Kulipa mamilioni kusomesha 'Generation Z' ni kama kucheza kamari!

Kulipa mamilioni kusomesha 'Generation Z' ni kama kucheza kamari!

Kinaitwa kizazi Cha siku za mwisho kisichomjua Mungu chenye sifa zifuatazo.
. wabinafsi
. uwezo mdogo wa kufikiri
.wapenda starehe na anasaka
.Wagomvi
.Utii na heshima sifuri
.kinataka harusi na Sio ndoa
.wajuani lakini hawana wajuacho
.hakina uvumilivu Wala uhimilivu
. Mafanikio ya Shortcut na miujiza
.
 
Wewe generation Z, uko na akili kumzidi mleta mada.

It's a simple fact, kila kizazi kinachofuatia ni matokeo ya vizazi vilivyopita. Generation Z wanaendeleza yale waliyokuta Millenials na generation X wanafanya.
Nakubali kanizidi akili ila na wewe takuwa amekuzidi zaidi. Kijana mejenga hoja zake bila kukashifu wala kukejeli jambo ambalo wewe limekushinda
 
Kinaitwa kizazi Cha siku za mwisho kisichomjua Mungu chenye sifa zifuatazo.
. wabinafsi
. uwezo mdogo wa kufikiri
.wapenda starehe na anasaka
.Wagomvi
.Utii na heshima sifuri
.kinataka harusi na Sio ndoa
.wajuani lakini hawana wajuacho
.hakina uvumilivu Wala uhimilivu
. Mafanikio ya Shortcut na miujiza
.
Sahihi
 
Kinaitwa New age movement.wazee wa suti wamefaulu kutengeneza watu bandia kizazi robot kisichokuwa na ubunifu wowote
Sio kweli. Kadri muda unavyozidi kwenda, ndivyo ubunifu unazidi kuongezeka. Ndio maana teknolojia inakua, na mambo mengi yanarahisishwa. Ni wazi kwamba kila kizazi kipya kinakuja na ubunifu kuliko kizazi kilichopita!

Kama ungewaambia wazee wa miaka ya themanini kwamba ipo siku kutakua na treni za umeme zenye kusafiri Dar to Mwanza kwa masaa manne, wangekuona mwehu!

Juzi kuna dogo wa miaka 13 kashinda world championship kucheza FIFA video games. Prize ilikua zaidi ya dola laki mbili. Hiki ni kizazi cha kumake money while having fun. Everything is computerized!

Mimi ugomvi wangu na hawa generation Z ni low EQ. Hawa madogo wako na roho za plastiki. Ndio maana unaona suicide rates na depression ziko kwenye record high. Ni kama bloilers vile hawawezi kumudu nyakati ngumu!

Hapo ndio unakuta wako tayari kuachia marinda ili wapate maisha. Ni sababu hawana roho ngumu. Sio watu wa mtumba, ni watu special made in China!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nakubali kanizidi akili ila na wewe takuwa amekuzidi zaidi. Kijana mejenga hoja zake bila kukashifu wala kukejeli jambo ambalo wewe limekushinda
Sijakejeli, nimetania. As a matter of fact, dogo yuko smart. Hata uandishi wake unaonyesha. Kwenye hiki kizazi chao, ukitaka kujua kama yuko na kitu kichwani au ni mtupu, mwambie aandike maelezo paragraphs nne tu, utajua!

My apologies in case you're offended!
 
Sijakejeli, nimetania. As a matter of fact, dogo yuko smart. Hata uandishi wake unaonyesha. Kwenye hiki kizazi chao, ukitaka kujua kama yuko na kitu kichwani au ni mtupu, mwambie aandike maelezo paragraphs nne tu, utajua!

My apologies in case you're offended!
Accepted
 
6. Ndio kizazi kinachofaulu zaidi mitihani ya NECTA.
Ndio kizazi hakijui nini maana ya GIZA grid ipo nchi nzima na taa za solar
Ndio kizazi wanaanza kuajiriwa mapema zaidi kuliko wakati wowote
Ndio kizazi kina uelewa wa mambo ktk umri mdogo. Wewe uelewa at 20s wenyewe at 13+
Mengine upo sawa. Pamoja debwe debwe.
Hawachezi mpira, kikapu nk.
Wanabet sana.
They don't care.
Mda mwingi wanasikiliza mziki badala ya kusoma vitabu na kusikiliza documenrary.
 
Generation Z au Zoomers ni kizazi cha waliozaliwa kuanzia mwaka 1997 hadi 2012. Umri wao ni kati ya miaka 9 hadi 24. Kizazi kitakachofuata baada ya Generation Z kitaitwa Generation Alpha (Generation Alpha and the generations that will come thereafter will be more worse than Generation Z).

Kizazi hiki "Generation Z" kiliandaliwa (kilikuwa programmed) miaka mingi iliyopita na kikundi cha watu wanao itawala dunia.

Moja kati ya sifa za watu wa kizazi Z ni pamoja na:

1. They are 100% ruled and controlled by the internet and social media in general (they are the truly "Digital natives" and netizens of this planet.

2. Their behaviours and life style in general are easily and heavily influenced by celebrities (they don't like to do what their parents are teaching them, they don't like to do what their teachers are telling them, they don't like to do what their imams and pastors are preaching to them, ut they love to do what their favourite celebrities are doing or saying or preaching )

3. They are lenient to homosexuality and Lgbt life style in general.

4. Lack of fear of God.

5. They make very poor and dangerous decisions which are detrimental to their own lives.

6. Low IQs and EQs.

7. Poor health.

8. They are okay with drinking liquors and smoking ( both cigarettes and marijuana)

9. They are okay with drugs ( cocaine etc)

10. Life expectancy ( 40-45 years)

Mzazi chagua mwenyewe.

1. Mpeleke mtoto wako shule ya kayumba ajifunze uhalisia wa maisha kwa kuanza kuwa responsible kuanzia akiwa darasa la kwanza kama vile kufanya usafi shuleni, kujichanganya na watoto wenzake wengi aanze kupata changamoto mapema, kuadhibiwa na walimu anapokosea, kwenda na kurudi shuleni kwa miguu nk, (bado haitamzuia na athari za Generation Z but mzazi hutopata hasara mara mbili 1. Kulipa.mamilioni na mtoto kuathiriwa na gen z).

Au

2. Mlipie mamilioni akae sehemu ambayo anafanyiwa kila kitu (anapewa chakula, anapelekwa shule na gari na kurudishwa na gari, darasani anakuwa spoon fed, etc but mwisho wa siku upate hasara mara mbili (kulipa mamilioni + mtoto kuharibikiwa).
Hayo mambo peleka (au yaache) huko kwa waMarekani.

Sie Tanzania hatuna hizo classification za Gen X, Y, Z na Boomers
 
Mtoa mada kabla ya kutulaumu, ungeangalia kwanza nyinyi kama wazazi mliaandaa mazingira gani vijana wasifike hatua hiyo.
 
6. Ndio kizazi kinachofaulu zaidi mitihani ya NECTA.
Ndio kizazi hakijui nini maana ya GIZA grid ipo nchi nzima na taa za solar
Ndio kizazi wanaanza kuajiriwa mapema zaidi kuliko wakati wowote
Ndio kizazi kina uelewa wa mambo ktk umri mdogo. Wewe uelewa at 20s wenyewe at 13+
Mengine upo sawa. Pamoja debwe debwe.
Hawachezi mpira, kikapu nk.
Wanabet sana.
They don't care.
Mda mwingi wanasikiliza mziki badala ya kusoma vitabu na kusikiliza documenrary.
Hapo kwenye documentary na vitabu mengi ni theory hayana uhalisia hizi vitabu vya hadithi na uchumi?
Nishaacha kusoma vitabu na kiangalia documentary.
Wewe unaangalia documentary kuhusu Nyerere, baadae itakusaidia nini? Siyo mwalimu, utajua kinachofuata?
Vitabu vingine hata havieleweki unasoma vya kazi gani?
Unaangalia documentary na unasoma vitabu, hapo haujui hata kuinstall windows kwenye computer. Simu yako hata kubadilisha password hujui. Unaenda kwa jirani.
Hata extension cable ikiungua hauna hata uwezo wa kuangalia tatizo nini. Unaenda kutupa jalalani.
Baada ya kugundua hayo, sasa hivi nakula zangu pesa tu.
 
Mkuu hata kizazi Cha miaka ya 80s kurudi nyuma kinaonekana Cha kistaarabu kwasababu tu hakukuwa na utandawazi Kama wa Leo
 
Back
Top Bottom