Umeongea vizuri kuhusu Sustainable Cities, ila nimejaribu ku google kama kuna mamlaka yoyote inayoshughulikia mambo hayo hakuna. Kwenye miji iliyoendelea kila mji una mamlaka ya kushughulikia na green cities (City Park Authorities). Uki google Mamlaka kama hizo Tanzania utakutana na Hamidu city park[emoji23].View attachment 1999030
Hilo unalolisema angeliweza kulifanya Jiwe tu!Inaonekana watu wa mipango miji wamelala na viongozi wetu akili zimeganda. Nimeona leo kwamba soko la k'koo litajengwa upya kwa Billion 34, leo siyo mwaka 1970 jamani kwanini pesa zote zitumike kujenga soko tena eneo lenye tatizo la msongamano wa watu badala ya kulihamisha soko pembezoni mwa mji? Au wazanzibari wao kila kitu wanataka kiwe karibu na feri ili wakitoka Zanzibar wasipate usumbufu[emoji23]? Maana naskia tena kuna mradi mwingine wa soko la jangwani[emoji26][emoji26].
Kama issue ni kuwaweka wamachinga mahali pazuri basi tuhamishe kiwanda cha urafiki na hata ile millenia business park, tujenge kariakoo kubwa ya kutisha ya ghorofa hata nne majengo makubwa kwa ajili ya wamachinga. Na tuweke miundo mbinu ya usafiri wa umma, kuingia na kutoka.Una chuki na wamachinga eh!!?
Nchi ni yetu sote, nenda Hong Kong kawaulize wanapumlia wapi halafu uliza maendeleo yao then njoo na porojo zako.
Basi kila la heriJiwe hashauriki bora hawa tunawapa changamoto zetu huenda wakasikiliza
Mh!! Mbona Urafiki hatunacho tena¡?!Kama issue ni kuwaweka wamachinga mahali pazuri basi tuhamishe kiwanda cha urafiki na hata ile millenia business park, tujenge kariakoo kubwa ya kutisha ya ghorofa hata nne majengo makubwa kwa ajili ya wamachinga. Na tuweke miundo mbinu ya usafiri wa umma, kuingia na kutoka.
Hata mwekezaji mchina ameshajenga fremu hapo kiwandani, amewapangisha wamachinga
Inaonekana watu wa mipango miji wamelala na viongozi wetu akili zimeganda. Nimeona leo kwamba soko la k'koo litajengwa upya kwa Billion 34, leo siyo mwaka 1970 jamani kwanini pesa zote zitumike kujenga soko tena eneo lenye tatizo la msongamano wa watu badala ya kulihamisha soko pembezoni mwa mji? Au wazanzibari wao kila kitu wanataka kiwe karibu na feri ili wakitoka Zanzibar wasipate usumbufu[emoji23]? Maana naskia tena kuna mradi mwingine wa soko la jangwani[emoji26][emoji26].
Mimi nazani tuachane na hili soko la kariakoo tena serikali ingetumia opportunity hii kujenga mradi wa kuwezesha kariakoo kupumua kwa kubomoa lile soko na kupanda miti eneo lile na kutengeneza city park yenye bustani na benchi za watu kupumzika. Itungwe sheria iundwe mamlaka ya City park Authority ya kusimamia mambo haya kwenye miji yetu ipendeze. Tuache fikra kwamba kila eneo lazima lijengwe mji ule hauna hata sehemu ya kupumzika, mtalii akienda k'koo leo hii hakuna hata sehemu ya kupumzika labda ale chips sehemu ambayo imejaa joto la moshi wa jiko la mkaa na hewa ya mafuta ya kukaanga.
Kwanini bado serikali inakaa na kuwaza kujenga jenga sehemu yenye msongamano hata parking za magari hakuna badala ya kujenga miradi ya kuboresha changamoto za mji kama kujenga jengo la parking pale kwenye soko japo mimi ningetamani pasijengwe chochote ipandwe miti tu pale mji upumue.
Leo tunataka kufanya makosa yaleyale ya kujenga mwendokasi jangwani kwa kujenga soko jingine pale la wamachinga badala ya kujenga daraja flyover la kutoka magomeni kwenda faya au interchange ya kutoka magomeni kwenda faya kwenda salender kwenda karume na kupanda miti mirefu ya misitu jangwani ili kusaidia joto la mji kupungua.
