Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,155
- 1,209
wako busy na mitihani ya la nne, form two na form four,,,wasingeweza kuendesha sahili za watu wengi kipindi iki.Watarudi soon, they might be working with something patience is needed.
Bila shaka 🤝Yap
wako busy na mitihani ya la nne, form two na form four,,,wasingeweza kuendesha sahili za watu wengi kipindi iki.
Kwani mitihani ya nchi hii inasimamiwa na utumishi pia???Yap
wako busy na mitihani ya la nne, form two na form four,,,wasingeweza kuendesha sahili za watu wengi kipindi iki.
Hata mimi najiuliza iyo kitu yani wadau wanajitungia sababu tuKwani mitihani ya nchi hii inasimamiwa na utumishi pia???
Fafanua kidogo tujue jambo Wenda tukawa tunapitwa na mengi atuyajui.
Necta sikuizi wamebadilishiwa majukumu wanafanya kazi Gani?
Intaview nyingi zinafanyika kwenye shule kongweKwani mitihani ya nchi hii inasimamiwa na utumishi pia???
Fafanua kidogo tujue jambo Wenda tukawa tunapitwa na mengi atuyajui.
Necta sikuizi wamebadilishiwa majukumu wanafanya kazi Gani?
Hii sababu bado sijaielewa kwani Kuna ulazima Gani wa kutumia shule kongwe kufanyisha usaili?.Intaview nyingi zinafanyika kwenye shule kongwe
magari ya serikali yanasambaza mitihani, top government officials wa mkoa n aa wilayani ni wajumbe wa kamati za mitihani, polisi kalbia wote wanalinda mitihani Sasa wangeendeshaje izo sahili za wqpimuKwani mitihani ya nchi hii inasimamiwa na utumishi pia???
Fafanua kidogo tujue jambo Wenda tukawa tunapitwa na mengi atuyajui.
Necta sikuizi wamebadilishiwa majukumu wanafanya kazi Gani?
Khaa kiboko aisee sasa hayo magari yanahusiano Gani na usaili wa utumishi ? Kama watendaji wa utumishi wanamagari yao kwa ajiri ya taasisi yao ayaendi kwa shughuli za taasisi nyingine lamda TU pale wao wanapokuwa awayatumii kwa kipindi hicho ndio wanaweza wakaazimisha lakini ni kwa nadra sana.Mfanobdrasa la nne wanafanya pep Leo na Kaho,,yaani mkoa mzima uko busy htr,,
magari ya serikali yanasambaza mitihani, top government officials wa mkoa n aa wilayani ni wajumbe wa kamati za mitihani, polisi kalbia wote wanalinda mitihani Sasa wangeendeshaje izo sahili za wqpimu
Kunywa maji,,ila Kwa trend ilivyo interview labda zianze wa 11 mwishoni au wa 12, na kipindi icho ni pirikapirika tupu,,, in short ajira za walimu zimewasumbua sana UtumishiKhaa kiboko aisee sasa hayo magari yanahusiano Gani na usaili wa utumishi ? Kama watendaji wa utumishi wanamagari yao kwa ajiri ya taasisi yao ayaendi kwa shughuli za taasisi nyingine lamda TU pale wao wanapokuwa awayatumii kwa kipindi hicho ndio wanaweza wakaazimisha lakini ni kwa nadra sana.
Pili watendaji wa utumishi sio lazima wasafili kwa magari ya taasisi Wana ya kwao private na wengine wanalipwa usafiri kutoka sehemu Moja kwenda nyingine.
Na ukisema magari lazima lamda kwa ajiri ya ubebaji wa vifaa vya usaili utaitaji gari Moja TU kwa mkoa mzima utumishi wanashindwaje kupata gari Moja?
Usaili walijinasibu wengi wataufanya online so migari mingi ya nini itabeba nini?
Hao wakuu wa mikoa wilaya na takataka nyingine ulizozitaja azina kazi yoyote kwenye mambo ya utumishi.
Polisi wa Nini tena kwani usaili ni maandamano ndugu?
Mbona saili nilizohuzulia Mimi swahiba sikuona polisi? Walimu wakolofi sanaa nini?
Nasubiri comeback yakeKhaa kiboko aisee sasa hayo magari yanahusiano Gani na usaili wa utumishi ? Kama watendaji wa utumishi wanamagari yao kwa ajiri ya taasisi yao ayaendi kwa shughuli za taasisi nyingine lamda TU pale wao wanapokuwa awayatumii kwa kipindi hicho ndio wanaweza wakaazimisha lakini ni kwa nadra sana.
