Kule kwa Malkia: Meghan Markle ameanza kuisoma namba

Kule kwa Malkia: Meghan Markle ameanza kuisoma namba

Sasa huyo Meghan anatoka familia gani ya maana ?...ptuuu[emoji134]

Kwao kumejaa maskendo ya kufa mtu!

Sema Harry kaamua kujibebea tu, coz yy hatakuwa mfalme basi!



Sent using Jamii Forums mobile app
Hana lolote huyo kweli kabisa familia yake wala haina lolote basi tu na wamemkubalia kuoa kwa sababu walimuuwa mama yake
Kama watoto wa khashoqhi kupewa majumba na mali baada ya baba yao kuuwawa

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Kwani alikuwa hapati nafasi ya kuwa free?

Chaz alikuwa hampendi so hakumjali labda waone camera...

Hivi ile koo ilitarajia Di afanyaje? Asiombe talaka?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka zamani sana alipokuwa anaishi Kensington palace karibu yao yaani high street kulikuwa na MacDonald alikuwa anawapeleka Will na Harry kula hapo na alikuwa anataka kuishi kama watu wa kawaida kwenda bila walinzi lakini alikuwa na walinzi hata wawili kwa mbali ingawa alikuwa hapendi
Kweli Charles alikuwa hamjali lakini haimfanyi awe huru kwani ni princess na ana ma prince ambao wapo kwenye line of thrones
Alikuwa hataki kuchungwa kabisa lakini ni lazima

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Hana lolote huyo kweli kabisa familia yake wala haina lolote basi tu na wamemkubalia kuoa kwa sababu walimuuwa mama yake
Kama watoto wa khashoqhi kupewa majumba na mali baada ya baba yao kuuwawa

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Jumba la kifalme ni wazi watakuwa wanafaham Harry sio damu yao kwa nini hawamtengi au kumrudisha kwa baba yake halisi?
Familia ya kifalme huwa wanaonyesha live jinsi wanavyoishi kila siku au nini kitu special kwao mpaka wapendwe ivyo.
 
Harry hana furaha ya kuishi maisha ya kubanwabanwa hapo palace na masharti lukuki, kama vipi amchukue mkewe watimkie zao Marekani wakaishi huru.
 
Jumba la kifalme ni wazi watakuwa wanafaham Harry sio damu yao kwa nini hawamtengi au kumrudisha kwa baba yake halisi?
Familia ya kifalme huwa wanaonyesha live jinsi wanavyoishi kila siku au nini kitu special kwao mpaka wapendwe ivyo.
Mkuu hapo Harry ni mtoto wa Charles na hakuna uthibitisho kutoka kwa Charles kumkana
Malkia anampenda sana Harry na kila wakati Harry yuko kwa bibi yake ila tatizo ni hawa wawili Kate na Meghan ndio picha haziendi
Na Meghan lazima akubali masharti ya na maelekezo na tabia zote za hapo mjengoni
La sivyo ataishia kusafiri kila siku kuepuka masharti
Hapo hata kutembea unafundishwa hata kuongea pia ni nidhamu ya hali ya juu.

Hebu mwangalie Will anapoongea au kutembea utajua anaandaliwa kweli kuwa mfalme na mke wake
Sasa huyu Harry ni 6th in line to the throne yaani atakufa kabla hata ya kuwa mfalme ndio maana hawamjali sana ni Prince tu basi

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Harry hana furaha ya kuishi maisha ya kubanwabanwa hapo palace na masharti lukuki, kama vipi amchukue mkewe watimkie zao Marekani wakaishi huru.
Harry ameshama pale Kengiston palace nadhani mwaka jana...pale unoko unoko!

Sasa hivi wametulia zao Nottingham cottage full kula upepo na greenish la kufa mtu!

