Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatoa taarifa polisi na polisi wataruhusu au kukataa kutokana na mtazamo wao wa kiusalama. Maana yakitoka yakutokea lazima wajibie, kutoa taarifa au kuomba ruhusa ni lugha TU lakini jambo ni kupata uhalali wa tukio
Mkuu sentences zako tatu za mwisho umehitimisha vema,haki haiji in a golden 🍽, inapiganiwa sometimes kwa jasho la damu, Iran 🇮🇷 yale maandamano damu zaidi ya 80 zimeshamwagika na mapambano yanaendelea (elewa chanzo ni kwa msichana aliyekufa akiwa in a police custody),hapa tunakuja humu JF wahusika wa haki wanasoma wakiwa na vikombe vya chai, maana they now nothing will happen, tutapiga kelele then jiiiii,kila kukicha sasa vijana wengi wanakufa in police custody hakuna push back, cold ❄ case's nyingi tu na maisha yanaendeleaTafsiri haiwezi ya kuwa ya upande mmoja. Kuapokuwa na utata kwenye lugha huwa kuna mahakama za za kutafsiri iibidi kuwarejea wahusika waliotunga katiba kueleza walichomaanisha.
Kwa mujibu wa katiba kutoa taarifa si kuomba ruhusa.
Bila mpambano wa kudai haki zetu kikamilifu tutashhudia mengi kutoka kwa mabwana Hawa ikiwamo hata kuporwa haki za kuishi.
Mkuu sentences zako tatu za mwisho umehitimisha vema,haki haiji in a golden 🍽, inapiganiwa sometimes kwa jasho la damu, Iran 🇮🇷 yale maandamano damu zaidi ya 80 zimeshamwagika na mapambano yanaendelea (elewa chanzo ni kwa msichana aliyekufa akiwa in a police custody),hapa tunakuja humu JF wahusika wa haki wanasoma wakiwa na vikombe vya chai, maana they now nothing will happen, tutapiga kelele then jiiiii,kila kukicha sasa vijana wengi wanakufa in police custody hakuna push back, cold ❄ case's nyingi tu na maisha yanaendelea
Sijui yale maridhiano yametufikisha wapi?
Huo ni ushenzi mbona mikutano ya ccm inafanywa kila wakati.Unatoa taarifa polisi na polisi wataruhusu au kukataa kutokana na mtazamo wao wa kiusalama. Maana yakitoka yakutokea lazima wajibie, kutoa taarifa au kuomba ruhusa ni lugha TU lakini jambo ni kupata uhalali wa tukio
Tafsiri yako ni potofu kabisa.Unatoa taarifa polisi na polisi wataruhusu au kukataa kutokana na mtazamo wao wa kiusalama. Maana yakitoka yakutokea lazima wajibie, kutoa taarifa au kuomba ruhusa ni lugha TU lakini jambo ni kupata uhalali wa tukio
Tafsiri yako ni potofu kabisa.
Kinachotakiwa ni kutoa taarifa siyo kuomba kibali. Polisi wanachotakiwa ni kutoa ulinzi. Kama kuna shida ya kupata ulinzi, Polisi watakitaarifu chama husika. Na chama husika kitaamua kuendelea na mkutano bila ulinzi wa polisi au kuahirisha mpaka watakapokuwa na uhakika wa kupata ulinzi wa Polisi.
Kama Polisi watakuwa na mashaka yoyote ya kiusalama, watashauriana na chama husika, na kisha chama hicho kitafanya maamuzi ya kuahirisha au kuendelea.
Polisi hawana mamlaka yoyote kisheria wala kikatiba ya kuruhusu au kuzuia mkurano wa cha cha siasa.
Yaani ni mambo ya hovyo snMkuu sentences zako tatu za mwisho umehitimisha vema,haki haiji in a golden 🍽, inapiganiwa sometimes kwa jasho la damu, Iran 🇮🇷 yale maandamano damu zaidi ya 80 zimeshamwagika na mapambano yanaendelea (elewa chanzo ni kwa msichana aliyekufa akiwa in a police custody),hapa tunakuja humu JF wahusika wa haki wanasoma wakiwa na vikombe vya chai, maana they now nothing will happen, tutapiga kelele then jiiiii,kila kukicha sasa vijana wengi wanakufa in police custody hakuna push back, cold ❄ case's nyingi tu na maisha yanaendelea
Vyama vya upinzani viandae na vifanye mikutano ya hadhara,
POLISI wapewe tu taarifa, HAPANA kuomba RUHUSA, ni kinyume Cha Katiba.
Njooni ground muongee na wananchi, Nchi hii Ina utawala wa Sheria, hivyo ni HAKI kufanya mikutano ya hadhara.
Huu ndo muda pekee muafaka wa kuiangusha CCM, hapatakuwa na fursa adhimu zaidi ya hapa.Kwa mwendo huu sheria itabadilishwa itakuwa hakuna kufanya mikutano mpaka kupata ruhusa ya polisi. Kwa maana ilipokuwa kutoa taarifa tu, tulijikita kwenye kuomba ruhusa.
Kwa uzoefu nilionao sijawahi ona police wakiruhusu mikutano ya vyama inayohusisha viongozi wakuu wa chama bila visingizio vya hapa na pale kwa miaka ya hivi karibuni labda nyuma sana enzi za Kikwete .
Very interesting...Sheria kuhusiana na mikutano inavitaka vyama vya siasa kutoa taarifa polisi, siyo kuomba ruhusa.
View attachment 2377281
Kuwaendekeza hawa ndugu tutajikuta mwana si wetu.
Kuheshimu sheria hakuwezi kuwa jambo la upande mmoja.
Sheria kuhusiana na mikutano inavitaka vyama vya siasa kutoa taarifa polisi, siyo kuomba ruhusa.
View attachment 2377281
Kuwaendekeza hawa ndugu tutajikuta mwana si wetu.
Kuheshimu sheria hakuwezi kuwa jambo la upande mmoja.
Hofu ya kuondolewa madarakaniKwa uzoefu nilionao sijawahi ona police wakiruhusu mikutano ya vyama inayohusisha viongozi wakuu wa chama bila visingizio vya hapa na pale kwa miaka ya hivi karibuni labda nyuma sana enzi za Kikwete .