Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
- Thread starter
-
- #21
Hizo baadhi kwa nini msipeleke mahakamani?Una hakika zilichomwa zote? kura zimelipakaa nchi nzima kuna haja gani kuogopa kuzichoma baadhi?
Mpaka ushahidi wa video upo, bora ufunge mdomo wako.
huko ndiko tulikopeleka , lakini si Mahakama vikaragosi vya watu kama hizo zenuLakini na zile zenu za mabeberu kwani hamkupeleka huko?
Ha ha ha haaMahakama ni Mali ya CCM, kama ilivyo Polisi, DPP, TISS, Watu wasiojulikana, ACT Wazalendo, nec, NA nccr mageuzi AND THE LIKES
Na ukiwa ccm lazima ukubali kuwa laghai,mwongo na mwizi wa kuraBora hata Yatima anaweza kufahamu Haki zake na sio Chadema ya SASA ambapo Kila kiongozi wake analia eti anawindwa na wasiojulikana!!!
Ukiwa Chadema lazima ukubali kuwa mhuni!
Vikaragosi ni nyie msifaham katiba na sheria za nchi juuu ya maamuzi na usuruhishaji wa kesi za uchaguzi kwa taifa huru kama Tanzania. Mlifanya maigizo ya kutia dosari uchaguzi kwa kubeba kula feki mlizochapisha kibaya zaidii shetani kuwaimbua mkaigiza kuzichoma nyaraka zile. Bila kujua mumesha haribu igizo lenuuu. Hovyo kabisa nyiehuko ndiko tulikopeleka , lakini si Mahakama vikaragosi vya watu kama hizo zenu
Kibibi cha Tandika tuliahuko ndiko tulikopeleka , lakini si Mahakama vikaragosi vya watu kama hizo zenu
Kura feki za Chadema zilindwe na Mambosasa ! hata kama umelogwa basi uchawi uliotumika si wa kawaidaVikaragosi ni nyie msifaham katiba na sheria za nchi juuu ya maamuzi na usuruhishaji wa kesi za uchaguzi kwa taifa huru kama Tanzania. Mlifanya maigizo ya kutia dosari uchaguzi kwa kubeba kula feki mlizochapisha kibaya zaidii shetani kuwaimbua mkaigiza kuzichoma nyaraka zile. Bila kujua mumesha haribu igizo lenuuu. Hovyo kabisa nyie
KimaHe who alleges must prove. Hii ni moja ya principle muhimu sana katika kuhakikisha haki inapatikana.
Mnalalamika zaidi ya miezi miwili kuwa uchaguzi haukuwa huru. Mlikamata kura za kwenye mabegi ambao ulikuwa ni ushahidi tosha kuwa mmeibiwa.
Mbona hamfungui kesi kupinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge?
Mnadai hamna imani na mahakama za Tanzania. Mbona mahakama hii ambayo hamna imani nayo ilimpa ushindi Ester Bulaya dhidi ya wana CCM waliopinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge 2015 huko Bunda.
Kwa mantiki hii,kama muda wa kupinga matokeo bado. Kwa kuwa mnao ushahidi jinsi mlivyoibiwa kwenye mabegi. Fungueni kesi kupinga matokeo ya ubunge. Maana tutapata ukwli jinsi mlivyoibiwa.
Tupe idadi kamili ya mlizokuwa mumeandaa na mlizozichoma na mlizobakiwa nazooo. Hiii kiki mlioitengeneza imesha wabumia mapemaaa. Malengo yenu ilikuwa kutia doa uchaguzi wetu halafu mkabugi jinsi ya kutengeneza igizoo. Haaaaaaaaaa haaaaaaaaaaUna hakika zilichomwa zote? kura zimelipakaa nchi nzima kuna haja gani kuogopa kuzichoma baadhi?
