Kulipa mamilioni kusomesha 'Generation Z' ni kama kucheza kamari!

Kulipa mamilioni kusomesha 'Generation Z' ni kama kucheza kamari!

Upo sahihi kwa kiasi kikubwa sana mdogo wangu. Nimependa sana unavyo jenga hoja. Ni generation z wachache sana ambao wanaweza kuwa na uwezo wa kujielezea kwa hekima wewe.


Itoshe kusema kwamba wewe ni Great Thinker.

Maxence Melo Muangalie huyu kijana ana kitu ndani yake.

Nakubaliana na hoja zako kwa kiasi kikubwa but kuna maeneo machache kuhusu hoja zako nataka kuyatolea ufafanuzi kidogo.

9. Sababu nyingine ya Life expectancy kuwa chini miongoni wa Genetation Z ni pamoja na poor life style kama vile ulevi, ngono zembe, utumiaji wa mihadarati n.k.

8. Life style ya Generation Z ipo heavily influenced with celebrities life style . Some of them are just smoking and drinking because they have learnt that their favourite celebrities are smoking and or drinking . Mfano Konde Boy etc. They think it is okay to smoke and drink kwa sababu favourite celebrity wao ana drink na ku smoke.

7. Poor health ni kwa sababu ya poor life style.( pia hapa sio tu kuwa blame generation z kwa sababu kama nilivyo sema kwenye bandiko langu awali life style ya Generation Z imekuwa programmed. So poor health inasababishwa pia na mambo mengine kama vile aina ya vyakula mfano G.M.Os na gadgets etc.

5.upo sahihi kabisa u guys are very reckless. Ur lives are moving in the direction of " I don't give a JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala" mentality.

3. Upo sahihi kabisa homosexuality ipo tangu Zamani lakini u guys tend to be more tolerant towards it.

Miaka ya 2000 mwanzoni vijana tulitoka Kinondoni kwenda Temeke kutafuta mademu sasa hivi unasoma mitandaoni vijana wa Gen z anajitangaza mtandaoni wanatafuta mabwana.

Kuna mtu mmoja alikuwa anasema kwa utani siku moja kwamba huu mmomonyoko wa maadili among Generation Z ni laana ya wazazi wa kizazi cha miaka ya sabini, themanini hadi tisini mwanzoni. Wazazi wetu walikuwa wanatuambia ; 1. Msivute bongi, tukawa hatusikii now Generation Z mnavuta unga. Wakatuambia acheni zinaa . Msifanye sex kabla ya ndoa( uhuni na umalaya)hatukuwasikia now Gen Z ni ushoga na usagaji. Msisikilize muziki wa Rap hatukuwasikia now Gen Z mnasikiliza Singeli na Amapiano.

Akasema laana ya Gen Z watoto wenu watakuwa wanauana kwa Risasi kama South Africa au Marekani... na nyie mtakuwa mnalalamika kwanini watoto wenu wanauana kwa sababu za ovyo

Kwenye kupima life expectancy sidhani kama nadharia ya vizazi inaingia kwakua wana'assume kwamba if all factors remain constant, basi watu hawa wana life expectancy ya miaka kadhaa. Mfano; life expectancy ya mTanzania as of 2022 ni miaka 66 regardless yupo kwenye kundi gani la jamii.

Kuna ule msemo wa Mwana FA kwamba "dunia haitosimama hata ukigoma kwenda nayo", nadhani ina maana sawa na "learn to surf or get carried away". Tolerance yetu na agenda za LGBTQ community nadhani mzizi wake ndo umepatikania huko. Kama mliotutangulia ambao ndio mnaoshikilia nchi katika nyanja zote kwa sasa mmeshindwa kuzuia hili tatizo, sisi tutafanyaje? Mnatulaumu bure tu kwakweli.

Angalau serikali ilichukua hatua ya kuzuia sites za pornography ambazo ukiniuliza mimi, nitasema ndio chanzo kikubwa cha watu ku'develop wild wild wild sexual fantasies na katika kutaka kuzijaribu ndo bendera inazidi kupepea. Lakini bila kuingia na kwenye content za wasanii, ni kazi bure. Weekend iliyopita niko zangu mtaani nazurula nikapita sehemu inapigwa Singeli hiyo aloooh! mbaya zaidi kundi la watoto wana'sing along word to word halafu nyimbo inazungumzia kwa mpalange sijui kumefanyaje.

