Kulikuwa na uhalali gani kwa Chief Mkwawa kutambulika kama 'Shujaa?

Saddam was an exception, yule jamaa anahukumiwa kifo akaanza kuongea uzalendo hapo hapo, alipewa nafasi ya kujitetea mahakamani asiuwawa alijibu hivi
"Saddam Hussein ni mkubwa mno kutetewa na Binadamu yeyote, hata Saddam Hussein mwenyewe hana hadhi ya kumtetea Saddam Hussein bali Mungu tu ndiye mwenye hadhi ya kumtetea saddam Hussein" Hivyo usimfananishe Saddam na mtu yeyote maana yule mzee alikuwa mgumuwa mno, imagine unaletewa taarifa wanao wawili na mjikuu wameuwawa wewe unauliza "je walipambana ?" unajibiw ndio alafu unajibu "basi wamekufa kishukaa"
turudi kwa mkwawa sasa, Mkwawa namuona ni shujaa maana kuliko ateswe na maadui zake akaona bora ajiue tu, alikuwa shujaaa kwa maana hakutaka kuwapigia magoti wazungu na hata yeye alipowateka wazungu aliwaua so aliona l
abda kuuliw na adui wake ni uzembe
 
Una uhakika gani kuwa Chifu Mkwawa alijiua kwa kujipiga risasi??.
 
Huyu hakuwa shujaa kabisa
Kwanza alikuwa anafanya biashara ya watumwa anauza waafrika wenzie ili apate risasi,shanga,nguo,mvinyo
Halafu sio kwamba alipigana na wahehe tu ila makabila mengine madogo ya pembeni yaliunganisha nguvu wakapigana na mjerumani.

Tatu ujio wa wangoni ulileta effect nyingi sana mbaya na nzuri ikiwemo ku adopt mbinu zao za
Kivita kwahivyo mkwawa baada ya kuchapwa na wangoni aka copy military technic zao ikiwemo cow horn na short spear. Long shield.

Kingine alikuwa anapata ufadhili kutoka kwa waarabu koko waliokuwa wanafanya bado bishara ya utumwa kimya kimya na wajerumani walikuwa kama wanazibia.
Mmojawapo ni abushiri na bwana heri hawa walikuwa sponsors wa mkwawa.

Pia mauwaji ya delegates wa mkwawa yalichangia kuibua Vita .nae akamuua kamanda wa kijerumani katili kuliko wote Emily von zellywiski
Infantry Soldier
 
Mpaka sasa bado ulimwengu haujui nini kilimkuta Adolph Hitler. Miongoni mwa majeshi ya washirika yalioungana katika kuung'oa utawala wa Nazi, kuna wanaodhani Marekani ilimficha kama ambavyo wanadai Osama amefichwa
Hitler alijiua na abaada ya hapo wasaidizi wake wakachoma moto mwili wake, hii nimeisoma bbc news mwezi uliyopita.
Ngoja niitafute nikuwekee link.
 
Hitler alijiua na abaada ya hapo wasaidizi wake wakachoma moto mwili wake, hii nimeisoma bbc news mwezi uliyopita.
Ngoja niitafute nikuwekee link.
Ni maneno ya nani hayo mkuu? Inawezekana alifichwa na Uingereza ila wakasingizia kuwa alijiua.
 
Ni maneno ya nani hayo mkuu? Inawezekana alifichwa na Uingereza ila wakasingizia kuwa alijiua.
Hapana, Hitler alijiua kwa kujipiga risasi kwenye handaki lake. Ila kabla hajajiua alimuagiza dereva wake amfuatia Lita 200 za petrol, Ila dereva huyo alipata Lita 180 ambazo aliambiwa aziweke nje ya handaki hilo. Na mpaka mda huwo Hitler hakumwambia kazi ya mafuta hayo.
Ingawaje baada ya Hitler kujipiga risasi wasaidizi wake na walinzi wake walijiongeza wakaamua kuuchoma mwili wa Hitler kwa petrol hiyo ila haukuungua wote, hivyo wakauzika, na ndipo warusi walipo wafikia na kufukua mwili huyo na kuondoka nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…