Mpaka ushahidi wa video upo, bora ufunge mdomo w
Kwani huyo mambo sasa ndie alie zikamata na kuzichoma kuficha uharisia wa tukio? Nyinyi mlichobugi kwenye igizo lenu ni kujichukulia sheria mkononi nakuanza kuchoma nyaraka muhimu saaana kama zile.Kura feki za Chadema zilindwe na Mambosasa ! hata kama umelogwa basi uchawi uliotumika si wa kawaida
Wanaokulipa elfu 7 wanaelewa kila kitu , umebaki wewe kapuku tuKwani huyo mambo sasa ndie alie zikamata na kuzichoma kuficha uharisia wa tukio? Nyinyi mlichobugi kwenye igizo lenu ni kujichukulia sheria mkononi nakuanza kuchoma nyaraka muhimu saaana kama zile.
wewe ndio umekurupuka, sijui ni nini kimekuwasha wakati humohumo kwenye chungu cheni hamuivi, matumbo moto kuliko watakaoenda Mahakamani.Acha kukurupuka.
He who alleges must prove. Hii ni moja ya principle muhimu sana katika kuhakikisha haki inapatikana.
Mnalalamika zaidi ya miezi miwili kuwa uchaguzi haukuwa huru. Mlikamata kura za kwenye mabegi ambao ulikuwa ni ushahidi tosha kuwa mmeibiwa.
Mbona hamfungui kesi kupinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge?
Mnadai hamna imani na mahakama za Tanzania. Mbona mahakama hii ambayo hamna imani nayo ilimpa ushindi Ester Bulaya dhidi ya wana CCM waliopinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge 2015 huko Bunda.
Kwa mantiki hii,kama muda wa kupinga matokeo bado. Kwa kuwa mnao ushahidi jinsi mlivyoibiwa kwenye mabegi. Fungueni kesi kupinga matokeo ya ubunge. Maana tutapata ukwli jinsi mlivyoibiwa.
Nakumbuka upinzani wa enzi za kina Lamwai (rip) walikuwa hawatoi visingizio kama mnavyotoa sasa hivi, walikuwa wanabwaga watu mahakamani ile mbaya. Sasa hivi chadema imebakiza porojo tuMahakama hii ambayo Jaji Mkuu ndio huyo mliye naye , na mahakimu wanaccm akina Simba ! itakuwa kituko sana kwa Chadema kwenda Mahakamani
Tunawafahamu vizuri wanaufipa wote mkizidiwa hoja mnaporomosha mitusii. Matusi yako wala hayataondoa uhalisia wa mlichopanga lakini Mungu kawaumbua na nia zenu ovuu. Hakuna kifungu chochote cha sheria ya uchaguzi kinaeleza kama mwanachama au mgombea yeyote akikamata kula feki anaruhusiwa kuzichoma bila kufikisha ushaidi huo kwenye vyombo husika. Kiukweli igizo lenu lilibuma pale tu, mlipoanza kujichukulia sheria mkononiiiWanaokulipa elfu 7 wanaelewa kila kitu , umebaki wewe kapuku tu
Mbona Wassira alishendwa na Ester Bulaya mahakamani?
Kwa nini sasa walihangaika kuomba wananchi wawapigie kura kama hali ndiyo hiyo?Mahakama ni Mali ya CCM, kama ilivyo Polisi, DPP, TISS, Watu wasiojulikana, ACT Wazalendo, nec, NA nccr mageuzi AND THE LIKES
Kuna watu walikuwa hawaamini kuwa tuna utawala wa kishenzi, hivyo watu walitaka kuweka ushahidi usioacha shaka. Kila mtu amejionea jinsi tulivyo na katiba mbovu, inayoweza kuruhusu mtu mmoja aamue matokeo ya uchaguzi yaweje.Kwa nini sasa walihangai kuomba wananchi wawapigie kura kama hali ndiyo hiyo?
Mh tauloBora hata Yatima anaweza kufahamu Haki zake na sio Chadema ya SASA ambapo Kila kiongozi wake analia eti anawindwa na wasiojulikana!!!
Ukiwa Chadema lazima ukubali kuwa mhuni!