Wanaotamani kuona hatufanikiwi kuwazidi wao wapo wengi. Mungu amekupa hao watakuwa ndugu zako milele. Huwezi kusema nimehama ukoo sasa nipo ukoo wa kina Kimario wakati wewe ni kina milanzi wa Mtwara.Ndugu wanafiki sana
Wanafiki mno
Yaani anatamani akuone una teseka hivi hivi aiseee
Sometimes ndugu hawana maana hata kidogo, brother wangu alimwekea madawa mke wangu akamla, niliwakuta kitandani red handed. Ikamgharimu wife siku nne kupata fahamu.
Ujakutana na majanga ya ndugu..Marafiki tunaweza kuchagua na kuchange as much as we want lakini ndugu huwezi kuchange.
Mungu akishakupa hao ndio ndugu zako huwezi kuchagua ndugu wengine. Pamoja na madhaifu yao kama mimi na wewe tusivyo wakamilifu basi tusiwaache.
Siku ukipata shida tutawatafuta ndugu zako.
Bora rafiki mnafiki ila sio ndgu..Hata marafiki wapo wanafiki pia. Wanaotamani kuona hatufanikiwi kuwazidi wao wapo wengi. Mungu amekupa hao watakuwa ndugu zako milele. Huwezi kusema nimehama ukoo sasa nipo ukoo wa kina Kimario wakati wewe ni kina milanzi wa Mtwara.
Usiwasahau ndugu zako
ila sijaongelea marafik mm, nimeongelea ndugu,Hakuna mkamilifu. Hata marafiki tunakutana nao vichomi hivyo hivyo lakini bado ndugu zetu ni wa muhimu sana.
Bata unakula na marafiki arafu ukiumwa ndugu zako ndio watakaolala hospitali kukuuguza.
Usisaidie Watu ikiwemo ndugu zako kwa sababu ya kuhofia siku moja unaweza kukutwa na majanga. Hivyo utahitajika msaada wao.
Huo sio msaada bali ni uwekezaji.
Msaada unalenga zaidi upendo. Yaani kutoa pasipo kutarajia kulipwa
Wengi wanaofanya kama ulivyoshauri huishia kudisapontiwa na kuumizwa.
Mtu anayekusaidia kwa upendo unamjua. Na yule anayefanya kwa kujihami na hatma au kesho yake anajulikana
Kuna ndugu kweli wanamajanga wanaweza kukuchukia kisa unawasema wabadilike hata kukuroga tu mlingane hilo lipo.Ila sizani kama kwenye ukoo wote utakosa hata wawili wanao jielewa washike mkono.Wachanga,Wakinga kwa nn wanaweza????Sometime sisi wengine tunapenda uungu mtu yaan unataka uabudiwe.Ujakutana na majanga ya ndugu..
Bora mtu baki
kuna muda ndugu zako ni marafiki zako......ndugu hawa wa damu nao walikufungia vioo wakati unajitafuta ulivyojipata tu ghafla vioo vimeshushwa.KULA SANA BATA HATA KUKU WOTE LAKINI KAMWE USIWASAHAU NDUGU ZAKO.
"Kama MUNGU amekujalia uwezo mzuri wa kiuchumi, weka nguvu kwa ndugu zako pia.
Usiwasahau ndugu zako kwasababu ipo siku utawahitaji na usipowahitaji wewe basi tutawahitaji sisi kwaajili yako.
Siku ukiumwa au kupata matatizo yoyote hatutawatafuta rafiki zako bali tutawatafuta ndugu zako ili wajue jinsi ya kukusaidia kama ndugu yao.
Hakikisha kwenye mafanikio yako hauwafingii vioo ndugu zako, hao ni watu muhimu sana kwako hatakama leo unawaona kama hawana umuhimu kwenye mafanikio yako.
Yamkini MUNGU amekuinua wewe kwaajili yao. Yaani wamebeba baraka zako bila wewe mwenyewe kujua.
Tuwapende na kuwajali ndugu zetu. Usiwavimbie na kuwaona kama hawajielewi kwasababu hawajafanikiwa kama wewe.
Tumeshashuhudia watu wengi sana wakipatwa na tatizo au wakiwa wamepoteza maisha kwenye mazingira tatanishi chakwanza huwa tunauliza ndugu zake wapo wapi?
So kula sana bata hata kuku wote lakini kamwe usisahau ndugu zako.
Kama unakubaliana na mimi na unawajali ndugu zako gonga like, comment twende sawa."
I'm Mr George Francis
Lawyer & Contents Creator
Mi ndgu zangu kiukweli ni watu wa kukatishana tamaa tuu licha ya ku a hakuna mwenye navyo vingi ila tuu wanamaneno ya hovyo sanaKuna ndugu kweli wanamajanga wanaweza kukuchukia kisa unawasema wabadilike hata kukuroga tu mlingane hilo lipo.Ila sizani kama kwenye ukoo wote utakosa hata wawili wanao jielewa washike mkono.Wachanga,Wakinga kwa nn wanaweza????Sometime sisi wengine tunapenda uungu mtu yaan unataka uabudiwe.
Tenda wema nenda zako. Kama unaweza kuwatendea wema watu baki haitakuwa sawa ukiwaacha ndugu zako.
Atakuja kuwa too disappointed kwa kufanya mambo huku akiamini atapata MasadaHivyo hoja ya kusema kuna siku utapata msaada inakufa.
Wema ni hiyari sio lazima.