Pili watendaji wa utumishi sio lazima wasafili kwa magari ya taasisi Wana ya kwao private na wengine wanalipwa usafiri kutoka sehemu Moja kwenda nyingine.
Na ukisema magari lazima lamda kwa ajiri ya ubebaji wa vifaa vya usaili utaitaji gari Moja TU kwa mkoa mzima utumishi wanashindwaje kupata gari Moja?
Usaili walijinasibu wengi wataufanya online so migari mingi ya nini itabeba nini?
Hao wakuu wa mikoa wilaya na takataka nyingine ulizozitaja azina kazi yoyote kwenye mambo ya utumishi.
Polisi wa Nini tena kwani usaili ni maandamano ndugu?
Mbona saili nilizohuzulia Mimi swahiba sikuona polisi? Walimu wakolofi sanaa nini?
Kaka umejibu kinyonge sana, umeshindwa kabisa kutetea hoja yako.Kunywa maji,,ila Kwa trend ilivyo interview labda zianze wa 11 mwishoni au wa 12, na kipindi icho ni pirikapirika tupu,,, in short ajira za walimu zimewasumbua sana Utumishi
Hiyo ya mwaka jana ndugu yanguKama ntakuwa nimekosea kwenye kumuelewa naomba mnisaidie,,,,,,,,
Swala la interview katika ajira hizi za mwaka 2024 halitakuwepo ,,, lakin kwa ajira za ualimu za mwaka 2025 , 2026 na kuendelea ,,,,, walimu itabidi wafanye interview ndipo wapate kazi
Kwa kifupi ,, nikuwa sasa shwala la interview limekuwa introduced rasmi kama kigezo cha nani apate kazi na nani asipitake kazi ,,, na utekelezaji wake utaanza katika ajira za mwaka 2025 na kuendelea
Sasa basi kama ni hivyo ,,, je hizi za mwaka 2024 zinatoka au hazitoki ??
Kama hazitoki watuambie kwanini ?? ,,,, Kama zinatoka pia watuambie kwa utaratibu gani ???,,,, Na zitazingatia vigezo vipi ???
-Je zitazingatia umri wa muhusika yani muombaji mwenye umri mkubwa ndiyo apate ??
-je zitazingatia mwaka wa kumaliza ,, yani muombaji aliyemaliza miaka ya nyuma ndiyo ananafasi ya kupata ??
- je,, walimu watatakiwa kuomba tena ?? Au watatumia majina yale yale ya utumishi ??
-je swala la vituo litakuwaje ?? Watajipangia wenyew vile wanaona au watazingatia machaguo ya waombaji kama walivyoomba katika account za utumishi ??
Naona kama speech ya muheshimiwa ,,,, bado imeacha maswali mengi sana huku mtaani...
Kinyonge kwani nateseka? Interview ata ziwe February no problemKaka umejibu kinyonge sana, umeshindwa kabisa kutetea hoja yako.
Clip Moja ni yajuzi September 13, nyingine ni ya mwaka huu wa mwezi wa 4Hiyo ya mwaka jana ndugu yangu
Mitihani inaendeshwa na hao watu wa ajira?Yap
wako busy na mitihani ya la nne, form two na form four,,,wasingeweza kuendesha sahili za watu wengi kipindi iki.
Eti sisiemuShida kubwa ni Sisiemu
Nyie hamjui tu
Anamaanisha wanaosimamia mitihani hiyo ni walimu hao hao wanaotegemea kufanyiwa interview. Walimu hao wapo katika private schools na pia huenda wakahisika katika Zoezi la marking.Kwani mitihani ya nchi hii inasimamiwa na utumishi pia???
Fafanua kidogo tujue jambo Wenda tukawa tunapitwa na mengi atuyajui.
Necta sikuizi wamebadilishiwa majukumu wanafanya kazi Gani?
Duh kumbe ulikuwa unapitia hoja zetu hapo aisee 👊Nasubiri comeback yake
Cheap point!Anamaanisha wanaosimamia mitihani hiyo ni walimu hao hao wanaotegemea kufanyiwa interview. Walimu hao wapo katika private schools na pia huenda wakahisika katika Zoezi la marking.
Hii points inasound japo hatuna uhakika mfano mmoja ni Tanga usaili unafanyika galanos ambapo sasaivi wapo kwenye mitihanIntaview nyingi zinafanyika kwenye shule kongwe