Explicit contents na vulgarism kwenye nyimbo za Bongo fleva siku ni kawaida sana na wasanii wenyewe wengi wao sio hata Gen-Z. Leo tu kuna uzi nimeuona unazungumzia mstari wa G Nako kwenye Wapoloo, kina Zuchu, Mbosso, Harmonize, Rayvanny mpaka Diamond wote huwa wana lyrics za uchochezi za kufanya mtu ujihisi "left-out the new ways". NB: wote hawa ni millenials hivyo point ya kwamba wao ndo hu'influence tabia zetu inadhihirika hapa.

Tukiangalia historia yetu wanadamu, kadri miaka inavyokwenda ndio matendo mapya yanaongezeka. Yaani kama sisi Gen-Z tunaonekana wehu namna hii kwa sasa, ngoja Alpha waje kuchukua kijiti mbona tutajua hakuna tulichowahi kujua. Kwa sasa mtu ukiwaza dunia sana inavyoenda, suala la kupata watoto inabidi u'consider kulitoa kwenye bucket list kwakweli maana unaweza kuwa unatamani mwanao wa kiume aje kuendeleza legacy yako kumbe mwenzio anatamani akaolewe Canada.


By the way asante kwa hili darasa na compliments mkuu, ubarikiwe sana.
 
Wewe generation Z, uko na akili kuwazidi wenzio wengi.

It's a simple fact, kila kizazi kinachofuatia ni matokeo ya vizazi vilivyopita. Generation Z wanaendeleza yale waliyokuta Millenials na generation X wanafanya.

Asante sana mkuu.
 
Generation Z au Zoomers ni kizazi cha waliozaliwa kuanzia mwaka 1997 hadi 2012. Umri wao ni kati ya miaka 9 hadi 24. Kizazi kitakachofuata baada ya Generation Z kitaitwa Generation Alpha (Generation Alpha and the generations that will come thereafter will be more worse than Generation Z).

Kizazi hiki "Generation Z" kiliandaliwa (kilikuwa programmed) miaka mingi iliyopita na kikundi cha watu wanao itawala dunia.

Moja kati ya sifa za watu wa kizazi Z ni pamoja na:

1. They are 100% ruled and controlled by the internet and social media in general (they are the truly "Digital natives" and netizens of this planet.

2. Their behaviours and life style in general are easily and heavily influenced by celebrities (they don't like to do what their parents are teaching them, they don't like to do what their teachers are telling them, they don't like to do what their imams and pastors are preaching to them, ut they love to do what their favourite celebrities are doing or saying or preaching )

3. They are lenient to homosexuality and Lgbt life style in general.

4. Lack of fear of God.

5. They make very poor and dangerous decisions which are detrimental to their own lives.

6. Low IQs and EQs.

7. Poor health.

8. They are okay with drinking liquors and smoking ( both cigarettes and marijuana)

9. They are okay with drugs ( cocaine etc)

10. Life expectancy ( 40-45 years)

Mzazi chagua mwenyewe.

1. Mpeleke mtoto wako shule ya kayumba ajifunze uhalisia wa maisha kwa kuanza kuwa responsible kuanzia akiwa darasa la kwanza kama vile kufanya usafi shuleni, kujichanganya na watoto wenzake wengi aanze kupata changamoto mapema, kuadhibiwa na walimu anapokosea, kwenda na kurudi shuleni kwa miguu nk, (bado haitamzuia na athari za Generation Z but mzazi hutopata hasara mara mbili 1. Kulipa.mamilioni na mtoto kuathiriwa na gen z).

Au

2. Mlipie mamilioni akae sehemu ambayo anafanyiwa kila kitu (anapewa chakula, anapelekwa shule na gari na kurudishwa na gari, darasani anakuwa spoon fed, etc but mwisho wa siku upate hasara mara mbili (kulipa mamilioni + mtoto kuharibikiwa).
Hiz Mambo inategemea na wewe sio kizazi. Coz mtu huyo huyo aliyelelewa China au tuseme far East ni tofauti na aliyelelewa africa na ulaya na Amerika. Kinachotutesa hapa afrika ni kule kuacha tamaduni zetu na kukumbatia za kigen. Matokeo yake tunapokea uchafu wote mzima mzima. Kuhusu elimu broda lipa ada hata ya million 60 mzee achana na hiz elimu za kuwafanya vijana kujadili simba na yanga kila kukicha. Mtoto muandae akaajirike popote dunian tena kwa ushindan. Watoto wanaandaliwa tangu wakiwa wadogo kabisa. Pata muda wa kukaa na wanao kusali nao kama una biashara wakiwa wapo mapumziko kashinde nao kazin. Jifunze mila na destur zote nzur na pia waombe wanao na kuwatolea sadaka. Hakunaga kitu cha bahat mbaya dunian. Kila kitu hutokea kwasababu. Hakunaga kizazi kipya kuna uzembe mpya. Kuwa strict utazalisha bonge la mtu strong.
 
