Kulikoni kukamatwa na kupewa kesi kina Mwabukusi, Mdude na Dkt. Slaa wakati Lissu ndiye anaupinga mkataba kwa lugha kali zaidi?

Mi nashauri ukijua huyu ni mke au mtoto wa polisi au ni mwana ccm au watu wa mahakama ni kuwawekea sumu kwenye migahawa au bar mpaka waanze kujifungia makwao
samehee saba mara sabin Allah atatulipia usitende ubaya kwa ubaya
 
Lissu ameshajitengenezea jina huko, kumgusa tena ni sawa na kurudia kujivua nguo, zile nchi alizozunguka kule nje, mpaka kwenye mabunge yao, sehemu nyingine na speech akatoa, huyu ni kuwa nae makini sana, tena sana zaidi kama bado ile ndoto ya kufungua nchi ipo kichwani mwa msaliti.
 
Lisu kukamatwa ni suala la mda tu ukifika atakamatwa
Unajua mjomba Lisu usimkurupukie atakutoa knockout
nadhani wako fild wanajipanga namna ya kwenda nae sawa
Mwabukusi kakamatwa kwa sababu
Haya ya Lisu wanaweza kutafsiri kama ni makelele tu lakini huyu bwana anataka majibu sasa hivi na anaenda kuchukua hatua hana mda wa kupoteza
Kwa hiyo wameamua kumpoooza kwanza
 
Hakuitisha Maandamano!!!
 
Lisu hajawahi hamasisha Maandamano ya kupindua Serikali.

Lisu wamshughulikie Kwa kuhamasisha Utengano wa Nchi

Mwisho sio kwamba ni mjanja dawa yake inachemka.
 
Nawakumbusha tu, Mbowe ana Hotel Dubai kitambo tu!!
 
Samia atavurunda vibaya kwa hizi kamata kamata.
 
Huyu Slaa ni mtu wa serikali.
Kwa makusudi kabisa kakubali kukaa kolokoloni ili kubalance mzani na kutoa onyo kwa wengine
 
Wanamtafutia sababu Muda siyo mrefu nae ataenda kukaa mahabusu siku 500+ kama mbowe
 
Lissu is highly competent in legal affairs. Lazima serikali ijipange kisawasawa.
Sidhani kama hii ndio sababu maana serikali huwa haitishiki na hoja za mahakamani maana mahakama pamoja na mahakimu ni mali yao.
Labda ungesema wanamuhofia kutokana na umaarufu pamoja na connection alizonazo nje ya nchi ni rahisi dunia yote kupata habari zake wakileta kashikashi

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
 
Kaa la moto wewe unaweza kulimeza au ni maswali lojolojo? Mtu aliyepitishwa kwa risasi 16 na Mungu akamuokoa hata wao wanajua hawamuzi.. ni mteule wa aliyemumba na hapa hawatacheza naye tena maana wanajua nino kitawatokea...
 
Kuna mawili, aidha analiwa timing au yupo kazini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…