Kulikoni Watanzania kushambulia DP World?

Kulikoni Watanzania kushambulia DP World?

Kazi ya Mange hii🤣
Mange anahusika vipi kwenye comments za watu zaidi ya 70's na bado wanaendelea kukoment tu? Yeye kama aliandika chochote kwenye page yake ni yeye, hata wewe unaweza fanya alivyofanya yeye or otherwise mamii.
Hio ndio faida ya mitandao EXPRESS yourself na hata wakikujia wewe juu DON'T HOLD GRUDGES😊😜
 
Kinachosikitisha Tanzania bara, kumbuka kuwa yanayofanywa leo na mama Samia kupitia DP World, yangefanywa kiuaminifu na TICTS miaka zaidi ya 20 nyuma, leo hii Tanzania ingekuwa inafaidika na kwa andari zake kuchangia zaidi ya 100% ya bajeti ya sasa.

Pia Inasikitisha zaidi utapoelewa kuwa matatizo yetu tunayoyatuwa leo siyo ya leo, yalishaamuliwa yatatuliwe miaka zaidi ya 20 nyuma, lakini kwa bahati mbsya kabisa walioaminiwa kuyatatuwa hawajayatatuwa kwa uoroho wao tu. Inaumiza sana ukiwaelewa ni kina nani hao.

Leo mama kapigana ndani ya muda wake mchache aliokuwepo kuwang'oa TICTS ambao walishaota mizizi ambayo ilimshinda hata mwendazake kuwang'oa kibabe. Walikuwa watata kuondoka na wajanja sana na wana nguvu sana. Unagahamu juwa TICTS ilikuwa inamilikiwa na shurika kubwa lankuendesha bandari duniani?


Ukijuwa jinsi mama Samia alivyoweza kuwang'oa lazima utampa maua yake.

Mkipenda kuyajuwa mtaniuliza ntawapa japo kwa uchache ninavyojuwa vita hii ys kiuchumi imepiganwa vipi. Kwa Wsislam tunasema mama kafanya jihadi kuinusuru Tanzania jutoka tumboni mwa nyangumi, Mwenyezi Mungu kamsaidia kwa nia yake njema na ucha Mungu wake.


Kuhusu Zanzibar, Mwinyi anafanya vizuri sana na kisha saini mikataba na kampuni za kuwekeza kwenye Bandari, kama sikosei tayari bandari mbili za Zanzibar. Yeye alianza na Airport ya Unguja.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
Dr Hussein Mwinyi ni zawadi waliyoachiwa Wazanzibari na Shujaa Magufuli!

Kanisa Moja Takatifu la Mitume
 
Wadanganyika yaani ni vilaza kweli, yaani miaka zaidi ya 60 bandari watu wamefanya kijiwe cha kuiba na ubadhirifu kwao sawa tu.
Mama kaupiga mwingi miaka 100 ni midogo wangepewa nyundo Mia 200 au 300 hivi waarabu watufundishe binaadamu wanavyofanya kazi kwa faida.
Ombi langu mama Tanesco mkataba wa kuikodisha uwe nyundo Mia 300 maana tumeteseka sana na majizi ya kidanganyika.
Pia iwe standard mashirika na taasisi za umma zote zinazotutia hasara wallpaper kodi kodisha miaka 100.
Mpaka hiki kizazi chenye laana ya kupenda rushwa, wizi, ubinafsi na ubadhirifu chote kiishe
 
Dr Hussein Mwinyi ni zawadi waliyoachiwa Wazanzibari na Shujaa Magufuli!

Kanisa Moja Takatifu la Mitume
Angekuwa na uwezo huo angejiwacha mwenyewe badala ya kwenda kuwa Rais wa kuzimu.

Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Akili za kibongo ndizo hizi, zimejaa hasira dhidi ya yale waliyotendewa mababu zetu zaidi ya miaka mia moja iliyopita. Zimejikita kwenye visasi vya kabla hata hawajazaliwa, poor african minds.
watanzania walioko kwenye mitandao ni wa kwenye mitandao wala wasikutishe kwanza hawapatikani sehemu nyingine yoyote, wengine wako nje ya nchi wala hawana cha kupata wala cha kukosa. Wengi wao wala siyo wapiga kura. Wanajiburudisha ukizingatia furaha ya mtanzania ni kuona mwenzake akiteseka
 
Mange anahusika vipi kwenye comments za watu zaidi ya 70's na bado wanaendelea kukoment tu? Yeye kama aliandika chochote kwenye page yake ni yeye, hata wewe unaweza fanya alivyofanya yeye or otherwise mamii.
Hio ndio faida ya mitandao EXPRESS yourself na hata wakikujia wewe juu DON'T HOLD GRUDGES😊😜
Duh...unajua wamevamia lini? Au uko nyuma ya kalenda mkuu
 
Sahivi kwenye page ya DP world ya Instagram hapatoshi, Watanzania wanaporomosha matusi hatari kwenye page za Waarabu.

DP world kazi wanayo.

View attachment 2661244

View attachment 2661245
wawakilishi wetu wameshaupitisha kwa niaba yetu hao wanaopiga kelele ni kina nani labda km hawajui maana ya uwakilishi. wamekula pesa za mafisadi wa Magufuli, watabwabwaja tu mwisho wa siku mwenye nyumba atalala km kawaida,
 
Sahivi kwenye page ya DP world ya Instagram hapatoshi, Watanzania wanaporomosha matusi hatari kwenye page za Waarabu.

DP world kazi wanayo.

View attachment 2661244

View attachment 2661245

Dawa kwenda kwa page ya CEO mwenyewe kumpa ujumbe.
Tena huyu kama wale waliokuja Ikulu eti..?
Jamaa ana sainisha tuu watu. Sasa sijui na wa India sawa na wetu mkataba.
1687156562295.png


Group Chairman & CEO of DP World
Sultan Ahmed Bin Sulayem


 
Back
Top Bottom