Hapo kwenye documentary na vitabu mengi ni theory hayana uhalisia hizi vitabu vya hadithi na uchumi?
Nishaacha kusoma vitabu na kiangalia documentary.
Wewe unaangalia documentary kuhusu Nyerere, baadae itakusaidia nini? Siyo mwalimu, utajua kinachofuata?
Vitabu vingine hata havieleweki unasoma vya kazi gani?
Unaangalia documentary na unasoma vitabu, hapo haujui hata kuinstall windows kwenye computer. Simu yako hata kubadilisha password hujui. Unaenda kwa jirani.
Hata extension cable ikiungua hauna hata uwezo wa kuangalia tatizo nini. Unaenda kutupa jalalani.
Baada ya kugundua hayo, sasa hivi nakula zangu pesa tu.
🤣🤣🤣🤣
 
Hiz Mambo inategemea na wewe sio kizazi. Coz mtu huyo huyo aliyelelewa China au tuseme far East ni tofauti na aliyelelewa africa na ulaya na Amerika. Kinachotutesa hapa afrika ni kule kuacha tamaduni zetu na kukumbatia za kigen. Matokeo yake tunapokea uchafu wote mzima mzima. Kuhusu elimu broda lipa ada hata ya million 60 mzee achana na hiz elimu za kuwafanya vijana kujadili simba na yanga kila kukicha. Mtoto muandae akaajirike popote dunian tena kwa ushindan. Watoto wanaandaliwa tangu wakiwa wadogo kabisa. Pata muda wa kukaa na wanao kusali nao kama una biashara wakiwa wapo mapumziko kashinde nao kazin. Jifunze mila na destur zote nzur na pia waombe wanao na kuwatolea sadaka. Hakunaga kitu cha bahat mbaya dunian. Kila kitu hutokea kwasababu. Hakunaga kizazi kipya kuna uzembe mpya. Kuwa strict utazalisha bonge la mtu strong.
Sahihi
 
Kwenye kupima life expectancy sidhani kama nadharia ya vizazi inaingia kwakua wana'assume kwamba if all factors remain constant, basi watu hawa wana life expectancy ya miaka kadhaa. Mfano; life expectancy ya mTanzania as of 2022 ni miaka 66 regardless yupo kwenye kundi gani la jamii.

Kuna ule msemo wa Mwana FA kwamba "dunia haitosimama hata ukigoma kwenda nayo", nadhani ina maana sawa na "learn to surf or get carried away". Tolerance yetu na agenda za LGBTQ community nadhani mzizi wake ndo umepatikania huko. Kama mliotutangulia ambao ndio mnaoshikilia nchi katika nyanja zote kwa sasa mmeshindwa kuzuia hili tatizo, sisi tutafanyaje? Mnatulaumu bure tu kwakweli.

Angalau serikali ilichukua hatua ya kuzuia sites za pornography ambazo ukiniuliza mimi, nitasema ndio chanzo kikubwa cha watu ku'develop wild wild wild sexual fantasies na katika kutaka kuzijaribu ndo bendera inazidi kupepea. Lakini bila kuingia na kwenye content za wasanii, ni kazi bure. Weekend iliyopita niko zangu mtaani nazurula nikapita sehemu inapigwa Singeli hiyo aloooh! mbaya zaidi kundi la watoto wana'sing along word to word halafu nyimbo inazungumzia kwa mpalange sijui kumefanyaje.

