Kula ya Jacqueline Mengi hapa mjini inamtegemea Regina na Abdiel Mengi

Mimi na tajiri yangu Mo tunapenda kuwatangazia rasmi kuwa hatufanyi hio biashara. Kila mtu ashinde mecho zake tu.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mmmh! Noma sana
 
So kumbe kinachotofautisha kule na huku maswekeni ni kodi za nyumba na hali ya usalama tu?
 
Hahahah muhindi atoi hela kisenge [emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!! Ogopa sana mtu anayeuza vifungo, sindano na uzi anameki hadi ananunua prado ya 70M!

Maslay queen lazma watoke mbio maana hamna maslahi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aache ubahili tumeingia uchumi wakati aisee, kwa mtindo huo basi hata flaviana matata aliachiwa manyoya
 
Muhindi yule[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!! We uliskia wapi muhindi anatapanya mali na pesa hovyo!

Kuhusu kwenda buza kwa mpalange hilo sina doubt.
Ndio maana anakuwa bilionea aisee Ila ma slay queen pole yao acha tu awatindue kwa mpalange awape laki. Mobero Hadi kaacha kushabikia Simba[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…