Kula ya Jacqueline Mengi hapa mjini inamtegemea Regina na Abdiel Mengi

Kula ya Jacqueline Mengi hapa mjini inamtegemea Regina na Abdiel Mengi

Connection si mpaka apewe wakati alifichwa kama utumbo One night stand akaachika

moo kwa Sababu ni mbahili uwa anatongoza wasichana wenye class na income lakini all in all mwanamke hata awe na hela kama za Oprah anafurahi zaidi akiudumiwa na mwenza wake hata kidogo
Mimi na tajiri yangu Mo tunapenda kuwatangazia rasmi kuwa hatufanyi hio biashara. Kila mtu ashinde mecho zake tu.😂😂😂
 
Moo Dewji tajiri wa mapicha picha hawezi kumuonga hata million tano , Ana hela za kawaida na ni mbahili kufulu ya Mungu

alimkula rafiki yangu akampa laki moja tu 😂😂 rafiki alijua kapata bonge la boyfriend na Moo anapenda sana nyuma, muulizeni mobeto sasa kylin nyuma flat
Mmmh! Noma sana
 
Tunadanganyana sana... nimekaa sana masaki kota za bandari... watu wengi wa masaki vitu wananunua sokoni kama watu wa sehemu zingine.. wabongo hatuna utamaduni wa supermarket... na hata super market nyingi za masaki na oysterbay wame target wazungu sababu ndio wana culture ya supermarket.. masaki ipo karibu sana na msasani ni mwendo wa mguu tu.. magenge yapo kibao msasani vitu bei kama ya mbagala tu..

Watu wanaoishi masaki wanatumia masoko yao yale yale ambao wenzao wananunua wanaokaa popote.. mfano wazawa wengi wananua vitu kariakoo na magengeni kama kawa.. wahindi wengi wa masaki wananua vitu kisutu na wazungu ndio wananunua supermarkets
So kumbe kinachotofautisha kule na huku maswekeni ni kodi za nyumba na hali ya usalama tu?
 
Hahahah muhindi atoi hela kisenge [emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!! Ogopa sana mtu anayeuza vifungo, sindano na uzi anameki hadi ananunua prado ya 70M!

Maslay queen lazma watoke mbio maana hamna maslahi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aache ubahili tumeingia uchumi wakati aisee, kwa mtindo huo basi hata flaviana matata aliachiwa manyoya
 
Muhindi yule[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!! We uliskia wapi muhindi anatapanya mali na pesa hovyo!

Kuhusu kwenda buza kwa mpalange hilo sina doubt.
Ndio maana anakuwa bilionea aisee Ila ma slay queen pole yao acha tu awatindue kwa mpalange awape laki. Mobero Hadi kaacha kushabikia Simba[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom