Kulikoni vyama vya Siasa kuomba ruhusa Polisi?

Kulikoni vyama vya Siasa kuomba ruhusa Polisi?

Tafsiri yako ni potofu kabisa.

Kinachotakiwa ni kutoa taarifa siyo kuomba kibali. Polisi wanachotakiwa ni kutoa ulinzi. Kama kuna shida ya kupata ulinzi, Polisi watakitaarifu chama husika. Na chama husika kitaamua kuendelea na mkutano bila ulinzi wa polisi au kuahirisha mpaka watakapokuwa na uhakika wa kupata ulinzi wa Polisi.

Kama Polisi watakuwa na mashaka yoyote ya kiusalama, watashauriana na chama husika, na kisha chama hicho kitafanya maamuzi ya kuahirisha au kuendelea.

Polisi hawana mamlaka yoyote kisheria wala kikatiba ya kuruhusu au kuzuia mkurano wa cha cha siasa.
Sahihi
 
NInakazia:

IMG_20221213_193025_177.jpg
 
Unatoa taarifa polisi na polisi wataruhusu au kukataa kutokana na mtazamo wao wa kiusalama. Maana yakitoka yakutokea lazima wajibie, kutoa taarifa au kuomba ruhusa ni lugha TU lakini jambo ni kupata uhalali wa tukio
fullcup, hii tafsiri unaitoa wapi ndugu yangu. Watu wenye mawazo na mtazamo kama nyie ni hatari kwa hili taifa kuliko mnavyoweza kufikiria kwa ujinga wenu.

Kwa hapa Tanzania badala ya kuwalinda wananchi na mali zao, polisi Tanzania mara nyingi ndio huwa chanzo cha vurugu na uharibifu wa mali katika hii mikutano.

Hali hii ni matokeo ya chama tawala kuamini polisi wapo kuwalinda wanachama wao na viongozi wao kwa kuhakikisha mabaya yao hayaanikwi kwa wananchi.
 
fullcup, hii tafsiri unaitoa wapi ndugu yangu. Watu wenye mawazo na mtazamo kama nyie ni hatari kwa hili taifa kuliko mnavyoweza kufikiria kwa ujinga wenu.

Kwa hapa Tanzania badala ya kuwalinda wananchi na mali zao, polisi Tanzania mara nyingi ndio huwa chanzo cha vurugu na uharibifu wa mali katika hii mikutano.

Hali hii ni matokeo ya chama tawala kuamini polisi wapo kuwalinda wanachama wao na viongozi wao kwa kuhakikisha mabaya yao hayaanikwi kwa wananchi.

Kutumia nguvu kuitetea katiba haiwezi kuwa haramu:

IMG_20221215_103617_749.jpg


Kauli hizi hazikubaliki.
 
Back
Top Bottom