Sema kibibi her Majesty anataka kupasuka kwa hasira! Hakutaka wahame...na ndio maana hawampendi Meghan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hasnat alikuwa anapumua kwa oxygen labda [emoji89][emoji2]
Sio kwa hamu hiyo
Kweli wanasema Hewitt ni baba yake lakini sijui kwa kweli ila wanafanana [emoji15]

Kuhusu kuolewa tena sijui utaratibu wao kama angeolewa maana hata Charles kaukosa ufalme kwa ajili ya kutembea na Camilla na hawakuoana kisheria

Matatizo ya kina Sarah ni kuwa huyu mama mkwe wao Malkia aliwavuruga sana imagine walikuwa wanakaaje wakati wanakula pamoja na maneno wanayotupiwa huku queen mother akizima lakini wapi
Ndoa zao zimeharibika mpaka kwa mwanae wa kike labda mmoja Edward tu ndio bado ana mke wake
Lakini mama mkali sana
Nafikiri huwa wakiachika labda hawaolewi tena maana kuna wakati Sarah alijifanya kuleta za kuleta Queen akamrimua kwenye palace na kukata hela
Nae akaenda USA akafanya advert kwenye kampuni gani sijui (nimesahau)
Ili ajipatie hela za matumizi salaalee iliwaumiza sana Royal family lakini kakuza wanae
Kuna visa lakini ni familia kubwa sana na wametoka mbali na historia kubwa wapo wafalme walikuwa wehu na wapo walionyongwa yaani wana historia sana lakini wanapendwa na waingereza sana na watakuwepo kwa miaka mingi ijayo


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Dr Hasnat aliipata pata[emoji16][emoji16]..

Yule Hewitt ni babaake Harry wamefanana sana,kingine ni kuwa Chale alikuwa hamdinyi Di...so uwezekano ni mkubwa!


Hivi kile kibibi ni kinoko mno eti eeh?

Sarah Fergie ana tamaa nae yule japo Andrew nae kapinda!

Siku hizi Sara anaishi US?

Hivi Anna kaachana na Philip kumbe? Si walirudiana wale??[emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka zamani sana alipokuwa anaishi Kensington palace karibu yao yaani high street kulikuwa na MacDonald alikuwa anawapeleka Will na Harry kula hapo na alikuwa anataka kuishi kama watu wa kawaida kwenda bila walinzi lakini alikuwa na walinzi hata wawili kwa mbali ingawa alikuwa hapendi
Kweli Charles alikuwa hamjali lakini haimfanyi awe huru kwani ni princess na ana ma prince ambao wapo kwenye line of thrones
Alikuwa hataki kuchungwa kabisa lakini ni lazima

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Mkuu ulimuona Di live?

Mzuri sana eeeh?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hana lolote huyo kweli kabisa familia yake wala haina lolote basi tu na wamemkubalia kuoa kwa sababu walimuuwa mama yake
Kama watoto wa khashoqhi kupewa majumba na mali baada ya baba yao kuuwawa

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Si ndo hapo...huyo mzee Thomas chapombe dereva tax ana nini?

Bora Doria yule mama anaonekana kidogo katulia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The Queen has 'banned' the Duchess of Sussex from wearing some of the priceless items from her Royal Collection, it has been revealed today.

Certain priceless items from the collection, which are loaned at the discretion of Her Majesty, will not be made available to Meghan, according to a palace insider.

The move reportedly came after the Queen was left 'unimpressed by Meghan's demanding behaviour' ahead of her marriage to Prince Harry last year - during which he is reported to have told staff, 'What Meghan wants Meghan gets.'

Buckingham Palace has reportedly introduced the stringent new rules in a bid to 'maintain order, hierarchy and precedence' within the Royal Family.View attachment 1062891
Kwa lugha adimu ya kibantu:
Ni hivi kule kwa malkia mambo ni motoo. Malkia ametoa marufuku kwa Meghan kuvaa/kuazima vito vya kifalme vinavyopatikana ndani ya familia hio. Hii ni baada ya Malkia kutoridhishwa na tabia ya Meghan kutoa ombi la kuazima urembo wa kichwani kipindi cha maandalizi ya ndoa yake jambo ambalo ni kinyume na taratibu za familia hio ya kifalme

Katika sakata hilo la kuazima urembo kabla ya ndoa,Mume wa Meghan,Prince Harry alisikika akimtetea mkewe,kuwa kile akitakacho Meghan lazima apewe.