Explicit contents na vulgarism kwenye nyimbo za Bongo fleva siku ni kawaida sana na wasanii wenyewe wengi wao sio hata Gen-Z. Leo tu kuna uzi nimeuona unazungumzia mstari wa G Nako kwenye Wapoloo, kina Zuchu, Mbosso, Harmonize, Rayvanny mpaka Diamond wote huwa wana lyrics za uchochezi za kufanya mtu ujihisi "left-out the new ways". NB: wote hawa ni millenials hivyo point ya kwamba wao ndo hu'influence tabia zetu inadhihirika hapa.

Tukiangalia historia yetu wanadamu, kadri miaka inavyokwenda ndio matendo mapya yanaongezeka. Yaani kama sisi Gen-Z tunaonekana wehu namna hii kwa sasa, ngoja Alpha waje kuchukua kijiti mbona tutajua hakuna tulichowahi kujua. Kwa sasa mtu ukiwaza dunia sana inavyoenda, suala la kupata watoto inabidi u'consider kulitoa kwenye bucket list kwakweli maana unaweza kuwa unatamani mwanao wa kiume aje kuendeleza legacy yako kumbe mwenzio anatamani akaolewe Canada.


By the way asante kwa hili darasa na compliments mkuu, ubarikiwe sana.
Sahihi
 
Generation Z au Zoomers ni kizazi cha waliozaliwa kuanzia mwaka 1997 hadi 2012. Umri wao ni kati ya miaka 9 hadi 24. Kizazi kitakachofuata baada ya Generation Z kitaitwa Generation Alpha (Generation Alpha and the generations that will come thereafter will be more worse than Generation Z).

Kizazi hiki "Generation Z" kiliandaliwa (kilikuwa programmed) miaka mingi iliyopita na kikundi cha watu wanao itawala dunia.

Moja kati ya sifa za watu wa kizazi Z ni pamoja na:

1. They are 100% ruled and controlled by the internet and social media in general (they are the truly "Digital natives" and netizens of this planet.

2. Their behaviours and life style in general are easily and heavily influenced by celebrities (they don't like to do what their parents are teaching them, they don't like to do what their teachers are telling them, they don't like to do what their imams and pastors are preaching to them, ut they love to do what their favourite celebrities are doing or saying or preaching )

3. They are lenient to homosexuality and Lgbt life style in general.

4. Lack of fear of God.

5. They make very poor and dangerous decisions which are detrimental to their own lives.

6. Low IQs and EQs.

7. Poor health.

8. They are okay with drinking liquors and smoking ( both cigarettes and marijuana)

9. They are okay with drugs ( cocaine etc)

10. Life expectancy ( 40-45 years)

Mzazi chagua mwenyewe.

1. Mpeleke mtoto wako shule ya kayumba ajifunze uhalisia wa maisha kwa kuanza kuwa responsible kuanzia akiwa darasa la kwanza kama vile kufanya usafi shuleni, kujichanganya na watoto wenzake wengi aanze kupata changamoto mapema, kuadhibiwa na walimu anapokosea, kwenda na kurudi shuleni kwa miguu nk, (bado haitamzuia na athari za Generation Z but mzazi hutopata hasara mara mbili 1. Kulipa.mamilioni na mtoto kuathiriwa na gen z).

Au

2. Mlipie mamilioni akae sehemu ambayo anafanyiwa kila kitu (anapewa chakula, anapelekwa shule na gari na kurudishwa na gari, darasani anakuwa spoon fed, etc but mwisho wa siku upate hasara mara mbili (kulipa mamilioni + mtoto kuharibikiwa).
Namba moja, umechemka, watoto wa UK, Australia, Ulaya, wanasoma shule nzuri sana, kuliko za kwetu, unataka kusema, kwa vile wamesoma shule nzuri, maisha Yao yataharibika?
Kumsomesha mtoto international school of Tanganyika, ili apate exposure ya dunia, na kumsomesha saint kayumba, wewe unaona kayumba ndio Bora?
Ili ufanikiwe maishani sio lazima usome kwa mateso, unatembea km 5,unakunywa uji usio na sukari, umewekwa chumvi, unatembea na fagio na kidumu cha kumwagilia maji!
Dunia ya kesho, itatawaliwa na tekinolojia, mtoto inabidi apewe skills na elimu Borasifundi
kayomuwezesha Kuta wala dunia na maisha yake,
Kuna u lazima gani kutesa mtoto ili ajue kufua blanketi kwa mikono, badala ya kumfundisha kutumia washing mashine, na ku I repair ikiharibika, mtoto awe na elimu Bora, ambayo ni applicable kwa maisha yake, ajue siasa, muziki,kilimo, driving, sio kutumia jembe LA mikono, wakati siku hiz zipo piki piki zinaweza kulima,
Kusema mtoto wa 2020,afundishwe kama sie wa 1990! Ni kukosa busara!
Ku na mashine zina pika wali,chapatti, ugari, samaki,
Sasa kwanini mtoto asifundishwe jinsi ya kutumia internet na kujifunza vitu mtandaoni,
Watoto watatu wanatembea kwa miguu,fagio na kidumu, vyoo vya shimo, darasani wapo 80,
Wengine watano wapo kwenye basi, full ac, watoto wanachezea IPads, shuleni vyoo vya ku flush, darasani wapo 25!
Bro wewe unasema wa kayumba ndio watatoboa maishani!
 
