technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Umemuona Mbowe wewe, amenyongea na kukosa nuru. Sijui ni huu mgpgoro unaoendelea ndani ya CHADEMA🤣🤣🤣Kwanini JK hana raha kabisa Kama ilivyokuwa mwanzo?
Au katengwa
Maana Kuna kauli kaitoa karibuni kwamba ukitaka nchi itulie ishi vizuri na wazee
Pia akatoka kauli kusema sio kila mzee ni mwasisi wa CCM
Najiuliza kwanini JK hana raha kabisa sasahv Kama ilivyokuwa mwanzo
Mpaka alikuwa anamwakilisha Rais mikutano nje ya nchi kulikoni?
Unajuaje kama hana Raha? Unalala nae kitanda kimoja? Acha kuingilia maisha ya watu nyie bata wahedKwanini JK hana raha kabisa Kama ilivyokuwa mwanzo?
Au katengwa
Maana Kuna kauli kaitoa karibuni kwamba ukitaka nchi itulie ishi vizuri na wazee
Pia akatoka kauli kusema sio kila mzee ni mwasisi wa CCM
Najiuliza kwanini JK hana raha kabisa sasahv Kama ilivyokuwa mwanzo
Mpaka alikuwa anamwakilisha Rais mikutano nje ya nchi kulikoni?
Nipe contact, nitamfurahisha kwa kweli. Kumbe ana mambo hizo hamtuambii, CHADEMA mna siri sana😂😂😂Unamuwaza mwanaume mwenzako hana raha? Kampe faraja basi
Kabisa Aisee mwanaume mzima anafuatiliaje maisha yake?Unamuwaza mwanaume mwenzako hana raha? Kampe faraja basi
Namtaka?! CHADEMA bwana, hebu mheshimuni kiongozi wenu, mnataka kusema anafanywa nini😂😂😂Kabisa Aisee mwanaume mzima anafuatiliaje maisha yake?
Ukiwa unaandika ujinga/pumba usiwe unani quoteNipe contact, nitamfurahisha kwa kweli. Kumbe ana mambo hizo hamtuambii, CHADEMA mna siri sana😂😂😂
Simple, usirushe hoja za kijinga au toka JF boss.Ukiwa unaandika ujinga/pumba usiwe unani quote
Shenzi!
Wewe unaishi naye huyo JK mpaka kujua kuwa siku hizi hana furaha?
Unajuaje kama hana Raha? Unalala nae kitanda kimoja? Acha kuingilia maisha ya watu nyie bata wahed
Duh!Kauliza swali anajibiwa kwa maswali ya hovyo!Kabisa Aisee mwanaume mzima anafuatiliaje maisha yake?
Wabongo wengi ni watu wenye uwezo mkubwa wa kupenyeza ajenda zao kwenye jambo lolote. Halafu hawajali sana clarity.Wewe unaishi naye huyo JK mpaka kujua kuwa siku hizi hana furaha?
Uwezo wa watu wengi jamiiforum umekua mdogo sanaDuh!Kauliza swali anajibiwa kwa maswali ya hovyo!