Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Hawezi huyu no Fap challengeKaribu kwenye no Fap
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi huyu no Fap challengeKaribu kwenye no Fap
Yes natural ni nzuri sanaZime mpendeza sana, mi napenda sana mwanamke awe natural kama hivi.
Wanavutia sana.
Nina ka mwezi wa pili uhu
Yaani sio kiombi akitaka kusuka anatumia pesa yake yeye anaomba hela ya kuongezewa kwenye biashara hivyo yaani😳umempendezeshe wewe? Au unamzungumzia uncle wako
Ahahaha acha nile karaha kidogo😂😂😂😂🙌😓
Na hapo kadri wanavyozidi kuishi pamoja ndivyo na mda wa kusex unavyozidi kupungua piabado hujakua kiakili, tufanye unasex mara nne kwa wiki na kila ukisex unatumia maximum masaa manne, utakuwa umetumia masaa 16 kwa wiki kusex, hujamaliza hata siku moja kimahesabu, sasa masaa 16 mara 4 utapata masaa 64 unayotumia kwa mwezi mzima ambayo kimakadirio tufanye ni siku 3 tu za mwezi mzima, ukizidisha mara 12 unapata siku 36 unazotumia kusex kwa mwaka mzima, assume umeishi na mkeo kwa miaka 30, utapata kimahesabu siku 1080 unazotumia kusex na mkeo kwa miaka 30, hiyo miaka mingine yote unafikiri mtakuwa mnafanya nn ikiwa unafikiria ndoa ni ngono tu, change
Nan kasemaNa hapo kadri wanavyozidi kuishi pamoja ndivyo na mda wa kusex unavyozidi kupungua pia
Sio kila kitu unaweza kuweka nadharia za sayansi ,kuna social theory ,needs theory mfano motivation theory ya Abrahams maslow who see sex as physiology need for human being it is necessary sio hiaribado hujakua kiakili, tufanye unasex mara nne kwa wiki na kila ukisex unatumia maximum masaa manne, utakuwa umetumia masaa 16 kwa wiki kusex, hujamaliza hata siku moja kimahesabu, sasa masaa 16 mara 4 utapata masaa 64 unayotumia kwa mwezi mzima ambayo kimakadirio tufanye ni siku 3 tu za mwezi mzima, ukizidisha mara 12 unapata siku 36 unazotumia kusex kwa mwaka mzima, assume umeishi na mkeo kwa miaka 30, utapata kimahesabu siku 1080 unazotumia kusex na mkeo kwa miaka 30, hiyo miaka mingine yote unafikiri mtakuwa mnafanya nn ikiwa unafikiria ndoa ni ngono tu, change
Sex is a basic need according to modern not as it was in traditionalNa hapo kadri wanavyozidi kuishi pamoja ndivyo na mda wa kusex unavyozidi kupungua pia
Unazania hizo hamu ulizonazo kwake sahv utakuwa nazo milele? Hapo mbali na majukumu na wakati wa uzazi sijavihusishaNan kasema
Safari ndiyo inaanza huko mbele kuna vilima ,mabonde, makorongo so kaza seat belt usije ukabaki kama wale wengineNina ka mwezi wa pili uhu
Wewe jamaa umemaliza yote aseSio kila kitu unaweza kuweka nadharia za sayansi ,kuna social theory ,needs theory mfano motivation theory ya Abrahams maslow who see sex as physiology need for human being it is necessary sio hiari
Siwezi nampenda sanSafari ndiyo inaanza huko mbele kuna vilima ,mabonde, makorongo so kaza seat belt usije ukabaki kama wale wengine
Kitambo sana tunapotea tunarudi life goes on mwamba , aisehh mbona hukuniita sasa tuufinye wote aisehhAf boss tumeonana muda sana hapa jf leo nimekuona ningekualika kwenye sherehe
Sio kila kitu unaweza kuweka nadharia za sayansi ,kuna social theory ,needs theory mfano motivation theory ya Abrahams maslow who see sex as physiology need for human being it is necessary sio hiari
Dah umewaza niniHata ng'ombe ana miguu minne na analala peke ake fresh tu
Ngojea jubilei 😂Kitambo sana tunapotea tunarudi life goes on mwamba , aisehh mbona hukuniita sasa tuufinye wote aisehh