Bado tu hujamaliza hili mkuu, kwanini unaumia watu wakitumia hela zao na ambazo hujui wamezitafuta vipi??
Inatosha mwanao kusoma shule za kama so usi force tufanane. Mwisho wa yote hakuna atakae kuja kwako kuomba ada au hifazi siku mtoto akikwama
We mwenyewe unaonekana umezaliwa 1998
 
Generation Z au Zoomers ni kizazi cha waliozaliwa kuanzia mwaka 1997 hadi 2012. Umri wao ni kati ya miaka 9 hadi 24. Kizazi kitakachofuata baada ya Generation Z kitaitwa Generation Alpha (Generation Alpha and the generations that will come thereafter will be more worse than Generation Z).

Kizazi hiki "Generation Z" kiliandaliwa (kilikuwa programmed) miaka mingi iliyopita na kikundi cha watu wanao itawala dunia.

Moja kati ya sifa za watu wa kizazi Z ni pamoja na:

1. They are 100% ruled and controlled by the internet and social media in general (they are the truly "Digital natives" and netizens of this planet.

2. Their behaviours and life style in general are easily and heavily influenced by celebrities (they don't like to do what their parents are teaching them, they don't like to do what their teachers are telling them, they don't like to do what their imams and pastors are preaching to them, ut they love to do what their favourite celebrities are doing or saying or preaching )

3. They are lenient to homosexuality and Lgbt life style in general.

4. Lack of fear of God.

5. They make very poor and dangerous decisions which are detrimental to their own lives.

6. Low IQs and EQs.

7. Poor health.

8. They are okay with drinking liquors and smoking ( both cigarettes and marijuana)

9. They are okay with drugs ( cocaine etc)

10. Life expectancy ( 40-45 years)

Mzazi chagua mwenyewe.

1. Mpeleke mtoto wako shule ya kayumba ajifunze uhalisia wa maisha kwa kuanza kuwa responsible kuanzia akiwa darasa la kwanza kama vile kufanya usafi shuleni, kujichanganya na watoto wenzake wengi aanze kupata changamoto mapema, kuadhibiwa na walimu anapokosea, kwenda na kurudi shuleni kwa miguu nk, (bado haitamzuia na athari za Generation Z but mzazi hutopata hasara mara mbili 1. Kulipa.mamilioni na mtoto kuathiriwa na gen z).

Au

2. Mlipie mamilioni akae sehemu ambayo anafanyiwa kila kitu (anapewa chakula, anapelekwa shule na gari na kurudishwa na gari, darasani anakuwa spoon fed, etc but mwisho wa siku upate hasara mara mbili (kulipa mamilioni + mtoto kuharibikiwa).
mfano familia zinazoishi kwenye majiji ni wapi mtoto atatembea kwa mguu kwenda shuleni na kurudi, huoni unahatarisha maisha ya watoto.., ndugu Mtanzania mjini siyo vijijini na pia kama nilisoma kwa shida haimaanishi ni watoto ama wadogo wetu nao wasome kwa shida. pia fuatilia vizuri hichi kizazi cha ushoga na mapenzi ya jinsia moja mbona wengi wao maisha ya kawaida sana, elimu yao ni hii hii ya Kayumba
 
Sio kweli. Kadri muda unavyozidi kwenda, ndivyo ubunifu unazidi kuongezeka. Ndio maana teknolojia inakua, na mambo mengi yanarahisishwa. Ni wazi kwamba kila kizazi kipya kinakuja na ubunifu kuliko kizazi kilichopita!

