Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maadili ndio mada iliyopoHuwezi kuwaongelea generation Z bila kuongelea maendeleo ya teknolojia kama hayo!
Mbona vitabu vinavyoandikwa na waafrica kwa mazingira ya ki-Africa vipo vingi sana? Sema tu unachukia vitabu.Ni hivi
Sisi wafrika tuandike vitabu sisi wenyewe ambavyo vina uhalisia kulingana na mazingira na tamaduni zetu. Vitatusaidia kujikwamua kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni.
Tusome vitabu vilivyoandikwa na watanzania na waandishi wengine wa afrika kwenye nchi zao
Unasoma fishing industry in norway. Tool zinazotumika ni advanced technology zenye thamani ya milion 100. Unategemea mwananchi ambaye hata kulipa laki 6 kwa mwaka km kodi ya chumba na sebule hawezi ataweza?
Maendeleo ya teknolojia ndio kitu chenye athari kubwa zaidi kwenye maadili.Maadili ndio mada iliyopo
Wewe ni Gen z.? , naona unajadili hayo mambo ya ma "celebrity"...!Halafu Paula kumbe kamtongoza Konde when she was 15yrs ( form 3)
ni watoto wetu na wadogo zetu hawa lazima tujue kuhusu changamoto zao. Hapo msisitizo upo kwenye hiyo age ya Paula wakati anamtongoza Konde. I can just imagine coz i have a 16 years old girl.Wewe ni Gen z.? , naona unajadili hayo mambo ya ma "celebrity"...!
Umezipata wapi hizo taarifa mkuu..?ni watoto wetu na wadogo zetu hawa lazima tujue kuhusu changamoto zao. Hapo msisitizo upo kwenye hiyo age ya Paula wakati anamtongoza Konde. I can just imagine coz i have a 16 years old girl.