Kula Uliwe .....πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Kula Uliwe .....πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Mi Niko na Noelia nataka mleta visiwani umeshanifahamu [emoji23][emoji23]
baraka zako kikongwe muhimu
Na pishi lako nimelipenda liko on point kwa wazee umri ulio taradati [emoji39][emoji39]
 
kasie...🀩🀩
Mwandiko wako unaonesha wewe ni mtu wa furaha mda wote.

πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡
Yaani siwezi sema ndio au hapana......

Ila namshukuru maulana kwa karama/ kipawa nilichopewa.



Nyimbo kama hiyo ikipigwa lazima utasikia sauti yangu na kuona jasho huwa linanitoka haraka eneo gani 😜.
 
Mi Niko na Noelia nataka mleta visiwani umeshanifahamu [emoji23][emoji23]
baraka zako kikongwe muhimu
Na pishi lako nimelipenda liko on point kwa wazee umri ulio taradati [emoji39][emoji39]


Kila la kheri mwijukulu wanne.
 
πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡
Yaani siwezi sema ndio au hapana......

Ila namshukuru maulana kwa karama/ kipawa nilichopewa.



Nyimbo kama hiyo ikipigwa lazima utasikia sauti yangu na kuona jasho huwa linanitoka haraka eneo gani 😜.

WooozaaaahhhhhπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ§šβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈ
 
Mkuu unamaanisha nikila tu msosi na wewe nakukula au?
 
Back
Top Bottom