Kama ungewaambia wazee wa miaka ya themanini kwamba ipo siku kutakua na treni za umeme zenye kusafiri Dar to Mwanza kwa masaa manne, wangekuona mwehu!

Juzi kuna dogo wa miaka 13 kashinda world championship kucheza FIFA video games. Prize ilikua zaidi ya dola laki mbili. Hiki ni kizazi cha kumake money while having fun. Everything is computerized!

Mimi ugomvi wangu na hawa generation Z ni low EQ. Hawa madogo wako na roho za plastiki. Ndio maana unaona suicide rates na depression ziko kwenye record high. Ni kama bloilers vile hawawezi kumudu nyakati ngumu!

Hapo ndio unakuta wako tayari kuachia marinda ili wapate maisha. Ni sababu hawana roho ngumu. Sio watu wa mtumba, ni watu special made in China!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tunazungumzia hasa kwenye suala la maadili sio masuala ya teknolojia
 
Heshima yako mkubwa.

First off I'd like to acknowledge that most of what you said is almost too correct, but what you've failed to point out is the influence millenials have in this mess.

Me ni Gen-Z pia na ninatambua kuwa sifa moja wapo ya mtu asiejielewa ni kulaumu watu wengine kwa matatizo yake mwenyewe lakini frankly speaking, makosa na matatizo yetu mengi yamesababishwa na millenials. As a matter of fact, kila kizazi kina mchango mkubwa katika kurithisha mabaya ama/na mazuri kwa kizazi kinachofuatia.

Nitajitahidi kujibu kwa mifano kwa kila point iliyopo kwenye orodha yako kama ifuatavyo;

1. Kuwa the so called "digital natives" and "netizens" has more pros than cons. Sidhani kama kuna haja ya kuziainisha faida za internet.

2. Yes, our behaviours and life styles are utterly influenced by celebrities but who is to blame? Kila mwanadamu anatamani kuishi vizuri, I stand to be corrected, na tunaowaona wakiishi vizuri ni hao celebrities. Najua wapo watu kutoka professions zingine wenye pesa na maisha mazuri zaidi ya celebrities na socialites lakini tunashindwa kuwa'idolize kwakua jitihada ya jamii kuwapa hadhi hiyo ni ndogo sana.

Nikiwasha TV content nyingi ni za celebrities na socialites ambao nawaona wamevaa wamependeza, wanaendesha magari mazuri, wanasafiri sana, kazi yao inawapa freedom ya kufanya biashara zingine, wanathaminiwa na jamii, yaani they are living the dream. Inaweza kuwa wana'fake lakini as long as the media only shows us the good sides, kwanini tusishawishike?

Nime'graduate last year na bachelor's degree yangu, nimefaulu vizuri, nina akili timamu, naongea lugha 3 fluently, yaani qualities zote kasoro working experience ila hata an internship vacancy sasa inakaribia mwaka napambana kutafuta ila sipati. Nimetulia ndani nashinda na kulala njaa ila namuona Baba Levo anajaza tu pages kwenye passport. Nafukuzwa kodi ninapokaa ila namuona Rayvanny yupo zake Dubai ana enjoy. Tell me why shouldn't I look up to them?

3. Homosexuality and all the other forms of modern sexual tendencies are not actually modern. Sexual deviance has been there for ages ila imekua amplified zaidi kwenye generation yetu and you're out here blaming us? In fact ukiangalia kiundani utagundua prominent figures wanao'lobby hii kitu ni Gen-X na millenials, Gen-Z are mere victims.

4. Suala ya Mungu naomba nisiliongelee kabisa mkuu, nisije kuibua hisia kali za wanajukwaa lakini binafsi imani yangu imeteteleka kwasababu ya mengi mno ambayo hayana uhusiano na third party yoyote.

5. Kuhusu bad decisions, everyone makes their own sio tu Gen-Z, it's part of being human. Ila ukija kwenye kizazi chetu, most of us make reckless decisions kutokana na umasikini brother. Nimeshawahi kukaa siku mbili na masaa matano (53 hours) nakunywa maji tu, maji tu bro. Sitaki hata kueleza all the nasty ideas I had that day.

6. Kuhusu IQ ya Gen-Z kuwa ndogo nadhani hapa umekua biased mkubwa. Nijuavyo, IQ ya mwanadamu ina'evolve with time kwahiyo kwa mantiki hii, umekosea.

