Kulikoni? Kikwete mbona hana raha Kama mwanzo?

Kulikoni? Kikwete mbona hana raha Kama mwanzo?

Kuwa na raha na kukosa raha hayo ni mambo ya kawaida kwa mwanadamu na hata kwa viumbe vinginevyo !
Stress, maradhi, Uzee na hata Karma pia huwezi juwa ! 😅😂😂

Mambo mengi yanasababisha mtu kukosa raha !
N.B Hata pesa nazo zikizidi zinaweza kukukosesha Furaha 😅😂😂
Au nasema uongo ndugu zanguni ? 🤣
 
Back
Top Bottom