Kulikuwa na sababu gani Singida Black Stars kuanzisha wachezaji wengi wa kikosi cha pili wakati wachezaji kikosi cha kwanza wapo fit?

Nyie nadhani vilio vitaendelea mpaka mtasema,,Tabora wameifunga yanga mechi ngapi? Si Moja? Uwezi kusema tabora ni tawi la yanga wakati kaifunga yanga mechi Moja na Simba kumfunga tabora mechi zote! Kwenye timu 16 yanga kazifunga karibia robo tatu ya hizo timu ikiwemo Simba unayoisema,,kwanini ushangae singida kufungwa na yanga?
 
Wachazaji wote waliocheza ni waajiliwa halali wa Singida BS, tusiwapangie nani acheze na yupi asicheze, wakatiwanafanya recruitment walijua ni wakati Gani mchezaji atawafaa.
 
Unataka kumpangia mwajiri matumizi sahihi ya raslimali watu aliowaajiri? Wachezaji wote wanalipwa mshahari Kwa kuvuja jasho na SI kukaa benchi.
 
Kwanini Umuache Makambo na Yacouba Sogne kwenye mchezo muhimu wa Ligi? 😀 Ubaya Ubwege
 
Hebu acha porojo wewe hiyo tabora imeanza lini kukamia mechi za yanga ninyi wenyewe si mlisema ile mechi mlikosa baadhi ya key players, jkt hiyo hapo imewakamia hadi mmetoa draw lakini sijasikia mkisema kwamba ni tawi la simba, ninyi hamkamiwi na timu yoyote ndio uwezo wenu ulipoishia hebu acheni kusema vitu eti kisa tu mashabiki wa simba nao wanasema angalieni uhalisia
 
U
Uhalisia upi? Uhalisia unaujua wewe? Sasa hivi mngekuwa na point ngapi mechi zingechezeshwa kihalali?
 
U

Uhalisia upi? Uhalisia unaujua wewe? Sasa hivi mngekuwa na point ngapi mechi zingechezeshwa kihalali?
Sisi tungekuwa na point 50 huku ninyi mngekuwa na point 49
 
Sisi tungekuwa na point 50 huku ninyi mngekuwa na point 49
Mechi na pamba Jiji refa aliwapa zawadi ya ushindi,,ilikuwa sare,Mechi na Dodoma Kila mtu aliona ilikuwa sare, mechi na Azam refa akaibuka Tena kuwa Man of the match,,mechi na Jkt hivyo hivyo sasa hizo point 50 ungezipatia wapi? Ungeziiba?
 
Kwani sio wachezaji wao?
ushauri
Mechi ya 8/3 wachezaji hawa waanze....
*Manula
*Kazi
*Kijili
*Nouma
Si kupangiana vikosi !...sasa na nyie waanzisheni hao kwanini hawachezi ?
 

Utopolo hiyo ndio lugha wanamichezo tunaelewa hizo hekaya zako peleka utopoloni.
 
Unataka kumpangia mwajiri matumizi sahihi ya raslimali watu aliowaajiri? Wachezaji wote wanalipwa mshahari Kwa kuvuja jasho na SI kukaa benchi.
Tunalipa viingilio atupe standard sisi walaji vinginevyo wasituite kwenye mechi zao ili wafanye maigizo wao wenyewe
 
Ligi yetu inakuwa Externally Intenally Inakufa siku hadi siku.

Ila naona Mpira wetu Unakwenda kufa kwasababu ya Mambo Mengi na Siasa Ikiwemo.

Tanzania Yangu.
 
Mbona timu yangu MC Alger nilisha ileta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…