Kulikuwa na jaribio la Mapinduzi Chadema, Sasa wavamia Uchaguzi!

Uasi hauna siri.
 

Sauti ya Watanzania si ni miongoni mwa jumuia zilizopiga kelele sana kumtetea Mbowe alipokuwa jela kwa kesi ya ugaidi?.

Watu wa Mbowe leteni sera zenu acheni propaganda.
 
Habari ndio hiyo msaliti hatumtaki
 
Takataka
 
Nyie wajinga wa Mbowe tulikuwa tunawaamini na hizi ngonjera zenu miaka ya nyuma. Kwa mwaka huu ulioandika hapa ni ujinga na utoto wala hatuusomi.

Ila hata hivyo kama mapinduzi yenyewe ni kumpindua Mbowe na nyie machawa wake basi nayaunga mkono. Yafanyike kutuondolea uchafu uliotanda pale Chadema.

Wewe unawadanyanya wapuuzi na vijiujasusi vyako uchwara huna akili hata kidogo mpuuzi mmoja wewe!
 
Usiku kucha unajadili debe tupu lazima wewe utakuwa kifuniko.
Tunajadili Ili mzidi kufunguka πŸ˜‚

Kwa mfano Kitendawili cha Meddy Wenyewe mmefunguka

Wizi wa Kura za Komredi Nyalandu mmefunguka

Sisi tunachukua Notes tu Kwa ajili ya Mtihani wa October 2025 🐼
 
Mbowe for life..ujinga mtupu hata Zitto kabwe mlituaminisha kwa mashair ya kichovu kama haya...
Unakumbuka sakata la akina kitila mkubo ,Habibu MChange na Juliana Shonza ,ulivyokuwa unaadika uharo kama huu?
Mwisho wenu umefika now ni zam ya Lissu
 
Unaunga mkono mapinduzi?
 
Tumemchoka nkurunzinza tunataka changamoto mpya lissu atatusogeza mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…