Kulikoni, mpakani na Rwanda sisi ni shamba la bibi?

Kulikoni, mpakani na Rwanda sisi ni shamba la bibi?

KoTe hujo nakuacha nakupinga katika miundombinu mzee.
HAPA EAST AFRICA NA CENTRAL NI KENYA PEKEE INAYOFUANA NA SISI INTERMS OF INFRASTRUCTURE.
KWA UZURI WA VYOTE HIVYO TUNAITOA MWANZA TUU RWANDA NZIMA HAIIPATI.
AMA NAITOA KIJITONYAMA KIGAMBONI NA KIJICHI INATOSHA KUPAMBANA NA RWANDA NZIMA.

Screenshot_20231031-155006.jpg
 
Zitambue tofauti hizi mpakani mwa Tanzania na Rwanda katika boda ya Rusumo:

1. Miundo mbinu upande wa Rwanda ni bora zaidi. Barabara, taa za barabarani, security cameras, majengo, fencing, furnitures nk upande wa Rwanda ni kama Ulaya.

2. Upande wa Rwanda taratibu zote katika kila idara yaani forodha, afya, polisi, immigration, usalama nk ni wazi na hakuna rushwa.

3. Waliopo kwenye eneo la serikali mpakani upande wa Rwanda ni wale tu wanaohusika kwa shughuli rasmi za hapo. Yaani wafanyakazi, mawakala wa forodha, mawakala wa bima za magari, wasafiri wavukao nk.

4. Hakuna anayeweza kuvuka kuingia Rwanda pasipo sababu wala idhini ya idara zote husika za huko yaani immigration, usalama na polisi.

5. Upande wa Rwanda wafanyakazi maisha ni kula kwa viwango vya mishahara yao.

6. Kuhusiana na Tanzania itoshe kusema huku ndiko kwenye ulaji wa urefu wa zile kamba zetu. Yaone magari ya wafanyakazi huku. Ama Kwa hakika wanalamba asali kweli kweli.

7. Eneo la serikali huku limesheni hadi wasiohusika. Kuvuka kuja Tanzania ni bwerere ambapo kama hata wapiga debe kutoka Rwanda wanajifanyia shughuli zao Tanzania kwa raha zao tumebakiza nini?

Yapo mengi ya kushangaza ila itoshe kusema kwa hakika sisi ni shamba la bibi.

Tuendelee kulea hali hizi hadi lini?
Bro hii nchi inaongozwa kutoka nje cartels. Wao ndio wanaamua nani awe kiongoz na eneo gan kwa maslah yao. Tanzania imekaa sehem muhim sana so ikimpata mtu mwenye akili timamu na akabadili katiba tukatawaliwa inavyotakiwa. Huo ujinga unaouona Rwanda anaoufanya hapo Congo hutauona. Na wanajua. Nguvu yetu na umuhim wa Congo kwa Africa so ni ngumu sana hii nchi kutawaliwa na mtu mwenye vision na akaachwa miaka 10.
 
KoTe hujo nakuacha nakupinga katika miundombinu mzee.
HAPA EAST AFRICA NA CENTRAL NI KENYA PEKEE INAYOFUANA NA SISI INTERMS OF INFRASTRUCTURE.
KWA UZURI WA VYOTE HIVYO TUNAITOA MWANZA TUU RWANDA NZIMA HAIIPATI.
AMA NAITOA KIJITONYAMA KIGAMBONI NA KIJICHI INATOSHA KUPAMBANA NA RWANDA NZIMA.
Hawa wajinga kina brazaj hawana exposure. Nashangaa sana wanavyoshupaa kufananisha nchi yetu na ki Rwanda
 
Rwanda ni kama Mkoa wa Tabora na wanaiba madini ya Kongo huwezi lingasha na linchi likuubwa kama Tz hata hivyo hakuna cha maana walichituzidi kuanzia barabara hadi majengo marefu. Acha kudanganya [emoji34][emoji34]
Mawazo ya punguani wa kitanzania ndiyo haya Sasa.
 
Zitambue tofauti hizi mpakani mwa Tanzania na Rwanda katika boda ya Rusumo:

1. Miundo mbinu upande wa Rwanda ni bora zaidi. Barabara, taa za barabarani, security cameras, majengo, fencing, furnitures nk upande wa Rwanda ni kama Ulaya.

2. Upande wa Rwanda taratibu zote katika kila idara yaani forodha, afya, polisi, immigration, usalama nk ni wazi na hakuna rushwa.

3. Waliopo kwenye eneo la serikali mpakani upande wa Rwanda ni wale tu wanaohusika kwa shughuli rasmi za hapo. Yaani wafanyakazi, mawakala wa forodha, mawakala wa bima za magari, wasafiri wavukao nk.

4. Hakuna anayeweza kuvuka kuingia Rwanda pasipo sababu wala idhini ya idara zote husika za huko yaani immigration, usalama na polisi.

5. Upande wa Rwanda wafanyakazi maisha ni kula kwa viwango vya mishahara yao.

6. Kuhusiana na Tanzania itoshe kusema huku ndiko kwenye ulaji wa urefu wa zile kamba zetu. Yaone magari ya wafanyakazi huku. Ama Kwa hakika wanalamba asali kweli kweli.

7. Eneo la serikali huku limesheni hadi wasiohusika. Kuvuka kuja Tanzania ni bwerere ambapo kama hata wapiga debe kutoka Rwanda wanajifanyia shughuli zao Tanzania kwa raha zao tumebakiza nini?

Yapo mengi ya kushangaza ila itoshe kusema kwa hakika sisi ni shamba la bibi.

Tuendelee kulea hali hizi hadi lini?
Mkuu huku kwetu ni rushwa. Huwa tunapigwa changa la macho eti tuna TAKUKURU.! Ni ajabu ila ndo ukweli wenyewe.
 
Back
Top Bottom