Kulikuwa na umuhimu gani kwa viwanja vya Uhuru na Mkapa kujengwa sehemu moja?

Kulikuwa na umuhimu gani kwa viwanja vya Uhuru na Mkapa kujengwa sehemu moja?

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2012
Posts
15,892
Reaction score
16,476
Habari za muda huu ndugu zangu wa jamiiforums.

Eti wataalam wa mipango miji, kulikuwa na umuhimu gani kwa viwanja vya soccer vya Uhuru pamoja na ule wa Benjamin William Mkapa kujengwa sehemu moja?

images (11).jpeg


Eneo ulipojengwa uwanja wa Mkapa lilikuwa eneo la wazi na ndio sehemu ambayo chuo cha ufundi stadi cha VETA kilikuwa kinatumia katika kufunza madereva wachanga.

Nilisoma shule ya msingi Kibasila mwaka 1999 hivyo ninapajua sana eneo lile. Kabla ya ule uwanja wa Mkapa kujengwa kulikuwa na geti dogo la kuingilia shule ya secondary ya JKT Jitegemee (Jiteute) miaka hiyo pamoja na mnara wa ndege vita ya jeshi iliyoanguka wakati wa kuwapokea rasmi mashujaa wa vita ya Kagera. Hivyo lile eneo ninalijua vema tu.

Kwanini uwanja wa Mkapa haukupelekwa Boko au Bunju kama walivyofanya hospitali ya Muhimbili kujenga branch Mloganzila na ukizingatia kipindi kile maeneo ya njia ya Bagamoyo hayakuwa expensive kama ilivyo sasa?

MSAADA: Kwa wataalama wa mipango miji kulikuwa na umuhimu wowote wa kuwa na viwanja viwili vya soka eneo moja?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.

UPDATE
===
Ndugu zangu, kesho ufunguzi wa World Cup ndio "Last Seen/Comment" yangu humu jamiiforums. Tutaonana tena October 2024 (Miezi 23 kutoka mwezi huu).

Ninaangalia kwenye fursa nyingine ya pesa. Kwa bahati mbaya kwenye stories of change nimeangukia pua.

MAWASILIANO YANGU
===
Halotel - 0621 512 203 - Call/SMS

Tigo - 0654 527 779 - Call/SMS/Whatsapp
===

I wish you all the best.
 
Wa uhuru ulikuwepo hapo. hapo kwa mkapa palikuwa eneo la wazi milki ya uwanja wa michezo ndio huo wa mkapa ukajengwa hapo
 
Wa uhuru ulikuwepo hapo. hapo kwa mkapa palikuwa eneo la wazi milki ya uwanja wa michezo ndio huo wa mkapa ukajengwa hapo
Mkuu, kila kitu nimeeleza katika badiko langu kuu. Bila shaka umesoma heading pekee na ukaandika comment. Nimesoma primary Kibasila hivyo ninapajua sana kule. Enzo hizo DUCE inaitwa Teacher's College
 
Habari za muda huu ndugu zangu wa jamiiforums.

Eti wataalam wa mipango miji, kulikuwa na umuhimu gani kwa kiwanja cha soccer cha Uhuru pamoja na ule wa Benjamin William Mkapa kujengwa sehemu moja?

View attachment 2419759

Eneo ulipojengwa uwanja wa Mkapa lilikuwa eneo la wazi na ndio sehemu ambayo chuo cha ufundi stadi cha VETA kilikuwa kinatumia katika kufunza madereva wachanga.

Nilisoma shule ya msingi Kibasila mwaka 1999 hivyo ninapajua sana eneo lile. Kabla ya ule uwanja wa Mkapa kujengwa kulikuwa na geti dogo la kuingilia shule ya secondary ya JKT Jitegemee (Jiteute) miaka hiyo pamoja na mnara wa ndege vita ya jeshi iliyoanguka wakati wa kuwapokea rasmi mashujaa wa vita ya Kagera. Hivyo lile eneo ninalijua vema tu.

Kwanini uwanja wa Mkapa haukupelekwa Boko au Bunju kama walivyofanya hospitali ya Muhimbili kujenga branch Mloganzila na ukizingatia kipindi kile maeneo ya njia ya Bagamoyo hayakuwa expensive kama ilivyo sasa?

MSAADA: Kwa wataalama wa mipango miji kulikuwa na umuhimu wowote wa kuwa na viwanja viwili vya soka eneo moja?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Kwa kuwa eneo lilikuwepo mjini,na uwezekano wa kuingiza fweza zaidi,na ujenzi gharama nafuu,bila gharama ya ziada ya ardhi,hilo limefanyika kwa maslahi ya taifa.
 
Unaenda kwa miguu sio,unaijua nauli ya bunju temeke
Ndiyo. Na ndiyo maana nikasema ni kukubali kushindwa. Tungekuwa na viongozi wenye akili tukawa na mipango miji na ring roads, matatizo yasingekuwepo.
 
Watu wa bunju kwenda uwanjani ni nadra sana,bunju ni ushuani,watu wa ushuani wanaangalua mpira sebuleni kwao kwenye Tv inch 32.fuatilia mashabiki wengi uwanjani ni watu toka uswazi
Hahahahaaaa mkuu hii justification yako aisee. Sasa kama lengo ni kuwapata wale wa low income basi wangeujenga huko Mwanza au Arusha kwa maana wamejaa sana watu wa hali ya chini huko kuliko Dar.
 
Back
Top Bottom