Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini JK hana raha kabisa Kama ilivyokuwa mwanzo?
Kivipi ??!Tia maji tia majii
Swadakta!!Huenda roho inamsuta kwa aliyofanya ktk Escraw na Gas yetu ya Mtwara
Yule hana uwezo wa kugundua chochote zaidi ya kusifiwa hovyo hovyo tuLabda kuna kitu mama kagundua kuhusu gasi ya Mtwara.
Umewaza mbali sana😀👍Hapo anapanga namna ya kumwingiza maza kingi chap apige deal moja kubwa
Jamaa ana ngekewa ya kipekee, kaongoza nchi mihula mitatu na yote kefeli vibaya!Huenda roho inamsuta kwa aliyofanya ktk Escraw na Gas yetu ya Mtwara
Anamsogeza karibu kwa sura ya upole na huzuni nyingi baada ya hapo ni bonge moja ya tukio na kuwaachia wengine kuzoa matapishiJK ni tapeli wa mjini dalali wa rasilimali za nchi
Hapo kuna mchina au mwarabu wanasuka deal kubwa la kuiba mali za wanyongeAnamsogeza karibu kwa sura ya upole na huzuni nyingi baada ya hapo ni bonge moja ya tukio na kuwaachia wengine kuzoa matapishi
Kwa hiyo upole huo anapanga tukio,ndiyo ile ukimuona kobe kainama ujue kuna mtu atapiga mayowe.JK ni tapeli wa mjini dalali wa rasilimali za nchi
Yap yule ni dalaliKwa hiyo upole huo anapanga tukio,ndiyo ile ukimuona kobe kainama ujue kuna mtu atapiga mayowe.