Ukizingatia eneo la jangwani ndiyo aneo peke kwenye mji wa dar es salaam lenye unapana wa kutosha ndani ya jiji lenye kutosha kujenga 4 tier interchange ambazo kwa Africa ziko mbili tuu, moja iko Ghana na nyingine iko South Africa.
Yani pale inasukwa interchange moja matata sana kono moja linaenda faya kono jingine linaenda magomeni, kono jingine linasambaa hadi salender , kono jingine linasambaa hadi mitaa ya ilala karume, kono jingine linakatiza hadi kinondoni studio au nyuma yake pale.
Hela tunazo invest kwenye mavitu yasiyo na kichwa (madege, ma dreamliner) tunaweza tukatoa kitu cha maana sana pale jangwani chenye kupunguza changamoto nyingi sana za mji na kutujengea heshima kubwa sana kama jiji.
View attachment 1999008
point.Mimi nazani tuachane na hili soko la kariakoo tena serikali ingetumia opportunity hii kujenga mradi wa kuwezesha kariakoo kupumua kwa kubomoa lile soko na kupanda miti eneo lile na kutengeneza city park yenye bustani na benchi za watu kupumzika. Itungwe sheria iundwe mamlaka ya City park Authority ya kusimamia mambo haya kwenye miji yetu ipendeze. Tuache fikra kwamba kila eneo lazima lijengwe mji ule hauna hata sehemu ya kupumzika, mtalii akienda k'koo leo hii hakuna hata sehemu ya kupumzika labda ale chips sehemu ambayo imejaa joto la moshi wa jiko la mkaa na hewa ya mafuta ya kukaanga.
Yani tena siyo kigamboni tu, vitongoji vyote vilivyo pembezoni mwa jiji vingejengewa masoko makubwa kama hayo ili kuondoa msongamano katikati ya jiji hao wamachinga wasambazwe huko pembezoni mwa jiji.Kwa sababu kuna daraja tayari, kwa nini hiyo hela wasi plan kujenga soko kubwa Kigamboni? kuna space na mji ndiyo unajengaka kwa sasa.
Ni kweli kabisa Tanzania hatujafikia hali ya kukataa wamachinga wasifanye biashara barabaraniUna chuki na wamachinga eh!!?
Nchi ni yetu sote, nenda Hong Kong kawaulize wanapumlia wapi halafu uliza maendeleo yao then njoo na porojo zako.
Shida kweli, na hiyo mijasho kwa asilimia kubwa ni ma pumzi ya watu wengine maana kila mtu anatoa carbon dioxide Na hakuna miti ya ku absorb co2 na ku release Oxygen.point.
Kariakoo hakuna hata sehemu ya kusema utapumzika walau unywe soda ambapo pana miti na hewa safi. kila sehemu majasho matupu.
siyo kwamba yuna hisa za kutosha. waliuza chote?Mh!! Mbona Urafiki hatunacho tena¡?!
Ya ubungo bilioni 200 ,hii itakuwa trilioni 4 tunawezaUkizingatia eneo la jangwani ndiyo aneo peke kwenye mji wa dar es salaam lenye unapana wa kutosha ndani ya jiji lenye kutosha kujenga 4 tier interchange ambazo kwa Africa ziko mbili tuu, moja iko Ghana na nyingine iko South Africa
Yani pale inasukwa interchange moja matata sana kono moja linaenda faya kono jingine linaenda magomeni, kono jingine linasambaa hadi salender , kono jingine linasambaa hadi mitaa ya ilala karume, kono jingine linakatiza hadi kinondoni studio au nyuma yake pale.
Hela tunazo invest kwenye mavitu yasiyo na kichwa (madege, ma dreamliner) tunaweza tukatoa kitu cha maana sana pale jangwani chenye kupunguza changamoto nyingi sana za mji na kutujengea heshima kubwa sana kama jiji.
View attachment 1999009
Ubungo billioni 200 tulipigwa. South Africa walijenga 4 tier interchange kwa $84million, Ghana wamejenga 4tier interchange kwa $94million sis vidaraja viwili billioni mbili[emoji23]. Pale jangwani tukijenga ya kwetu kwenda faya, Magomeni, salender, karume, kinondoni studio haizidi $250 million. Ndege moja ya Dreamliner tumenunua $248 millioni tumeagiza nyingine moja $248 + $248 =$496 millioni tunabeba mizigo guangzhou sasa hv mchina mwenyewe anashangaa Dreamliner pekee la mizigo airport ni la Africa [emoji23].Ya ubungo bilioni 200 ,hii itakuwa trilioni 4 tunaweza