Kulikoni vyama vya Siasa kuomba ruhusa Polisi?

Sahihi
 
Unatoa taarifa polisi na polisi wataruhusu au kukataa kutokana na mtazamo wao wa kiusalama. Maana yakitoka yakutokea lazima wajibie, kutoa taarifa au kuomba ruhusa ni lugha TU lakini jambo ni kupata uhalali wa tukio
fullcup, hii tafsiri unaitoa wapi ndugu yangu. Watu wenye mawazo na mtazamo kama nyie ni hatari kwa hili taifa kuliko mnavyoweza kufikiria kwa ujinga wenu.

Kwa hapa Tanzania badala ya kuwalinda wananchi na mali zao, polisi Tanzania mara nyingi ndio huwa chanzo cha vurugu na uharibifu wa mali katika hii mikutano.

Hali hii ni matokeo ya chama tawala kuamini polisi wapo kuwalinda wanachama wao na viongozi wao kwa kuhakikisha mabaya yao hayaanikwi kwa wananchi.
 

Kutumia nguvu kuitetea katiba haiwezi kuwa haramu:



Kauli hizi hazikubaliki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…