Wakati Meghan akipata marufuku hio kate mke wa Prince William ana kila ruhusa ya kuazima vito hivyo vya kifalme.
Mkuu hii translator yako ina walakini mkuu
 
Jumba la kifalme ni wazi watakuwa wanafaham Harry sio damu yao kwa nini hawamtengi au kumrudisha kwa baba yake halisi?
Familia ya kifalme huwa wanaonyesha live jinsi wanavyoishi kila siku au nini kitu special kwao mpaka wapendwe ivyo.
Wamrudishe kwa babaake?[emoji134]...yy atawachukuliaje kwa mfano?

We unafikiri yote haya hayajui?...kila kitu anakijua tena kuliko sisi wadaku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hapo Harry ni mtoto wa Charles na hakuna uthibitisho kutoka kwa Charles kumkana
Malkia anampenda sana Harry na kila wakati Harry yuko kwa bibi yake ila tatizo ni hawa wawili Kate na Meghan ndio picha haziendi
Na Meghan lazima akubali masharti ya na maelekezo na tabia zote za hapo mjengoni
La sivyo ataishia kusafiri kila siku kuepuka masharti
Hapo hata kutembea unafundishwa hata kuongea pia ni nidhamu ya hali ya juu.

Hebu mwangalie Will anapoongea au kutembea utajua anaandaliwa kweli kuwa mfalme na mke wake
Sasa huyu Harry ni 6th in line to the throne yaani atakufa kabla hata ya kuwa mfalme ndio maana hawamjali sana ni Prince tu basi

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Kweli mkuu ... Elizabeth anampenda mnoo Harry, yaan ukitaka queen afurahi kupita maelezo basi awepo Harry!

Kwani mkuu Meghan hana adabu??...mbona kako poa tu sema wanakafrustrate wale kama kawaida yao!

Tena jamani Meghan ashukuru kakuta kibibi Margaret kaishakufa mbona angekimbia uchumba[emoji16][emoji16]

Yule Margaret ni kivuruge si mchezo, yaan yule ni anakutimua kweupe, Di aliwataja watu wabaya Buckingham kuwa wa kwanza ni Mage,Anna, Philip na Queen...yaan hao ni vivuruge hasa[emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mkuu ... Elizabeth anampenda mnoo Harry, yaan ukitaka queen acheke basi awepo Harry!

Kwani mkuu Meghan hana adabu??...mbona kako poa tu sema wanamfrustrate wale kama kawaida yao!

Tena jamani Meghan ashukuru kakuta kibibi Margaret kaishakufa mbona angekimbia uchumba[emoji16][emoji16]

Yule Margaret ni kivuruge si mchezo, yaan yule ni anakutimua kweupe, Di aliwataja watu wabaya Buckingham kuwa wa kwanza ni Mage,Anna, Philip na Queen...yaan hao ni vivuruge hasa[emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app
Anampenda sana kwa kweli halafu kwa kuwa Harry ni mtani maana ndie aliemfundisha bibi yake kutumia smartphones utaamini
Yule Margaret alikuwa anapenda kujirusha sana na starehe kwa sana maskini na fegi ndio usiseme
Lakini alikuwa cool sana

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Anampenda sana kwa kweli halafu kwa kuwa Harry ni mtani maana ndie aliemfundisha bibi yake kutumia smartphones utaamini
Yule Margaret alikuwa anapenda kujirusha sana na starehe kwa sana maskini na fegi ndio usiseme
Lakini alikuwa cool sana

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Wee alimfundisha smartphone?[emoji16][emoji16][emoji16]

Mage alikuwa cool???[emoji134][emoji134][emoji16]...hebu mfatilie tena!

Umetoka kusema ndoa za watoto wa queen zimeota mbawa unajua the reason? Ni huyo huyo Mage kawaharibia[emoji848]

Alikuwa mlevi, mgomvi, na hana heshima, akiwa anahudhuria zile anniversary zao anakuja kwenye lile balcon lao yuko njwiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom