Kulikoni? Uwanja wa Amaan Mtupu Kumuga Mzee Mwinyi Zanzibar

Kulikoni? Uwanja wa Amaan Mtupu Kumuga Mzee Mwinyi Zanzibar

Nyerere alifariki 1999, asilimia kubwa ya watu waliokuwepo walikuwa na connection nae.
HUYU MWANAYE ni rais so ilitegemea watu wengi wajitokeze kwa ajili yake kumsindikiza baba yake … kama Akija Diamond wanakuja iweje washindwe kujitokeza kumsapoti rais wao anaowafanyia miradi mingi mikubwa
 
Asilimia kubwa ya watu Tz ni chini ya miaka 35, hawa hawamjui Mwinyi na hakuna connection. Hata msafara wake huku bara watu wachache sana walitokea barabarani kumuaga.
Nafikiri sio kweli. Nilisikia Zitto pia anasema kuwa asilimia 71 ya wa Tanzania hawamjui mzee Mwinyi. Nafikiri hizo statistics ni za kubumba tu. Ukifanya analysis wakati mzee Mwinyi anastafu urais mwaka 1995 mpaka Leo imeshapita miaka 29.Kwa maana hiyo,kwa mtizamo wako na mtizamo wa Zitto Kabwe kwa miaka 29 iliyopita wamezaliwa watu wengi Sana zaidi ya watu waliokuwepo miaka 29 iliyopita. Hawa watu waliokuwepo ,yaan waliokuwa wamezaliwa tayari, mwaka 1995 , yaani miaka 29 iliyopita tu assume kuwa walizaliwa kuanzia 1960.Waliozaliwa mwaka 1960 mwaka 1995 walikuwa na miaka 35 na sasa wana miaka 64.Na hata kama wengine wamekufa bado wapo wengi, kwa kuwa mtanzania wa miaka 60 ndio anastafu na ni wa kawaida tu. Waliozaliwa mwaka 1970 mwaka 1995 walikuwa na miaka 25 wakati mzee Mwinyi anastafu na sasa wana miaka 54.Hawa bado ni wabichi sana hata kama wemekufa wengine. Waliozaliwa mwaka 1980 wana miaka 44 na ni wengi tu. Nafikiri, wa Tanzania wengi wanamjua Mzee Mwinyi. Kwan waliokuwepo wakati hakiwa ni Rais ni wengi kuliko waliozaliwa baada ya yeye kustaafu.
 
Rais wa kwanza mwislamu kuondoka mbele za haki hapa Tanzania.
Jiulize tu.ingekua mkristo saahizi angekua anakimbizwa barabarani kama mwenge. Unatakiwa ujifunze waislam sio kama wakristo .sadaka hadi kwenye kuaga mwili.

Yaani kwa mkristo kama huna hela huagi mwili, ni uchuro kabisa..!!
 
Kwani huyu hajatembezwa barbarani kama Mwenge ?? Kutembezwa siku mbili na kutembezwa siku nne kote ni kutembezwa tu …Hakuna la utofauti ….
Hata huyo jumbe aliyesema asishikwe na dola walimshika na mizinga wakampiigia
 
Nafikiri sio kweli. Nilisikia Zitto pia anasema kuwa asilimia 71 ya wa Tanzania hawamjui mzee Mwinyi. Nafikiri hizo statistics ni za kubumba tu. Ukifanya analysis wakati mzee Mwinyi anastafu urais mwaka 1995 mpaka Leo imeshapita miaka 29.Kwa maana hiyo,kwa mtizamo wako na mtizamo wa Zitto Kabwe kwa miaka 29 iliyopita wamezaliwa watu wengi Sana zaidi ya watu waliokuwepo miaka 29 iliyopita. Hawa watu waliokuwepo ,yaan waliokuwa wamezaliwa tayari, mwaka 1995 , yaani miaka 29 iliyopita tu assume kuwa walizaliwa kuanzia 1960.Waliozaliwa mwaka 1960 mwaka 1995 walikuwa na miaka 35 na sasa wana miaka 64.Na hata kama wengine wamekufa bado wapo wengi, kwa kuwa mtanzania wa miaka 60 ndio anastafu na ni wa kawaida tu. Waliozaliwa mwaka 1970 mwaka 1995 walikuwa na miaka 25 wakati mzee Mwinyi anastafu na sasa wana miaka 54.Hawa bado ni wabichi sana hata kama wemekufa wengine. Waliozaliwa mwaka 1980 wana miaka 44 na ni wengi tu. Nafikiri, wa Tanzania wengi wanamjua Mzee Mwinyi. Kwan waliokuwepo wakati hakiwa ni Rais ni wengi kuliko waliozaliwa baada ya yeye kustaafu.
Tafuta takwimu za sensa uone, umepinga nilifikiri utaweka takwimu tofauti.
 
Ndugu yangu
Nakushauri tu. Hii nchi imejaa uozo mwingi na sintofahamu za kutosha. Tujitahidi kuwa na data au fact za kile tunachotaka kuadress kwani bila hivyo itaonekana tunasambaza chuki zisizo na mbele wala nyuma.
Hivi data fact za kitu kama hizi utazipataje? Mimi nasema kwa sababu niliambiwa na mtu ninayemfahamu na kumuamini, aliyeenda kuchukuwa miili ya ndugu zake. Ilichukuwa muda kuwapata kwani lilikuwa ni zoezi la kukagua kila maiti na kupita hospital zote. Hutaki kuamini, kanyaga songa mbele, ebo! Chuki gani na kitu kilishapita na kusahaulika?
 
Hivi data fact za kitu kama hizi utazipataje? Mimi nasema kwa sababu niliambiwa na mtu ninayemfahamu na kumuamini, aliyeenda kuchukuwa miili ya ndugu zake. Ilichukuwa muda kuwapata kwani lilikuwa ni zoezi la kukagua kila maiti na kupita hospital zote. Hutaki kuamini, kanyaga songa mbele, ebo! Chuki gani na kitu kilishapita na kusahaulika?
Mkuu wangu siwezi kubeza taarifa lakini je waliofariki ambao unawafahamu na idadi iliyotolewa na serikali imetofautiana kwa figa ipi
 
Mkuu wangu siwezi kubeza taarifa lakini je waliofariki ambao unawafahamu na idadi iliyotolewa na serikali imetofautiana kwa figa ipi
Kama nikakumbuka vizuri polisi iliweka idadi kama ya watu 45 hivi wakati hosptal jama alisema zilikuwa zimepangana maiti. Ni mtu wa uhakika na ni mwana CCM kindaki na alikuwa analaumu. Haya mambo kama unataka kufuatilia unaweza kupita hizo hospital ukaulizia kijanja. Hata wakati wa covid walificha idadi.
 
Huwezi kuwaambia Wazanzibar wauage mwili.
Imani yao asilimia kubwa hairuhusu hiyo mambo.

Wanaamini ukifa, uoshwe, uswaliwe, uzikwe.
 
Niko hapa uwanja wa Amaan Zanzibar kwenye shughuli ya kumuaga mpendwa wetu mzee Ali Hassan Mwinyi …inaacha Maswali kwanini majukwaaa ni Matupu hakuna watu kabisa labda kama huko nje kuna watu wataingia kwa maandaamano kama sherehe za mapinduzi , hii inaacha maswali sana ………..Wazanzibar watu wa Ajabu sana …wametuchia?
inaacha Maswali kwanini majukwaaa ni Matupu hakuna watu kabisa labda kama huko nje kuna watu wataingia kwa maandaamano kama sherehe za mapinduzi[emoji848][emoji3064][emoji3064]
 
Yaani hata UVCCM wazee wa vimbelembele misibani Leo wameshindwa kuhamasisha
inaacha Maswali kwanini majukwaaa ni Matupu hakuna watu kabisa labda kama huko nje kuna watu wataingia kwa maandaamano kama sherehe za mapinduzi
 
Back
Top Bottom