Kulingana na ushahidi wa kesi ndogo ndani ya kesi kubwa uliotolewa, Je unadhani maelezo ya Adamoo aliyoandikisha polisi yatapokelewa kama ushahidi..?

Tuna options zipi zaidi ya kusubiria huruma za jaji?
Options ziwe zinatambulika kisheria, kama kukata rufaa ni mojawapo, nje ya hapo hiyo experience kwa nchi yetu sijawahi kuiona.
 
Options ziwe zinatambulika kisheria, kama kukata rufaa ni mojawapo, nje ya hapo hiyo experience kwa nchi yetu sijawahi kuiona.

Tuko sote mkuu.

My rhetoric question was only meant to show, all we have is to wait, hope and see. Certainly we can't influence it anyhow.

Indeed it has been good enough to shame them and accordingly. We now know more than we had ever known before.
 
1.Mshitakiw no 1 alionesha majeraha na makovu hata hivo bado anachechemea hii inamaana kwamba aliteswa.

2.Mshitakiwa no 2 alieleza Mahakama kuwa nae mshitakiwa namba moja aliteswa

Ikiwa Jaji atasimamia Haki bila shinikizo la waleta kesi basi utetezi wao utachkuliwa .
 
Uko sahihi
 
Mwaka2004 nikiwa kijana mdogo na ndio mara yangu kwanza kuingia mahamani, Mzee mmoja alinifanyia kosa la kijinai na nikampeleka polisi akakiri kosa kwa kuandika maelezo yale ktk lile liboku la polisi bila kushutishwa na siku Ile alilala selo na baadae akapata dhamana baadae polisi walituita kama kufanya suluhu yaani anilipe fidia nikakubali lakn kwa sababu hakuwa na hela aliahidi baada miezi mitatu atanilipa, sijui alishauriwa na watu baada ya muda alinikana na polisi wakaniita kuwa kesi Ile wanaipeleka mahakamani nikweli baadae ikapagwa siku ya kuisikiliza, kwa sababu ilikuwa jinai Mimi nilikuwa shahidi namba moja, nilipojaribu kuomba maelezo aliyoyatoa polisi yazingatiwe aliyakana na mahakama ikayatupilia mbali, labda kwa sababu ni mahakama ya mwanzo, lakini tangu hapo siaminigi maelezo yanatolewa polisi kwamba yanaweza kusaidia, zaidi tuiache mahakama itende haki
 
Mkuu ishu ya katiba mpya sio ishu ya upinzani hii ni ishu ya kitaifa.Mwakani katiba mpya itaanza Kaa ikijua Hilo,utake usitake mambo yko .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Obviously based on prefessional integrity, adherence to ethics and moral values.
 
Nashukuru kwa ufafanuzi naendelea kukifunza maana wote ni wahanga watatajiwa
 
Kumbe mahakama ya mwanzo? Ndiyo maana...

Duuuh, kwa hiyo ukawa umeshindwa kiaina namna hiyo...!

Pole...
 
Unataka kujaribu ku - achieve nini kwa comment yako hii...?

By the way hapa hakuna anayehukumu mtu...

Tunajaribu kutolea maoni ya kinachoendelea mahakamani...

Wewe kama kichwa kimelala, hulazimishwi kushiriki ktk mjadala huu...

Hata hivyo kwa kuwa umeandika, basi asante sana kwa mchango wako...
 
Ni wazi kabisa kwamba mateso yalipelekea washitakiwa kusaini uongo wa Kingai , maelezo ya Adamoo kule kwa Kingi na Mahita yatatupiliwa mbali , kwa vile namna yalivyopatikana haikuwa halali
 
Wewe unadhan hapa JF wote ni vilaza hakuwa wanasheria, majaj na mahakim na ata wa ufaham wa sheria ambao kwa mujibu wa mtoa mada hawawez kuchangia chochote mpaka mahakam? Au wee ni Mahita nn? Au kingai?
Haha, mimi Kingai Mkuu..
 
Mwanaume hasifiwi sura hahaha
 
Ni uchambuzi mzuri, lakini je mahakama zetu zipo huru kuyaona haya? Mh rais alishasema Mbowe ni gaidi je mahakama zipo huru kutofautiana nae? Na haswa Ikichukuliwa cheo cha ujaji ni fadhila za rais? Huko nyuma mahakama zetu ziliwafunga kwa kuwaonea akina Mbowe, Sugu, Lema nk.
Muda utaamua tusiwe wapiga ramli.
 

Mkuu denooJ unayaona mambo ya kesi ya ngedere kala mahindi hakimu akiwa nyani.

Hukumu huwa, mlalamikaji (yaani binadamu) apewe mbolea zaidi ili azalishe mahindi kwa wingi kwa ajili ya kuwatosheleza kwa chakula nyani, ngedere na yeye pia "in that order not the other way round."

Bila mihimili huru hakuna kutoboa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…