Kuhusu EQ hapa naungana na wewe kabisa bila pingamizi. EQs zetu ziko chini na ndio maana matukio ya kujinyonga, kujiliza, kulalamika, kutukanana, kukata tamaa na mengineyo yamekuwa mengi tofauti na kipindi cha nyuma. Hata hivyo, yote haya yanatokana na ugumu wa maisha na mmomonyoko wa maadili ambao pia umechangiwa na nyie wa vizazi vya nyuma.

7. Kuhusu sisi kuwa na poor health sitaki kukubali wala kukataa kwakua sina elimu wala takwimu sahihi kuhusu hili ila nina mashaka sana na hili.

8. Kuhusu matumizi ya sigara, ulevi na madawa ya kulevya me nadhani hii inahusiana na mtu kukosa elimu ama kupuuzia tu na wala haina uhusiano na umri, period.

9. Life expectancy kuwa ndogo ni matokeo ya umasikini. Zitaainishwa sababu zingine zote ila lazima zita'lead kwenye umasikini. Tunashambuliwa sana jamani. Advancement ya science na technology imesababisha kwa kiasi chake pia.

Lakini katika hili naomba kuuliza, LIFE EXPECTANCY INAKADIRIWA KWA VIZAZI?

Ushauri wangu kwa wazazi: Jitahidi sana kuwekeza katika elimu ya mwanao. Katika dunia hii yenye ushindani mkubwa katika soko la ajira, andaa mazingira mazuri ya mwanao kuwa na vitu vya ziada kama vile kujuana na marafiki kutoka familia nzuri ambao wengi atawapata kwenye shule nzuri, kujua lugha na kuwa na uwezo wa kujieleza (nawajua wenzangu wengi wenye elimu ila wakiongea ni aibu), akutane na watoto wa rika lake wanaotoka kwenye familia nzuri ambayo hii itamsaidia ku'set higher standards na kupambana kuzifikia, miongoni mwa faida zingine nyingi.

HAKUNA TUZO YA MTESEKAJI BORA. MATESO NA MATATIZO ULIYOYAPITIA WEWE, MWANAO HATAKIWI KUYAPITIA. BINAFSI NAONA HII NDIYO MAANA YA KUWA MZAZI.
Umeandika vema na hoja zinajieleza. Kongole
 
Umeichambua vizuri sana generation Z..na sikujua kirefu chake wala sikujua kuna next generation. Asante sana kwa elimu hii.

Hiki kizazi Z nilikisikia miaka kadhaa nyuma nikiwa kwenye training ya office yangu. Kampuni yangu ni ya kimataifa na ilikuwa ina plan kuajiri hii Z..

Kwamba waruhusiwe kupiga pensi, kuweka dreadrocks na mengineyo..sie wahenga tuliguna ila hatuna maamuzi na hatuna nguvu ya kushindana na dunia.
 
Mtoa mada kabla ya kutulaumu, ungeangalia kwanza nyinyi kama wazazi mliaandaa mazingira gani vijana wasifike hatua hiyo.

Swali lako wazazi unawaonea, Kwani tik tok ama technologia zinatengenezwa na wazazi ? Awa watoto wamezaliwa kipindi ambacho internet imeshatawala. Hivyo wamekuwa wakiwa wanatumia internet na social network zimeshajaa...huwezi fosi waishi kama wahenga waliozaliwa kipindi cha dark age

Binadamu ni product wa mazingira yake
 
Tunazungumzia hasa kwenye suala la maadili sio masuala ya teknolojia
Hoja yangu inagusa pande zote, kuanzia teknolojia mpaka maadili. Maadili mabovu ya sasa, ni muendelezo wa maadili mabovu ya kizazi kilichopita. Kama kizazi kilichopita kingeweka misingi imara ya kimaadili, kizazi hiki kisengekua hatari namna hii.

Lakini pia utandawazi unarahisha zaidi tabia mbovu kadri siku zinavyosogea. Zamani, ili mwanamke ajiuze, ilibidi ajipange barabarani au bar. Ila kwa sasa teknolojia imerahisisha mambo sana. Ni kugusa tu huko telegram na watsapp, unaletewa huduma popote ulipo!

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hoja yangu inagusa pande zote, kuanzia teknolojia mpaka maadili. Maadili mabovu ya sasa, ni muendelezo wa maadili mabovu ya kizazi kilichopita. Kama kizazi kilichopita kingeweka misingi imara ya kimaadili, kizazi hiki kisengekua hatari namna hii.

