Wewe unaongelea tractor la kijiji??? Ardhi ni ya wana vijiji, yaani kwa kiswahili chepesi ni ya individuals na ardhi zao zipo scattered, hapa una eka 2, pale eka 4 na kuendelea,
Sasa economically sio efficient kuwa na patches of land ya kupima here and there , ndio maana nakwambia ni juu yangu Mimi na wewe tujiunge kwa njia moja au nyingine tulime kwa pamoja tractor likija linapiga eka 10 na zaidi.
Sasa vikundi vidogo vidogo ni rahisi ku manage.
Tatizo la tractor la kijiji watu wasio kuwa na uchungu nalo ni shida kuli manage ktk matumizi ya kila siku na ktk repair.
Kama hulijui hilo utakuwa unaishi sayari nyingine.
Hata china wameisha toka huko unakofikiria wewe.