Kulikuwa na haja gani Putin kuwaua wale marubani na muhudumu wa Ndege badala ya Prigozhin pekee yake?

Kulikuwa na haja gani Putin kuwaua wale marubani na muhudumu wa Ndege badala ya Prigozhin pekee yake?

Unazumguza nini hata ueleweki - nyie mlijuaje yaliyo zumgumzwa kati ya Prighozin muhudu wa ndege yake - alikuwa anazo mbili we unajua alipanda hipi - halafu anavyo tafutwa kwa udi na uvumba ili auwawe, unafikiri nimjinga kujiingiza kwenye mdomo wa mamba hivi hivi, naye ana mashushu wake wa kuaminika - si ajabu ndegr iliyo pata ajali haikuwa na rubani wala wahudumu wa ndege au Prighozin mwenyewe - jamaa huyu kichwa sana si rahisi kupoteza maisha yake kizembe namna hii - subirini atakuja kuhibukia msiko tegemea - hasa barani Afrika.
Prighozin hafufuki hata miaka 1000.
 
Mzuka wanajamvi!

Mwanadada mrembo Kristina Raspopova alikuwa muhudumu kwenye ndege iliyopata ajali na kumuua boss wa Wagner Yevgeny Prigozhin aliwasiliana na familia yake kabla ya safari kwa kushangaa kwanini safari iliahirishwa eti ndege inafanyiwa matengenezo. Kumbe wanachomeka mabomu.

Sasa kama Putin alitaka kuwaua Boss wa Wagner Prigozhin na wenzake kwanini sasa akawatoa kafara marubani wawili na huyu flight attendant mrembo ambao hawana hatia?

Ni roho mbaya tu hili liputin limemwaga damu Ukraine. Angewaua tu wahuni wenzake kina Prigozhin huko.

Lenyewe limebaki kujificha kwenye mahandaki likila na kulala. Lioga kama nini limeogopa hata kwenda kwenye mkutano wa Brics.

Putin na genge lake wanadhani wataishi milele?
Aisee
 
Unazumguza nini hata ueleweki - nyie mlijuaje yaliyo zumgumzwa kati ya Prighozin muhudu wa ndege yake - alikuwa anazo mbili we unajua alipanda hipi - halafu anavyo tafutwa kwa udi na uvumba ili auwawe, unafikiri nimjinga kujiingiza kwenye mdomo wa mamba hivi hivi, naye ana mashushu wake wa kuaminika - si ajabu ndegr iliyo pata ajali haikuwa na rubani wala wahudumu wa ndege au Prighozin mwenyewe - jamaa huyu kichwa sana si rahisi kupoteza maisha yake kizembe namna hii - subirini atakuja kuhibukia msiko tegemea - hasa barani Afrika.
We mzee huwa una stress sana na Warusi.

Bado unaamini huyo mrusi wenu hajauwawa? Asee hii nchi ndiomana bado iko ulimwengu wa tatu.
 
Putin analaumiwa bure! Putin ni mzalendo wa kweli wa Russia! Anaipigania Russia kinyume na maadui wa ndani na nje ya mipaka ya Russia!
Kumbuka US na nchi za West hazilali, target yao ya muda mrefu ni kuisambaratisha Russia.
Sasa ukiona hata raia wa nchi yako anatishia usalama wako na nchi yako unafanyaje?
Kiongozi wa Wagner alikuwa Myahudi! Rais wa Ukraine ambayo iko vitani na Russia ni Myahudi! Rais wa Ukraine ni kibaraka wa US na nchi za Magharibi! Sasa unajuaje kama hakukuwa na njama za kiongozi wa Wagner kwa kushirikiana na Rais wa Ukraine kumpindua Putin kwa maslahi ya US?
Putin alikuwa agenti wa KGB na mpaka leo ni Shushu mzuri tu! Hakuna asichojua! Sasa huwezi kujua kwa nini kiongozi wa Wagner ameuawa! Wewe na Mimi hatujui.
 
Putin analaumiwa bure! Putin ni mzalendo wa kweli wa Russia! Anaipigania Russia kinyume na maadui wa ndani na nje ya mipaka ya Russia!
Kumbuka US na nchi za West hazilali, target yao ya muda mrefu ni kuisambaratisha Russia.
Sasa ukiona hata raia wa nchi yako anatishia usalama wako na nchi yako unafanyaje?
Kiongozi wa Wagner alikuwa Myahudi! Rais wa Ukraine ambayo iko vitani na Russia ni Myahudi! Rais wa Ukraine ni kibaraka wa US na nchi za Magharibi! Sasa unajuaje kama hakukuwa na njama za kiongozi wa Wagner kwa kushirikiana na Rais wa Ukraine kumpindua Putin kwa maslahi ya US?
Putin alikuwa agenti wa KGB na mpaka leo ni Shushu mzuri tu! Hakuna asichojua! Sasa huwezi kujua kwa nini kiongozi wa Wagner ameuawa! Wewe na Mimi hatujui.
Sio KGB now ni FSB
 
Inanikumbusha

Yule bibi wakimarekani,aliyetumiwa na CIA ,amuue fedel Castro .(Yuko hai huyo bibi mpaka Leo)

Akihadisia baada ya kifo Cha Castro ,kwamba castro alikuwa mwanaume wa shoka ,Kila akienda na mbinu zake ,alikuwa anaishia kuchezea tango la Castro TU ,na ikafikia pahala wakawa wapenzi ,kutoka anatakiwa kumuua

Kwahiyo ,huyo dada mzuri huyu ,asilaumiwe ,Tunatakiwa kujua majukumu yake ilikuwa khusu kuhudumu kwenye ndege ya gaidi kama mkuu wa Wegner group au pia alikuwa mwajiliwa na Moscow

Japokua sio KAZI imetumia weredi Sana kuwamaliza
 
Back
Top Bottom