Lakini pia utandawazi unarahisha zaidi tabia mbovu kadri siku zinavyosogea. Zamani, ili mwanamke ajiuze, ilibidi ajipange barabarani au bar. Ila kwa sasa teknolojia imerahisisha mambo sana. Ni kugusa tu huko telegram na watsapp, unaletewa huduma popote ulipo!

[emoji28][emoji28][emoji28]
Hapo sawa lakini sio mmbo ya matreni ya umeme hayahusiani na huu uzi
 
Tunazungumzia hasa kwenye suala la maadili sio masuala ya teknolojia
Yani katika watu ambao hawatakiwi kabisa kuzungumzia maadili ni wewe mharibifu mkubwa, wewe mwenyewe unasemaga kabisa kwamba huna mpango wa kuoa wewe wanawake unawachezea tu, na mbaya zaidi kila mwanamke unayelala naye lazima umshawishi muende kwa mpalange

Na kuna uzi mmoja niliona umecomment kutetea biashara ya ukahaba isizuiwe, sasa mnataka maadili halafu serikali ikichukua hatua ya kuzuia mambo yanayovunja maadili mnalaani tena, mimi nilifikiri watu kama ninyi ndio mngekuwa wa kwanza kuacha na kukemea maovu hayo yote

Lakini matokeo yake mnajifanya mnajali maadili kumbe ninyi ndio wa kwanza kuyaharibu, huku mkileta visingizio vyenu vya kipumbavu eti kwanini mwanamke naye akishawishiwa akubali such a stupid argument, hii nchi kuna watu ni wanafiki sana asee
 
Generation Z au Zoomers ni kizazi cha waliozaliwa kuanzia mwaka 1997 hadi 2012. Umri wao ni kati ya miaka 9 hadi 24. Kizazi kitakachofuata baada ya Generation Z kitaitwa Generation Alpha (Generation Alpha and the generations that will come thereafter will be more worse than Generation Z).

Kizazi hiki "Generation Z" kiliandaliwa (kilikuwa programmed) miaka mingi iliyopita na kikundi cha watu wanao itawala dunia.

Moja kati ya sifa za watu wa kizazi Z ni pamoja na:

1. They are 100% ruled and controlled by the internet and social media in general (they are the truly "Digital natives" and netizens of this planet.

2. Their behaviours and life style in general are easily and heavily influenced by celebrities (they don't like to do what their parents are teaching them, they don't like to do what their teachers are telling them, they don't like to do what their imams and pastors are preaching to them, ut they love to do what their favourite celebrities are doing or saying or preaching )

3. They are lenient to homosexuality and Lgbt life style in general.

4. Lack of fear of God.

5. They make very poor and dangerous decisions which are detrimental to their own lives.

6. Low IQs and EQs.

7. Poor health.

8. They are okay with drinking liquors and smoking ( both cigarettes and marijuana)

9. They are okay with drugs ( cocaine etc)

10. Life expectancy ( 40-45 years)

Mzazi chagua mwenyewe.

1. Mpeleke mtoto wako shule ya kayumba ajifunze uhalisia wa maisha kwa kuanza kuwa responsible kuanzia akiwa darasa la kwanza kama vile kufanya usafi shuleni, kujichanganya na watoto wenzake wengi aanze kupata changamoto mapema, kuadhibiwa na walimu anapokosea, kwenda na kurudi shuleni kwa miguu nk, (bado haitamzuia na athari za Generation Z but mzazi hutopata hasara mara mbili 1. Kulipa.mamilioni na mtoto kuathiriwa na gen z).

Au

2. Mlipie mamilioni akae sehemu ambayo anafanyiwa kila kitu (anapewa chakula, anapelekwa shule na gari na kurudishwa na gari, darasani anakuwa spoon fed, etc but mwisho wa siku upate hasara mara mbili (kulipa mamilioni + mtoto kuharibikiwa).
Kuna mtu juzi kasema alifukuzwa nyumbani akapewa Gari na Laki 9 cash lakini anasimulia kw machungu sana kwamba aliteseka sana ndani ya miezi miwili.

Huyu mtu ana sifa zote ulizoandika hapo juu.
Ila sina uhakika alizaliwa mwaka gani
 
Back
Top Bottom