Upele humuota asiye na kuchaYani mara elfu angefungua sheli zake na kampuni ya Bima kisha akawa anakatia gari za bonite na kampuni nyingine bima angekuwa analokota pesa tu huku kwenye mafuta ndio usiseme.
Kwa sasa ajiwahi na Supermarket na vibanda vya M-PESA tu ale commission kabla hela ya ile range rover haijaisha. Atatia huruma mjini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu
Good day [emoji120]Nope!
Kwenye mbunye kuna ustaarabu?!Hahahaha my dear kwakweli tupumzike na kina NEC .tunapitwa na mengi...mjini pazuri Sana...namuonaga Mo Kama mstaarabu Fulani hee .kumbe walewale
Hahaaa hatari sanaMpalange FC kmanyoko!!![emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Hawa wasanii huwakamata washamba waliotoka kuuza mpunga huko aiseeAnt Ezekiel si mbibi kabisa yule hata elfu 50 sitoi
Kweli kabisa, kwa mtu aliyekuwa na vision ya kuanzisha kiwanda cha magari hamna biashara mjini hapo ambayo ungetaka kuifanya kwa pesa ya mzee ikashindwa. Big big business Models kama manufacturing, investments kama real estates!Upele humuota asiye na kucha
Labda akutane na wasukuma waliotoka kuuza samaki huko mwanza ndio atawapiga hela..![emoji23][emoji23][emoji23]Hawa wasanii huwakamata washamba waliotoka kuuza mpunga huko aisee
Kumbe naye alikula umeme wa Mo?Aache ubahili tumeingia uchumi wakati aisee, kwa mtindo huo basi hata flaviana matata aliachiwa manyoya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli aiseeLabda akutane na wasukuma waliotoka kuuza samaki huko mwanza ndio atawapiga hela..!
[emoji23][emoji23]sio kitu ya kuulizaKumbe naye alikula umeme wa Mo?
Tena angeabzisha vitu virahisi visivohitaji akili kubwa, namhurumia hafu na yeye alichangia mzee kupata mi pressure ya bureKweli kabisa, kwa mtu aliyekuwa na vision ya kuanzisha kiwanda cha magari hamna biashara mjini hapo ambayo ungetaka kuifanya kwa pesa ya mzee ikashindwa. Big big business Models kama manufacturing, investments kama real estates!
Tatizo mwanamke akili ilikuwa inawaza designer catalogues za colognes, nguo,viatu na mapochi!
Dedication: Game inavyochange - KingZilla
Ile mikopo wanapewaga mana sio kuchukua huwa kwanza wananunua ndinga pili wanatafuta connection ya hao bongo movie bongo fleva na hawa wanaojiphotoa hovyo naskia hao wadada wana maajenti kabisaHahahah wajeda au!
Daaah sikuhizi hata vacation za Dubai na Italy hatuzioni tena..Inaweza kuwa ina sound hivyo lakini sasa mwenye mali baba ndio amachagua hapo.......ndio mama huyo tana
Sema huyu demu naye mshamba sana unaishi na mzee kama yule na unaona kabisa jua limeisha chwea unashindwaje kumpanga ukawa na miradi yako pembeni ya maana hata likizama basi unaendelea na maisha vizuri wakati unadai urithi wa mumeo
Kakaa kiboyo sasa hivi hata hela ya mafuta kwa gari mtihani hadi wakina Regina wamfikirie
Anaishia kulia lia kwenye media wakati nafasi kaichezea mwenyewe
Golddigger gani kolo namna hii
Ubahiri tuMimi na tajiri yangu Mo tunapenda kuwatangazia rasmi kuwa hatufanyi hio biashara. Kila mtu ashinde mecho zake tu.πππ
Hahahah kwako siwezi kuwa bahili mama.Ubahiri tu
Ukiona hivyo ujue hana akili ya kutafuta,anayo ya kula tu...Inaweza kuwa ina sound hivyo lakini sasa mwenye mali baba ndio amachagua hapo.......ndio mama huyo tana
Sema huyu demu naye mshamba sana unaishi na mzee kama yule na unaona kabisa jua limeisha chwea unashindwaje kumpanga ukawa na miradi yako pembeni ya maana hata likizama basi unaendelea na maisha vizuri wakati unadai urithi wa mumeo
Kakaa kiboyo sasa hivi hata hela ya mafuta kwa gari mtihani hadi wakina Regina wamfikirie
Anaishia kulia lia kwenye media wakati nafasi kaichezea mwenyewe
Golddigger gani kolo namna hii
πππππ Daaah aisee watu mna manenoLabda akutane na wasukuma waliotoka kuuza samaki huko mwanza ndio atawapiga hela..!