Kulikoni? Kikwete mbona hana raha Kama mwanzo?

Kulikoni? Kikwete mbona hana raha Kama mwanzo?

Kwanini JK hana raha kabisa Kama ilivyokuwa mwanzo?

Au katengwa

Maana Kuna kauli kaitoa karibuni kwamba ukitaka nchi itulie ishi vizuri na wazee

Pia akatoka kauli kusema sio kila mzee ni mwasisi wa CCM

Najiuliza kwanini JK hana raha kabisa sasahv Kama ilivyokuwa mwanzo

Mpaka alikuwa anamwakilisha Rais mikutano nje ya nchi kulikoni?
Hana raha kwa sababu akini text simjibu siku hizi.
 
Ni
Kwanini JK hana raha kabisa Kama ilivyokuwa mwanzo?

Au katengwa

Maana Kuna kauli kaitoa karibuni kwamba ukitaka nchi itulie ishi vizuri na wazee

Pia akatoka kauli kusema sio kila mzee ni mwasisi wa CCM

Najiuliza kwanini JK hana raha kabisa sasahv Kama ilivyokuwa mwanzo

Mpaka alikuwa anamwakilisha Rais mikutano nje ya nchi kulikoni?
Ni bora aendelee kukosa raha tu ili atakapo ikwapua furaha yake kutoka huko waliko ificha iwe ni nafuu kwetu Watanganyika na hasa akipata suluhu ya kudumu litakuwa jambo jema zaidi.
 
Huyu Kikwete kama HANA FURAHA ni vizuri tu, ili tuwe wengi. vyeo alivyo shika na bado hataki kuachia wengine, ni mbinafsi sana.

Ilitosha alipomaliza nafasi yake ya Urais alipaswa apishe wengine.

Kijana wake Waziri, Mkewe Mbunge, Yeye bado mtumishi wa umma, Yeye na Mkewe wamejengewa Nyumba, wana lipwa mishahara yote na bashasha aliyoipata alipokuwa rais, magari mapya kila baada ya miaka miwili, na mafuta anapewa, ulinzi...N.K.

Bado mnasema HANA FURAHA, anataka nini tena? au anataka Urais tena kama Trump?
 
Huyu Kikwete kama HANA FURAHA ni vizuri tu, ili tuwe wengi. vyeo alivyo shika na bado hataki kuachia wengine, ni mbinafsi sana.

Ilitosha alipomaliza nafasi yake ya Urais alipaswa apishe wengine.

Kijana wake Waziri, Mkewe Mbunge, Yeye bado mtumishi wa umma, Yeye na Mkewe wamejengewa Nyumba, wana lipwa mishahara yote na bashasha aliyoipata alipokuwa rais, magari mapya kila baada ya miaka miwili, na mafuta anapewa, ulinzi...N.K.

Bado mnasema HANA FURAHA, anataka nini tena? au anataka Urais tena kama Trump?
No peace of mind !!
Peace of mind huwa hailetwi na hivyo vyote ulivyovitaja !!
Peace of mind ni kitu unazawadiwa bila kujijua kutokana na matendo yako na roho yako !!
 
Ndoa zina mambo mengi Mimi mwenyewe nisipopewa chakula cha usiku nikiamka nanuna mpaka mawazo yatulie
 
Kwanini JK hana raha kabisa Kama ilivyokuwa mwanzo?

Au katengwa

Maana Kuna kauli kaitoa karibuni kwamba ukitaka nchi itulie ishi vizuri na wazee

Pia akatoka kauli kusema sio kila mzee ni mwasisi wa CCM

Najiuliza kwanini JK hana raha kabisa sasahv Kama ilivyokuwa mwanzo

Mpaka alikuwa anamwakilisha Rais mikutano nje ya nchi kulikoni?
Nadharia

Anguko la chatu wawili Kwa mpigo halikutimia kama walivyopanga,wacuba wakaokoa jahazi la nusu mlingoti lakini mafuru akatembea,sasa no rasmi mbinu zake zimefeli na mkojani FC wamejua kuwa kahusika coz alitoka front line na kusema "ili nchi itulie sikiliza wazee"akijua tayari kumbe was cuba wameharibu mission!

Nawaza tu wazee,labda Britannica atakua na majibu zaidi!
 
Alichonga kinyago chake mwenyewe na sasa kimeanza kumtisha 😀 😀 😀 😀 😀 .

Chura keshajua kuruka mwenyewe bila msaada wa mtu. Keshaonja utamu wa asali, sasa amekumbatia mzinga yeye mwenyewe. Hataki kupimiwa.
 
Mlimpa jina la Vasco Da Gama ??
😆😆
Sijui nyakati zile nilikuwa Mdogo au sikuwa na smartphone?!
Sasa ameshapitwa au record bado anayo yeye ?
 
Kwanini JK hana raha kabisa Kama ilivyokuwa mwanzo?

Au katengwa

Maana Kuna kauli kaitoa karibuni kwamba ukitaka nchi itulie ishi vizuri na wazee

Pia akatoka kauli kusema sio kila mzee ni mwasisi wa CCM

Najiuliza kwanini JK hana raha kabisa sasahv Kama ilivyokuwa mwanzo

Mpaka alikuwa anamwakilisha Rais mikutano nje ya nchi kulikoni?
Wewe ni nyumba ndogo ya JK?? Kama siyo, ulijuaje hayo???
 
Sihamwona siku za hivi karibuni.
Kwa habari ya hizo kauli, aliwahi kuzitoa wakati Jiwe ameshika hatamu pande zote za himaya; amekaba koo na wazee wanatoa macho.
Yawezekana hata sasa historia imejirudia, na hichi kiitikio cha 'nishati safi'.
Wapigane kiume chema, ikiwa kama busara zao zimechagua hivyo.
 
Kwanini JK hana raha kabisa Kama ilivyokuwa mwanzo?

Au katengwa

Maana Kuna kauli kaitoa karibuni kwamba ukitaka nchi itulie ishi vizuri na wazee

Pia akatoka kauli kusema sio kila mzee ni mwasisi wa CCM

Najiuliza kwanini JK hana raha kabisa sasahv Kama ilivyokuwa mwanzo

Mpaka alikuwa anamwakilisha Rais mikutano nje ya nchi kulikoni?

Umejuaje hana raha? By the way, ukitaka uishi kwa raha, ukistaafu, achana na mambo ya ofisini kabisa. Especially kama ni ofisi za umma.
Bill Gates, Buffet wanaweza wakajali sababu ni biashara zao binafsi.
Halafu mwisho kabisa, what goes around comes around. It is normal.
 
mikataba ya symbion songas kukoma itakuwa imempunguzia marafiki, kale kamzigo ambako hakapiti dar nako nadhani kameleta shida, chenga ya mwili pale dp wodi naona nayo kuna changamoto
 
Back
Top Bottom